Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Huko tanga dereva na mmiliki wa lori lililosababishwa vifo vya watoto
18 kwa kubeba watoto wa shule wakitarajiw akufikishwa mahakamani kwa ukiukwaji
wa sheria kwa kubeba wanafunzi..watanzania wamejiulza ni sheria gani iliomruhusu
mkuu wa mkoa wa dar es salaam mh lukuvi kuruhusu malori kubeba wanafunzi
kwenu watanzania!#@##
18 kwa kubeba watoto wa shule wakitarajiw akufikishwa mahakamani kwa ukiukwaji
wa sheria kwa kubeba wanafunzi..watanzania wamejiulza ni sheria gani iliomruhusu
mkuu wa mkoa wa dar es salaam mh lukuvi kuruhusu malori kubeba wanafunzi
kwenu watanzania!#@##