Lukuvi: Kama umejenga nyumba eneo hatarishi, imekula kwako. Tutabomoa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amesema serikali itavunja nyumba zote ambazo zimejengwa katika maeneo hatarishi na mabondeni bila kujali kuwa wamiliki wake wana hati miliki za viwanja.

Lukuvi, alibainisha hayo jana jijini hapa wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya sekta ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kwa waandishi wa habari katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika.

Alisema kwa mujibu wa sheria wananchi hawaruhusiwi kujenga katika maeneo hatarishi pamoja na mabondeni na kwamba yeyote atayekaidi serikali itabomoa bila kujali kuwa anayo hati miliki ya kiwanja chake.

“Miaka ya nyuma fedha ilikuwa na nguvu kuliko sheria hali ambayo ilifanya hata watumishi wa wizara yetu kutoa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni kama vile bonde la mto Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Vilevile, alisema serikali ipo kwa ajili ya kulinda wananchi wake na hatokuwa tayari kuacha watu kujenga katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde.

“Kama kuna mtu amejenga katika eneo hatarishi tukigundua tunakuvunjia bila kujali kuwa unayo hati maana yake kuna baadhi ya hati watu wamepatiwa kiujanjaujanja bila kufuata taratibu ndiyo maana unakuta watu wanajenga katika maeneo kama vile bonde la Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Kutokana na hali hiyo aliwaagiza watumishi wa wizara hiyo kuacha kufuata hisia za watu kwenye utoaji wa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni.

“Ukipewa hatimiliki ya eneo katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde imekula kwako kwani tukibaini tu lazima tukuvunjie,” alisisitiza Lukuvi.

Akizungumzia kuhusu malalamiko yanayotolewa hivi sasa na wananchi kuhusu malipo ya fidia ya maeneo yao yaliyochukuliwa na serikali kwa ajili ya kupisha miradi ya kimkakati kama wa SGR, alisema suala la fidia sio hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria.

Alizitaka taasisi zote za serikali zilizochukua maeneo ya wananchi kwa ajili ya miradi mbalimbali kuhakikisha kuwa zinawalipa fidia kwa mujibu wa sheria.

“Suala la kulipa fidia siyo hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria kwani sheria inasema kuwa ukimcheleweshea mtu malipo yake ya fidia ndani ya miezi sita unatakiwa kumlipa na riba na ukichelewa kwa miaka miwili tathmini inabidi ifutwe na ifanyike nyingine hivyo wahakikishie watu wote ambao wamepitiwa na miradi ya umma kuwa watalipwa,” alisema Lukuvi.

Kadhalika alisema hivi sasa serikali imetoa Sh. bilioni 50 kwa halmashauri nchini kwenda kufanya upimaji wa ardhi pamoja na upangaji wa miji ili kuwezesha wananchi kupata hatimiliki za maeneo yao.

GAZETI LA NIPASHE
 
Sasa hapo chadema inahusika vipi! Mbona unakua kama wafi......wa! Ni watu wangapi wamejenga mabondeni hasa Dar kwasababu yac ukiritinba was kupata maeneo!?? Kila kitu cdm cdm nenda wakutoe marinda kenge ww
Jikite kwenye hoja
 
Huyu ni mahasira tu kila wakati
Sasa kama vibali vilitolewa toka wizara yake kwanini asiwawajibishe waliokula hela?

Mtavunja na mtalipa kama mahakama zinatenda haki period
 
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amesema serikali itavunja nyumba zote ambazo zimejengwa katika maeneo hatarishi na mabondeni bila kujali kuwa wamiliki wake wana hati miliki za viwanja.

Lukuvi, alibainisha hayo jana jijini hapa wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya sekta ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kwa waandishi wa habari katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika.

Alisema kwa mujibu wa sheria wananchi hawaruhusiwi kujenga katika maeneo hatarishi pamoja na mabondeni na kwamba yeyote atayekaidi serikali itabomoa bila kujali kuwa anayo hati miliki ya kiwanja chake.

“Miaka ya nyuma fedha ilikuwa na nguvu kuliko sheria hali ambayo ilifanya hata watumishi wa wizara yetu kutoa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni kama vile bonde la mto Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Vilevile, alisema serikali ipo kwa ajili ya kulinda wananchi wake na hatokuwa tayari kuacha watu kujenga katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde.

“Kama kuna mtu amejenga katika eneo hatarishi tukigundua tunakuvunjia bila kujali kuwa unayo hati maana yake kuna baadhi ya hati watu wamepatiwa kiujanjaujanja bila kufuata taratibu ndiyo maana unakuta watu wanajenga katika maeneo kama vile bonde la Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Kutokana na hali hiyo aliwaagiza watumishi wa wizara hiyo kuacha kufuata hisia za watu kwenye utoaji wa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni.

“Ukipewa hatimiliki ya eneo katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde imekula kwako kwani tukibaini tu lazima tukuvunjie,” alisisitiza Lukuvi.

Akizungumzia kuhusu malalamiko yanayotolewa hivi sasa na wananchi kuhusu malipo ya fidia ya maeneo yao yaliyochukuliwa na serikali kwa ajili ya kupisha miradi ya kimkakati kama wa SGR, alisema suala la fidia sio hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria.

Alizitaka taasisi zote za serikali zilizochukua maeneo ya wananchi kwa ajili ya miradi mbalimbali kuhakikisha kuwa zinawalipa fidia kwa mujibu wa sheria.

“Suala la kulipa fidia siyo hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria kwani sheria inasema kuwa ukimcheleweshea mtu malipo yake ya fidia ndani ya miezi sita unatakiwa kumlipa na riba na ukichelewa kwa miaka miwili tathmini inabidi ifutwe na ifanyike nyingine hivyo wahakikishie watu wote ambao wamepitiwa na miradi ya umma kuwa watalipwa,” alisema Lukuvi.

Kadhalika alisema hivi sasa serikali imetoa Sh. bilioni 50 kwa halmashauri nchini kwenda kufanya upimaji wa ardhi pamoja na upangaji wa miji ili kuwezesha wananchi kupata hatimiliki za maeneo yao.

GAZETI LA NIPASHE
watu wanajenga baada ya kupewa kibali cha ujenzi. na pia, kama unalipwa, kubomolewa nyumba sio tatizo. kama eneo lina hati manake linatambuliwa na mipango miji na mtu amepewa kibali cha ujenzi na ardhi, hiyo sheria ya kuvunja bila kutoa fidia unaitoa wapi? si unatafuta matatizo tu ya kushitakiwa?
 
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amesema serikali itavunja nyumba zote ambazo zimejengwa katika maeneo hatarishi na mabondeni bila kujali kuwa wamiliki wake wana hati miliki za viwanja.

Lukuvi, alibainisha hayo jana jijini hapa wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya sekta ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kwa waandishi wa habari katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika.

Alisema kwa mujibu wa sheria wananchi hawaruhusiwi kujenga katika maeneo hatarishi pamoja na mabondeni na kwamba yeyote atayekaidi serikali itabomoa bila kujali kuwa anayo hati miliki ya kiwanja chake.

“Miaka ya nyuma fedha ilikuwa na nguvu kuliko sheria hali ambayo ilifanya hata watumishi wa wizara yetu kutoa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni kama vile bonde la mto Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Vilevile, alisema serikali ipo kwa ajili ya kulinda wananchi wake na hatokuwa tayari kuacha watu kujenga katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde.

“Kama kuna mtu amejenga katika eneo hatarishi tukigundua tunakuvunjia bila kujali kuwa unayo hati maana yake kuna baadhi ya hati watu wamepatiwa kiujanjaujanja bila kufuata taratibu ndiyo maana unakuta watu wanajenga katika maeneo kama vile bonde la Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Kutokana na hali hiyo aliwaagiza watumishi wa wizara hiyo kuacha kufuata hisia za watu kwenye utoaji wa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni.

“Ukipewa hatimiliki ya eneo katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde imekula kwako kwani tukibaini tu lazima tukuvunjie,” alisisitiza Lukuvi.

Akizungumzia kuhusu malalamiko yanayotolewa hivi sasa na wananchi kuhusu malipo ya fidia ya maeneo yao yaliyochukuliwa na serikali kwa ajili ya kupisha miradi ya kimkakati kama wa SGR, alisema suala la fidia sio hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria.

Alizitaka taasisi zote za serikali zilizochukua maeneo ya wananchi kwa ajili ya miradi mbalimbali kuhakikisha kuwa zinawalipa fidia kwa mujibu wa sheria.

“Suala la kulipa fidia siyo hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria kwani sheria inasema kuwa ukimcheleweshea mtu malipo yake ya fidia ndani ya miezi sita unatakiwa kumlipa na riba na ukichelewa kwa miaka miwili tathmini inabidi ifutwe na ifanyike nyingine hivyo wahakikishie watu wote ambao wamepitiwa na miradi ya umma kuwa watalipwa,” alisema Lukuvi.

Kadhalika alisema hivi sasa serikali imetoa Sh. bilioni 50 kwa halmashauri nchini kwenda kufanya upimaji wa ardhi pamoja na upangaji wa miji ili kuwezesha wananchi kupata hatimiliki za maeneo yao.

GAZETI LA NIPASHE

Waliotoa hati pia wawajibishwe, kufukuzwa kazi na kufungwa kwa kukiuka sheria. Lukuvi anafaa kuwa Rais ajaye.
 
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amesema serikali itavunja nyumba zote ambazo zimejengwa katika maeneo hatarishi na mabondeni bila kujali kuwa wamiliki wake wana hati miliki za viwanja.

Lukuvi, alibainisha hayo jana jijini hapa wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya sekta ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kwa waandishi wa habari katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika.

Alisema kwa mujibu wa sheria wananchi hawaruhusiwi kujenga katika maeneo hatarishi pamoja na mabondeni na kwamba yeyote atayekaidi serikali itabomoa bila kujali kuwa anayo hati miliki ya kiwanja chake.

“Miaka ya nyuma fedha ilikuwa na nguvu kuliko sheria hali ambayo ilifanya hata watumishi wa wizara yetu kutoa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni kama vile bonde la mto Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Vilevile, alisema serikali ipo kwa ajili ya kulinda wananchi wake na hatokuwa tayari kuacha watu kujenga katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde.

“Kama kuna mtu amejenga katika eneo hatarishi tukigundua tunakuvunjia bila kujali kuwa unayo hati maana yake kuna baadhi ya hati watu wamepatiwa kiujanjaujanja bila kufuata taratibu ndiyo maana unakuta watu wanajenga katika maeneo kama vile bonde la Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Kutokana na hali hiyo aliwaagiza watumishi wa wizara hiyo kuacha kufuata hisia za watu kwenye utoaji wa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni.

“Ukipewa hatimiliki ya eneo katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde imekula kwako kwani tukibaini tu lazima tukuvunjie,” alisisitiza Lukuvi.

Akizungumzia kuhusu malalamiko yanayotolewa hivi sasa na wananchi kuhusu malipo ya fidia ya maeneo yao yaliyochukuliwa na serikali kwa ajili ya kupisha miradi ya kimkakati kama wa SGR, alisema suala la fidia sio hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria.

Alizitaka taasisi zote za serikali zilizochukua maeneo ya wananchi kwa ajili ya miradi mbalimbali kuhakikisha kuwa zinawalipa fidia kwa mujibu wa sheria.

“Suala la kulipa fidia siyo hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria kwani sheria inasema kuwa ukimcheleweshea mtu malipo yake ya fidia ndani ya miezi sita unatakiwa kumlipa na riba na ukichelewa kwa miaka miwili tathmini inabidi ifutwe na ifanyike nyingine hivyo wahakikishie watu wote ambao wamepitiwa na miradi ya umma kuwa watalipwa,” alisema Lukuvi.

Kadhalika alisema hivi sasa serikali imetoa Sh. bilioni 50 kwa halmashauri nchini kwenda kufanya upimaji wa ardhi pamoja na upangaji wa miji ili kuwezesha wananchi kupata hatimiliki za maeneo yao.

GAZETI LA NIPASHE
Lukuvi you are just talking and talking too much. Ulisema nahamishia mamlaka ya ardhi mikoani ili hati and all pertaining to land management yawe quick to accomplish. Ujing bado uko pale pale hakuna anyepata HATI ya umiliki wa ardhi timely as anticipated and advertised by you
 
Alisema kwa mujibu wa sheria wananchi hawaruhusiwi kujenga katika maeneo hatarishi pamoja na mabondeni na kwamba yeyote atayekaidi serikali itabomoa bila kujali kuwa anayo hati miliki ya kiwanja chake.
Nani anatoa hati kwa maeneo hatarishi!?
 
Hivi bado atagombea ?
Lukuvi na Majaliwa mwendakuzimu aliwawasha, ni wazee hawafai kugombea, at least Lukuvi alielewa huyo PM, tiyari ana kakikundi anajitutumua, anajaribu sana kujipigia debe atrend ila hatrend, ni ka vile mwendakuzimu alishamlaani,

Everyday is Saturday................................:cool:
 
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amesema serikali itavunja nyumba zote ambazo zimejengwa katika maeneo hatarishi na mabondeni bila kujali kuwa wamiliki wake wana hati miliki za viwanja.

Lukuvi, alibainisha hayo jana jijini hapa wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mafanikio ya sekta ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kwa waandishi wa habari katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika.

Alisema kwa mujibu wa sheria wananchi hawaruhusiwi kujenga katika maeneo hatarishi pamoja na mabondeni na kwamba yeyote atayekaidi serikali itabomoa bila kujali kuwa anayo hati miliki ya kiwanja chake.

“Miaka ya nyuma fedha ilikuwa na nguvu kuliko sheria hali ambayo ilifanya hata watumishi wa wizara yetu kutoa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni kama vile bonde la mto Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Vilevile, alisema serikali ipo kwa ajili ya kulinda wananchi wake na hatokuwa tayari kuacha watu kujenga katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde.

“Kama kuna mtu amejenga katika eneo hatarishi tukigundua tunakuvunjia bila kujali kuwa unayo hati maana yake kuna baadhi ya hati watu wamepatiwa kiujanjaujanja bila kufuata taratibu ndiyo maana unakuta watu wanajenga katika maeneo kama vile bonde la Msimbazi,” alisema Lukuvi.

Kutokana na hali hiyo aliwaagiza watumishi wa wizara hiyo kuacha kufuata hisia za watu kwenye utoaji wa hati katika maeneo hatarishi na mabondeni.

“Ukipewa hatimiliki ya eneo katika maeneo hatarishi na kwenye mabonde imekula kwako kwani tukibaini tu lazima tukuvunjie,” alisisitiza Lukuvi.

Akizungumzia kuhusu malalamiko yanayotolewa hivi sasa na wananchi kuhusu malipo ya fidia ya maeneo yao yaliyochukuliwa na serikali kwa ajili ya kupisha miradi ya kimkakati kama wa SGR, alisema suala la fidia sio hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria.

Alizitaka taasisi zote za serikali zilizochukua maeneo ya wananchi kwa ajili ya miradi mbalimbali kuhakikisha kuwa zinawalipa fidia kwa mujibu wa sheria.

“Suala la kulipa fidia siyo hisani ni lazima kwa mujibu wa sheria kwani sheria inasema kuwa ukimcheleweshea mtu malipo yake ya fidia ndani ya miezi sita unatakiwa kumlipa na riba na ukichelewa kwa miaka miwili tathmini inabidi ifutwe na ifanyike nyingine hivyo wahakikishie watu wote ambao wamepitiwa na miradi ya umma kuwa watalipwa,” alisema Lukuvi.

Kadhalika alisema hivi sasa serikali imetoa Sh. bilioni 50 kwa halmashauri nchini kwenda kufanya upimaji wa ardhi pamoja na upangaji wa miji ili kuwezesha wananchi kupata hatimiliki za maeneo yao.

GAZETI LA NIPASHE
serikali itavunja nyumba zote ambazo zimejengwa katika maeneo hatarishi na mabondeni bila kujali kuwa wamiliki wake wana hati miliki za viwanja…….

.Hati walipatiwa na serikali ipi? Kwanini waliwapatia hati wakati ni eneo hatarishi?

Kama hizo hati wamekopea fedha bank na ukabomoa ni nini hatima yake?

Wakati wenye hizo hati wanajenga nyumba serikali ilikuwa wapi?

Kwa kifupi walipwe fidia ndipo ubomoe na waweze kuondoka .

Kila serikali inakuja na mambo yake kila wakati hakuna katiba mpya yenye dira na muelekeo.
 
Back
Top Bottom