Lukuvi: Chiku Abwao anaganga njaa bungeni!

Lukuvi: Chiku Abwao anaganga njaa bungeni!

Mchumia Rungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
1,439
Reaction score
826
Wanajamvi,

Nisaidieni, hivi mzee kama Lukuvi kujivika uhuni kama wa akina Mwigulu, Nkamia, Serukamba, n.k., si anajiaibisha na kudhalilisha ccm ya Nyerere? Kwanini amseme hivyo mbunge mwenzake?
 
Jf Doctor?

Au kwa vile kuganga njaa ni kutibu njaa, na hivyo ni ishu ya kitabibu!
 
...wamemshika pabaya mzee wa watu mpaka anapayuka ovyo,mind you kukosa kwake ubunge kunahatarisha mustakabali wake kisiasa na kesho yake...
 
Chiku Abwao ndo kundi moja na kina Mbatia,Selasini, Masumbuko lamwai,Mabere marando, Paul Nobho na makidara mosi miaka ile ya 1995 walinunuliwa na System wamvuruge Lyatonga Mrema enzi zile mpaka nyerere akasahau kuwa yeye ni kamisaa akaenda kugeuka Kocha wa Mkapa!
 
Miaka 20 ya ubunge ameshindwa hata kuchimba kisima kimoja cha maji
 
Kwani lukuvi kaongea uongo? Acheni kuponda kila wanachosema wazee

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nimeona niseme tu kuwa majibu ya Waziri Lukuvi bungeni alipokuwa akijibu hoja ya Mbunge wa viti maalum Chiku Abwao (CHADEMA) kuwa ni mganga njaa ni ya kitoto.

Nimefikiri san alikuwa anamaanisha nini nikaona alijibu kulingana na uelewa wake uwezo wake. Amewaonesha watanzania kuwa kumbe ndivyo alivyo. Hata mtoto wa kidato cha pili asingejibu majibu ya kihuni namna ile.
 
Chiku Abwao ndo kundi moja na kina Mbatia,Selasini, Masumbuko lamwai,Mabere marando, Paul Nobho na makidara mosi miaka ile ya 1995 walinunuliwa na System wamvuruge Lyatonga Mrema enzi zile mpaka nyerere akasahau kuwa yeye ni kamisaa akaenda kugeuka Kocha wa Mkapa!
Na Mrema naye akawaje au tuseme amekuwaje sasa ukilinganisha na yule wa 1995?
 
Huyo ni mfa maji anajua kwa ugaidi wake wa kupanga juu ya wapinzani wake kisiasa wananchi wamegundua na hawezi tena kuchaguliwa hivyo anajipendekeza kama Nchemba ili afikiriwe kwenye uteuzi.
 
Chiku ab** ngangari au ndo magumashi nae?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Wanajamvi,

Nisaidieni, hivi mzee kama Lukuvi kujivika uhuni kama wa akina Mwigulu, Nkamia, Serukamba, n.k., si anajiaibisha na kudhalilisha ccm ya Nyerere? Kwanini amseme hivyo mbunge mwenzake?
tadhali ccm ya sasa usiihusishe na Nyerere.!!!
 
politicians_115535.jpg
 
Back
Top Bottom