Lukuvi aruhusu malori kubeba wanafunzi

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
268
10th February 2010

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi, ametoa ruksa kwa malori, kenta, magari ya wazi kuwasafirisha wanafunzi wanaosoma nje ya Jiji.
Alitoa agizo hilo jana akiwa katika ziara ya kukagua shule za sekondari wilayani Ilala.
Lukuvi alisema vitatolewa vibali kwa magari yatakayoomba kutoa huduma hiyo kupitia kwa mkuu wa wilaya ili Polisi wa Usalama Barabarani wasiyakamate.
Aidha, alitoa wito kwa watu binafsi, mashirika yasiyo ya kiserikali kujenga mabweni kwa wanafunzi wanaoishi mbali na shule zao.
Lukuvi alitembelea shule ya Msongola, Kivule Abuu, Jumaa, Vingunguti pamoja na Gerezani ambapo wanafunzi walimueleza kuwa wanakabiliwa na matatizo ya usafiri, uhaba wa walimu na ukosefu wa mabweni.
Akiwa katika Shule ya Sekondari Abuu Jumaa, Lukuvi aliwakuta baadhi ya wanafunzi wamekaa chini na Sekondari ya Kivule wakiwa wamekaa kiti kimoja wanafunzi wawili lakini kila mmoja na dawati lake.
Alimuagiza Afisa Elimu Mkoa wa Dar es Salaam, Bernard Mkali, kuorodhesha majina ya wanafunzi wote waliofaulu na kuchaguliwa shule za mbali kuwapa uhamisho kuanzia leo ili waepukane na adha hiyo.
 
Hivi sisi ni watu wa aina gani?

Kama daladala ambalo limeundwa kwa ajili ya kubeba watu, matumizi ya mafuta ni kidogo, yanakataa kubeba wanafunzi. Leo hii unaruhusu malori, ambayo hayana hata safety measure yoyote kubeba abiria, yanatumia mafuta mengi zaidi, eti wabebe wanafunzi.

Swali:"Haya malori yatabeba wanafunzi bure au kwa gharama?"

Kwanini kusiwe na mpango madhubuti wa kusajili magari (daladala) ambazo kazi yake ni kubeba wanafunzi @ a given time range with incentive kutoka serikalini kusuluhisha hii ishu?

Ukiangalia kwa wenzetu ni rahisi ku-control internal affairs kwa sababu watu wao wanatambulika. Sisi karibu tunatimiza miaka 50 ya uhuru lakini hatujui hata nani ni raia na nani ni mgeni. Budget zetu si halisi. Yaani tunakurupuka tu na mambo.

AAAGH! BONGO INANIKERA SANA!
 
Hivi sisi ni watu wa aina gani?

Kama daladala ambalo limeundwa kwa ajili ya kubeba watu, matumizi ya mafuta ni kidogo, yanakataa kubeba wanafunzi. Leo hii unaruhusu malori, ambayo hayana hata safety measure yoyote kubeba abiria, yanatumia mafuta mengi zaidi, eti wabebe wanafunzi.

Swali:"Haya malori yatabeba wanafunzi bure au kwa gharama?"

Kwanini kusiwe na mpango madhubuti wa kusajili magari (daladala) ambazo kazi yake ni kubeba wanafunzi @ a given time range with incentive kutoka serikalini kusuluhisha hii ishu?

Ukiangalia kwa wenzetu ni rahisi ku-control internal affairs kwa sababu watu wao wanatambulika. Sisi karibu tunatimiza miaka 50 ya uhuru lakini hatujui hata nani ni raia na nani ni mgeni. Budget zetu si halisi. Yaani tunakurupuka tu na mambo.

AAAGH! BONGO INANIKERA SANA!

Hii habari imenitia kichefuchefu kabisa! Kuna mahala fulani humu JF nimesoma kwamba Lukuvi aliishia darasa la saba, nikaona watu sasa wanaongeza chumvi. Ila sasa nimeamini. Hatimaye nimeanza kupata mwanga wa tatizo letu Watanzania kutokuwa na maendeleo ni nini. TATIZO ni kuwa na viongozi VILAZA!!!
 
Hivi sisi ni watu wa aina gani?

Kama daladala ambalo limeundwa kwa ajili ya kubeba watu, matumizi ya mafuta ni kidogo, yanakataa kubeba wanafunzi. Leo hii unaruhusu malori, ambayo hayana hata safety measure yoyote kubeba abiria, yanatumia mafuta mengi zaidi, eti wabebe wanafunzi.

Swali:"Haya malori yatabeba wanafunzi bure au kwa gharama?"

Kwanini kusiwe na mpango madhubuti wa kusajili magari (daladala) ambazo kazi yake ni kubeba wanafunzi @ a given time range with incentive kutoka serikalini kusuluhisha hii ishu?

Ukiangalia kwa wenzetu ni rahisi ku-control internal affairs kwa sababu watu wao wanatambulika. Sisi karibu tunatimiza miaka 50 ya uhuru lakini hatujui hata nani ni raia na nani ni mgeni. Budget zetu si halisi. Yaani tunakurupuka tu na mambo.

AAAGH! BONGO INANIKERA SANA!

Pole ndugu yangu usikereke, si unajua tena kila kitu hapa kwetu solution ni zimamoto. Kesho atakuja mwingine atasema basi wenye punda wanaweza kutumia kubebea watoto wao kenda shule.

Mradi ametamka na amesikika.
 
hii habari imenitia kichefuchefu kabisa! Kuna mahala fulani humu jf nimesoma kwamba lukuvi aliishia darasa la saba, nikaona watu sasa wanaongeza chumvi. Ila sasa nimeamini. Hatimaye nimeanza kupata mwanga wa tatizo letu watanzania kutokuwa na maendeleo ni nini. Tatizo ni kuwa na viongozi vilaza!!!

na hakuendelea kwa sababu ya kupanda malori kule kwao isimani
 
We still have many miles ahead of us.Hivi haya maneno/solution kurupushi wanatoa wapi?.Kweli ukiwa mkimya unahesabiwa hekima.
 
MNAOCHONGA BILA KUKUTANA NA HALI HALISI HII NI SALAMU YENU.....!
HEBU PATA WASAA WA KUTEMBELEA HIZO SHULE.......ANGALIA MAZINGIRA KUANZIA ASUBUHI MPAKA JIONI.....!
HALAFU NJOO HAPA JF HUKU VIDOLE VYAKO VIKIWA NA HAMU YA KUBOFYA NA UKICHUKUA NAFASI YA MTOA MAAMUZI UONE NI USAFIRI GANI UTARUHUSU KWA VIJANA WALE.....!
Hali ya usafiri kuelekea njia ile ni ngumu mno, hayo malori yanayozungumziwa ni kwa sababu yanaenda shamba ama kufata mchanga......!
na wakato yanaenda yanaenda tupu...ni vigumu kuwapita wanafunzi huku nawe unaelekea huko huko......!
AU WAPINGA MADA MPO ALASKA NINI?
 
kwa swala la malori kubeba wanafunzi hapa swala la usalama wa wanafunzi ndio tatizo.kwanini serikali isitoe mabasi yao kufanya uduma hio kwa wanafunzi?
 
n682301192_1579592_8313.jpg


Lukuvi amefikiria mbali!
 
tukiona inafaa tuiruhusu sio mbaya, mbona wengi wetu huwa tunatumia usafiri wa malori tukiwa vijijini,, sioni kama kuna ubaya.........
 
MNAOCHONGA BILA KUKUTANA NA HALI HALISI HII NI SALAMU YENU.....!
HEBU PATA WASAA WA KUTEMBELEA HIZO SHULE.......ANGALIA MAZINGIRA KUANZIA ASUBUHI MPAKA JIONI.....!
HALAFU NJOO HAPA JF HUKU VIDOLE VYAKO VIKIWA NA HAMU YA KUBOFYA NA UKICHUKUA NAFASI YA MTOA MAAMUZI UONE NI USAFIRI GANI UTARUHUSU KWA VIJANA WALE.....!
Hali ya usafiri kuelekea njia ile ni ngumu mno, hayo malori yanayozungumziwa ni kwa sababu yanaenda shamba ama kufata mchanga......!
na wakato yanaenda yanaenda tupu...ni vigumu kuwapita wanafunzi huku nawe unaelekea huko huko......!
AU WAPINGA MADA MPO ALASKA NINI?


Mkuu mahesabu naona wewe ni mwenzangu na mimi wa ''MANEROMANGO''......! watu wanazungumza tuuuuuu hawajui hata what is going on here!

Kuna maeneo mengi sana ya pembezoni mwa jiji la Dar, huko hata dala dala moja haliendi ni malori ya mchanga, macanter ya mihogo basi.....huko, zimejengwa shule za kata.....na mpk sasa (b4 hilo tamko la Lukuvi) tayari wanafunzi usafiri wao mkuu ni hayo malori......kilichotokea hao wenye malori wamelalamika kwa RC kwamba wanakamatwa na Traffic kwa kupakia wanafunzi tena bureeeee......so RC anakuja na temporaly vibali, ili hawa wenye malori wasikamatwe wakati wanatoa msaada huo.....sasa mnataka hao watoto waende vipi shule for now?

Kama serikali imeshindwa kupeleka huko walimu, vitabu, maadara, madawati etc, do you expect inaweza nunua mabasi ya kupeleka huko wanafunzi? Mnaona mtokeo ya FIV ....65,000 ni zeros??????? can't you figure out what is happening huko kny hayo mashule mazee?
 
Basi kama vp ile project ya mabsai yaendayo kasi sana wanayoihubiriga hawa watukufu waiahirishe, watoe tu mabasi yaendayo slow kama uda vile yakafanye hizo kazi za kubeba wanafunzi! Mbona uda zilivyokuwepo zilikuwa zinasaidia sana wanafunzi!
Mi naona tuachane na mabasi yaendayo kasi kwani ni jambo la kufikirika hilo, tu deal tu na mabasi slow yawasaidie wanafunzi!!!!
 
Mkuu mahesabu naona wewe ni mwenzangu na mimi wa ''MANEROMANGO''......! watu wanazungumza tuuuuuu hawajui hata what is going on here!

Kuna maeneo mengi sana ya pembezoni mwa jiji la Dar, huko hata dala dala moja haliendi ni malori ya mchanga, macanter ya mihogo basi.....huko, zimejengwa shule za kata.....na mpk sasa (b4 hilo tamko la Lukuvi) tayari wanafunzi usafiri wao mkuu ni hayo malori......kilichotokea hao wenye malori wamelalamika kwa RC kwamba wanakamatwa na Traffic kwa kupakia wanafunzi tena bureeeee......so RC anakuja na temporaly vibali, ili hawa wenye malori wasikamatwe wakati wanatoa msaada huo.....sasa mnataka hao watoto waende vipi shule for now?

Kama serikali imeshindwa kupeleka huko walimu, vitabu, maadara, madawati etc, do you expect inaweza nunua mabasi ya kupeleka huko wanafunzi? Mnaona mtokeo ya FIV ....65,000 ni zeros??????? can't you figure out what is happening huko kny hayo mashule mazee?[/QUO

nakubaliana na wewe hapo kwenye bold,mazingira yanachangia,nakumbuka zamani tulikuwa tunatumia toyota hilux pick up kwenda shule,kanisani shamba etc but nchi nyingine pick up hairuhusiwi kubeba abiria kule nyuma!kwahio tuangalie mazingira yenyewe kabla ya kulaumu,sehemu nyingine usafiri ni tractor tu je utapiga marufuku then watu watembee kwa miguu?
 
He must be joking. Hii nchi mbona ina mazingaombwe kupita mazingaombwe yenyewe kwa kweli hii ni kali ya mwaka 2010. Kuwapakiza watoto kwenye malori wakati wao wanaendesha magari ya kifahari kwa nini waziuze hayo magari yao wananunue usafiri kwa shule hizo period. Kuna waziri yeyote au mkuu wa mkoa yeyote wa Tz. atakubali mtoto wake apandishwe kwenye lorry? Lukuvi waonee imani na huruma watoto hawa sema jingine kwa hili umechemsha kidogo ndugu mheshimiwa
 
He must be joking. Hii nchi mbona ina mazingaombwe kupita mazingaombwe yenyewe kwa kweli hii ni kali ya mwaka 2010. Kuwapakiza watoto kwenye malori wakati wao wanaendesha magari ya kifahari kwa nini waziuze hayo magari yao wananunue usafiri kwa shule hizo period. Kuna waziri yeyote au mkuu wa mkoa yeyote wa Tz. atakubali mtoto wake apandishwe kwenye lorry? Lukuvi waonee imani na huruma watoto hawa sema jingine kwa hili umechemsha kidogo ndugu mheshimiwa

..umeyaona matokeo ya FIV ya mwaka huu mjomba?
 
kwa watu wa pugu, kibiti, minaki, mringa nk. hili si jipya... lakini tunaomba iwe short term solution; mimi nilifaidi pia zile basi za wanafunzi

kuna haja ya kuandaa mkakati (hata ikibidi kwa pesa ya rada) wakuu wa dr kuandaa mkakati wa mwanafunzi salama ambao uta-address mahitaji ya wanafunzi wa dar kuanzia chakula, elimu, ulinzi hadi mahitaji mengine

sina hesabu zozote lakini siamini kama utakua pesa nyingi kama zile zinazoibiwa kila siku
 
10th February 2010

Lukuvi alisema vitatolewa vibali kwa magari yatakayoomba kutoa huduma hiyo kupitia kwa mkuu wa wilaya ili Polisi wa Usalama Barabarani wasiyakamate.
.

tayari wanafunzi usafiri wao mkuu ni hayo malori......kilichotokea hao wenye malori wamelalamika kwa RC kwamba wanakamatwa na Traffic kwa kupakia wanafunzi tena bureeeee......so RC anakuja na temporaly vibali, ili hawa wenye malori wasikamatwe wakati wanatoa msaada huo.....sasa mnataka hao watoto waende vipi shule for now?
Bado haijaniingia akilini yani mwenye Gari aende kuomba kibali cha kupakia waafunzi bure...au?
 
Lakini Tanzania hii watu hawataki kufikiri kabisa. Na pia hawataki maoni ya wengine eti kwa kuwa wao ni viongozi. Hili ni tatizo kuu linalotumaliza. Pia unafiki, unafiki na unafiki.

Nilipopata bahati ya kujifunza maswala ya usafirishaji niliona kweli huku kwetu tunakwenda kinyume. Inabidi unapofikiri kuanzisha makazi upange na usafiri. Sasa huku kwetu sijui hata hizi shule zinaanzishwa mahali fulani kwa kuzingatia kitu gani? Mfano kuna shule kama FEZA mikocheni, Al-Muntazir nursery Upanga, Upanga nursery Azikiwe/Bi Titi, East African International School, na nyingine nyingi wamekubali zianzishwe bila kuangalia au kuzingatia town plan.

Kwa kusema eti malori yabebe watu(wanafunzi) ni kinyume na sheria za usalama wa usafirishaji. Ina maana katika kipindi hiki tunachotaka kupunguza idadi ya vifo vinavyotokana na ajali za barabarani yeye Muhishimiwa anataka tuongeze.Hata kama tuna matatizo, jibu sio kuongeza matattizo dawa ni kutatua hilo tatizo.

Kuna haja ya kuangalia distribution ya shule in relation to residence. Watoe study watu tuingie front tuwape solutions.
 
Back
Top Bottom