Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Lipia Umeme Kadri Unavyotumia kwa mantiki hapa kitendo cha kulipia kinafuata baada ya matumizi, yaani unaanza kutumia halafu unalipia kadri ulivyotumia(post paid) lakini hii si kweli kabisa kwani huwa tunalipia kwanza halafu tunatumia kadri kwa vile tulivyolipia(pre paid). Tunaweza kubadilisha?