Luhwavi, Membe na Lukuvi, mnayopanga Gizani ili Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM yawekwa Hadharani

Mkuu lizaboni wewe ni muhimu sana kipindi hiki ambocho chama kipo kwenye mchakato wakumpata mwenyekiti wetu.Kutokana na umuhimu na unyeti wa taarifa zako jitihidi sana kuchunga sheria za jf ili mode wasijepata sababu wakakufungia tukakosa taarifa muhimu kutoka kwako
 
Lizabon, kama wajumbe wakiamua, Rais abaki kuwa Rais na Mwenyekiti wa Chama chenu awe mtu nje ya Serikali itakua hakuna namna. Kila upande ujiandae Kisaikolojia, chochote kibaweza kutokea, wanasema WENGI WAPE, ndiyo utaratibu sahihi! Mbona ANC South Africa waliweza?
 
...Mtakumbuka ni hivi juzi tu nimeumbua mkakati wa chini kwa chini unaoratibiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, Rajab Luhwavi wa kutaka kukwamisha Rais Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM. ...
Kwani maana ya uchaguzi si ni kama hivyo wagombea wanajitokeza halafu wajumbe wanamchagua wanayempenda? Kuna hofu gani kama JPM kupata wapinzani? Huoni ni vyema akadhihirisha kupendwa kwake kwa kuwashinda wapinzani wake kwa kishindo? Au unapenda ashinde kwa kishindo wakati amegombea peke yake? Go Lukuvi go!
(kuanzia sasa nabadili signature yangu kuwa hiyo)
 
Wewe jamaa unajifanya unajua sana kumbe si lolote. Kwanza membe alimendeaje uwaziri mkuu wakati hakugombea ubunge? Kumbuka waziri mkuu lazima awe mbunge wa kuchaguliwa kwenye jimbo. Pili, Lukuvi atawezaje kuwa mwenyekiti wa Chama wakati kwa mjibu wa ccm (japo katiba ya ccm haisemi hivyo), mwenyekiti ni lazima awe rais?
 
Mbona unamchafua Membe wakati kapumzika siasa kwa mikono miwili au ndo kumchafua pasipo sababu
 
Ni kwa sababu ndiye Rais wetu
Rais si lazima awe Mwenyekiti wa chama.

Hiyo si sababu.

Na kwa kweli, kwa mtu anayeelewa kanuni za uongozi kama separationnof powers, Chinese Wall of information, multiple loyalties, conflict of interest, opportunity cost etc kuwa rais kunatakiwa kumpunguzia mtu sifa na nafasi ya kuwa Mwenyekiti mzuri wa chama.

Unaelewa hizo concepts maana yake ni nini?
 
Hapa Lumumba wenzako watakuja kukupiga mawe na watakujeruhi haswa..
Vipi mkuu,mwenyekiti hayupo upande wa ndugu yake?
 
I am a bit skeptical about matters in issue in thread you have just posted. My concern however is whether the post of the chairman of CCM is expressly reserved for an incumbent President or is open for all members to vie and contest. Be fair to people who you once respect and hold so dearly. Saying something bad about other people does not make you better.
 
Hadi jina la Mwenyekiti wa CCM litakapotajwa na kuthibitishwa rasmi watakuwa "wamechafuliwa" wengi.
 
Back
Top Bottom