Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 841
Sell by date/shelf life iko na maana gani wakuu? Maana twaambiwa hata uhai uko na hizo sifa. Hata ukijitoa akili.
Mchina wajF.
Na washawasha!
Mchina wajF.
Na washawasha!
We una.mahaba na Membe kumbeLizaboni acha kuchafua mh MEMBE, hilo andiko lako limekuja kupima upepo inaonekana humfahamu mh Membe. Sio mtu. Mwenye njaa anafanya shughuli zake zenye HADHI juu ya mambo ya kimataifa
KabisaMnafukua makaburi?
Hapana wanafukia.Mnafukua makaburi?
MEMBE FOR PRESIDENTIAL 2020 OVER!!We una.mahaba na Membe kumbe
nilizani u ......? kumbe bado upo unaendelea kuisoma no...pole sana.Rais wa nini? Kama ni urais wa nchi asahau kabisa
Unajua wangoni ni watu wa ajabu sana. Halafu sijui sio watanzania kwasababunilizani u ......? kumbe bado upo unaendelea kuisoma no...pole sana.
Naona haupost tena nyuzi baada ya kuisoma no !!
kwema SONGEA??