Ludovick apelekwa mahakamani kimya kimya

Ludovick apelekwa mahakamani kimya kimya

Mkuu mawazo yako ni mazuri sana lakini kuna shida katika Avatar yako. Bila shaka utakuwa unawakwaza baadhi ya wakuu wanaosoma posts zako. Tafadhali Mkuu jaribu kufanya marejeo mapya katika hiyo Avatar.

mkuu kwani nguruwe ana shida gani kwenye avatar?? au na avatar sasa zina najisi??
 
ugaidi ni hatari sana kwa taifa letu. ludovick is not a good guy.
Ongezeni juhudi za kuupromote ugaidi kama mlivyoambiana kwenye ile e mail kutoka kwa michuzi kwenda kwa waikulu wenzenu...ila mwisho wake matunda yake mtayaona!!!kwa kweli masisiem mnavyofanya hakika mna upungufu wa kinga kichwani(UKIKI)
 
Hivi Mkuu utaendelea kukurupuka hadi lini? Tumia angalau 1% tu ya akili yako maana hapa inaonekana unatumia <0%, ubarikiwe sana.

unashambulia nini na unafanya nini

umekomalia avatar... and then unadhani unatumia hiyo akili

two wrongs wont make it right
 
mkuu kwani nguruwe ana shida gani kwenye avatar?? au na avatar sasa zina najisi??

Mkuu shida iko pale kwenye kajina na avatar ukiviunganisha hakuna 'Compatibility', sasa hii inaleta tafsisiri nyingine kwa baadhi ya Wakuu hapa jamvini.
 
yeah wao wanaita devide and rule policy!!

Kuondoka kwa CCM madarakani sio mpango wa mwanadamu. Mbinu za CCM za aina hiyo zilitumika dhidi ya NCCR-Mageuzi ya enzi zile za akina Steven Wassira; wakazitumia kwa CUF. Kwa CHADEMA wamezi-double. Bahati mbaya kwao zimeonekana ku-fail.

CHADEMA hawana nguvu ya kuzizuia mbinu chafu hizo BALI Mungu wa Yakobo amesikia kilio cha watz; kina mama na watoto hufa hospitalini kwa ufisadi wa hawa CCM(a.k.a. freemasonry) Albino na damu yao inamlilia Jehova toka aridhini,(fuatilia mauaji ya mwanafunzi albino kidato cha pili Rungwe-Tukuyu. Utaelewa ninachokisema): wazee wanakosa huduma za msingi; watoto wa masikini wanafelishwa katika mitihani ili hawa watawala wa kifreemason waendelee kuwaangamiza watz.


Nolle prosecuer maana yake DPP hana nia temna ya kuendelea na kesi husika.hii ilitarajiwa.


Mkuu mawazo yako ni mazuri sana lakini kuna shida katika Avatar yako. Bila shaka utakuwa unawakwaza baadhi ya wakuu wanaosoma posts zako. Tafadhali Mkuu jaribu kufanya marejeo mapya katika hiyo Avatar.

Seif al Islam lina matatizo gani? Au ni jina linalohusishwa na mwendawazimu fulani? Binafsi sioni athari za jina hilo na mchango wa hekima kutokea kwenye jina hilo.



Hivi Mkuu utaendelea kukurupuka hadi lini? Tumia angalau 1% tu ya akili yako maana hapa inaonekana unatumia <0%, ubarikiwe sana.

Nimekurupuka katika lipi hapo? Funguka tu, utaeleweka.
 
kwani mtuhumiwa anapelekwa mahakkamani kwa kelele?

Haya ndiyo makelele yenyewe...

TZ_Cleric4.jpg
 
Sasa kama chadema wamemnawa eti hawamjui na hawataki kumwekea wakili sisi watu baki tufanyeje? yetu macho tu.
 
sasa mmoja yumo ndani mmoja nje!! duh hii kesi ina mvuto wa kipekee.
 
Mlio kua karibu na eneo la tukio tujuli sheni basi kipi kina endelea
 
Huyu jamaa ni chambo cha mwingulu nchemba ametumwa kuleta ushahd wa uongo kwa lwakatare, kusema kuwa nikweli alipokea maagzo ya ugaidi toka kwa lwakatare na Chadema
 
Hivi Mkuu utaendelea kukurupuka hadi lini? Tumia angalau 1% tu ya akili yako maana hapa inaonekana unatumia <0%, ubarikiwe sana.
Jina au avarter sio kwamba yeye ni Muislam, yeye ni Mchangiaji wa JF km wengine na ameamua kuchagua jina hilo km wewe Patrice Lumumba ulivyochagua hiyo Avarter sasa usipoangalia utagombana na wengi tu
Tukirudi kwenye Mada Salary Slip anauliza JWTZ sio watanzania mm naona anataka wasikae mbali na Kesi hii ya Ugaidi
Huyu Ludo na Lwakatare ni tishio kwa maisha ya Watanzania inabidi washughulikiwe ili isirudiwe hata km ushahidi utakosekana lakini fundisho ndio hilo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom