tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Vipi kuna siri gani hapo? Kwanini wampeleke kimya kimya?
Na kesi ya Lwakatare imefikia wapi?
kwani walitakiwa kumtangazia nani?
Vipi kuna siri gani hapo? Kwanini wampeleke kimya kimya?
Na kesi ya Lwakatare imefikia wapi?
Haya ndiyo makelele yenyewe...
![]()
Mkuu mawazo yako ni mazuri sana lakini kuna shida katika Avatar yako. Bila shaka utakuwa unawakwaza baadhi ya wakuu wanaosoma posts zako. Tafadhali Mkuu jaribu kufanya marejeo mapya katika hiyo Avatar.
Tundu Lisu analaumiwa na wanachadema kwa kukiri picha ni ya Lwakatare ,nakusema ni usaliti ulifanyika.
Mkuu mawazo yako ni mazuri sana lakini kuna shida katika Avatar yako. Bila shaka utakuwa unawakwaza baadhi ya wakuu wanaosoma posts zako. Tafadhali Mkuu jaribu kufanya marejeo mapya katika hiyo Avatar.
Hivi Mkuu utaendelea kukurupuka hadi lini? Tumia angalau 1% tu ya akili yako maana hapa inaonekana unatumia <0%, ubarikiwe sana.
we mburura kama hapo katumia 0% ya akili yake, basi akitumia 5% jk anahamia cdm.