notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 453
here goes the saga
Sana tu kwa kuwa aliyekuwa anamlinda bado anakadi yetu ya chama na anailipia
Huyu Hamfrey Masawe kwenye picha ndiye aliyemwekaa dhamana?![]()
Mtuhumiwa namba mbili Joseph Ludovick (kulia) akitoka nje ya Mahakama ya
Hakimu Mkazi Dar es Salaam jana baada ya kuachiwa kwa dhamana.
Kushoto ni rafiki yake, Hamfrey Masawe.
Amewakilisha taasisi nyeti ya umoja wawanawake?
Ametumwa pia na Yonas Savimbi?
Inakuhusu nini?
Nan kamdhamini?