Aliwafanyia kazi kubwa lakini wakamtelekeza sasa ametoka kwa jitihada zake wasubiri afunguke watakimbiana tu.
Aliwafanyia kazi kubwa lakini wakamtelekeza sasa ametoka kwa jitihada zake wasubiri afunguke watakimbiana tu.
Inakuhusu nini?
kama alishindwa funguka kwa sh 50,000 ataweza sa hivi kwa buku 7? amshukuru sana chemba sijui kapata wapi huruma ya kwenda kumtoa huko lupango.
angetakiwa afie huko huko lupango mnafi na mdhalimu mkubwa yule.
mna kazi kweli kweli lakini mtakuja kujuta sana hapo baadae sababu pamoja na majivuno yoote tulio nayo bado bauti inatusubiri.Unataka kujua yuko wapi ili umfanye nini? Mbona nyie Bavicha mmekosa ubinadamu?
Nani kamdhamini yule mdharimu?. mia