Mnamsulubu Ludovic kwa kuwa ameshindwa kukamilisha dhamira yenu ya utekaji
Poor LUDO
At last, najua akiwa cleared Chadema watakuja hapa na kumkumbatia na kumuita shujaa wakisahau kuwa walimkana
Inakuhusu nini?
kaone!
hakana hata hoja,
unajaza server tu kwa ushu*!zi
Poor LUDO
At last, najua akiwa cleared Chadema watakuja hapa na kumkumbatia na kumuita shujaa wakisahau kuwa walimkana
Unataka kujua yuko wapi ili umfanye nini? Mbona nyie Bavicha mmekosa ubinadamu?
Jana alipata hasira sana akaona leo azimalizie kwa kumdhamini Ludovick ili wapange dili zingine juu ya chadema.
Poor LUDO
At last, najua akiwa cleared Chadema watakuja hapa na kumkumbatia na kumuita shujaa wakisahau kuwa walimkana
Kuna siku atajiuza yeye kwa kuendekeza vya kupewa, kijana rijali unatumika km ndomu na magamba!
Umeujuaje Urijali wake?
Ludo, tunasubiri ufunguke maana hawa Chadema wanataka kukubebesha mzigo huu.
Lazima atakuwa Savimbi kwa kupitia kwa mtu wake mwingine.
Sana tu kwa kuwa aliyekuwa anamlinda bado anakadi yetu ya chama na anailipia
Mkuu Mingoi una mimba ya uzeeni mbona unatema mate ovyo.Chama chen u cha majambazi wauaji wanaruhusu double membership?Iweje mwenye kadi yenu na ya chama kingine awe mwanachama wenu.Muwasiliane nae labda amekosa nauli ya kuwarudishia!!
Poor LUDO
At last, najua akiwa cleared Chadema watakuja hapa na kumkumbatia na kumuita shujaa wakisahau kuwa walimkana