Lussadam
JF-Expert Member
- Oct 13, 2007
- 1,294
- 835
Burning Spear anaimba kila wakati kuhusu Marcus Mosiah Garvey na Haile Selassie I.Pia kila wakati anaimba kuhusu kurudi Afrika wakati miaka inaenda yupo Jamaica. Hakuna meseji katika nyimbo za Winston Rodney zaidi ya Going back to AfricaHivi Ukizungumza Kuhusu Ujumbe... Dube anaweza sogeza pua hata Burning Spear...
He's good But not the best...