TeamLowassa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 1,495
- 937
Jaji Lubuva amesema ameagiza kwa mujibu wa taratibu, kura zipigwe, zihesabiwe na matokeo yabandikwe nje ya kituo husika
Chanzo: Jamhuri
==============================
UKAWA tufanye haya kujihakikishia ushindi:
1. Tupige kura na kulinda kura zetu hadi matokeo yatoke kwenye kituo husika; then matokeo hayo yaende kwenye Tallying Centre ya UKAWA
==============================
2. 'UKAWA TALLYING CENTRE' iwepo mbali ya ile ya NEC. Ili kuwe na uhakika kwamba matokeo yanyotumwa na wakurugenzi kwenda NEC ni sawa na yaliyopo kwenye Tallying Centre ambayo ni mkusanyiko wa matokeo ya kura zote kutoka kwenye vituo husika.
Tallying Centre ikikosekana, bao la mkono linatuhusu! Ulinzi wa kura ukikosekana, bao la mkono linatuhusu!
==============================
HIZI MBINU MBILI NDIO ZILIZOMUOKOA JOHN MNYIKA VINGINENVYO UBUNGE WAKE INGALIKUWA HISTORIA
Chanzo: Jamhuri
==============================
UKAWA tufanye haya kujihakikishia ushindi:
1. Tupige kura na kulinda kura zetu hadi matokeo yatoke kwenye kituo husika; then matokeo hayo yaende kwenye Tallying Centre ya UKAWA
==============================
2. 'UKAWA TALLYING CENTRE' iwepo mbali ya ile ya NEC. Ili kuwe na uhakika kwamba matokeo yanyotumwa na wakurugenzi kwenda NEC ni sawa na yaliyopo kwenye Tallying Centre ambayo ni mkusanyiko wa matokeo ya kura zote kutoka kwenye vituo husika.
Tallying Centre ikikosekana, bao la mkono linatuhusu! Ulinzi wa kura ukikosekana, bao la mkono linatuhusu!
==============================
HIZI MBINU MBILI NDIO ZILIZOMUOKOA JOHN MNYIKA VINGINENVYO UBUNGE WAKE INGALIKUWA HISTORIA