Lt Gen. Kayumba Nyamwasa: Why I fled Rwanda'

ha ahahaha ahahaha,stop being jealous..seems una maisha magumu sana huko Eastern Europe na 3month certificate yako in how to brush cows teeth.
maisha magumu??anyway sina experience na maisha magumu,toka nimezaliwa ni bata tu mpaka kifo,ukizingatia nimetoka GREAT NATION im proud of myself,wewe sasa ndio unajiona kama uko heaven us, kwani usingekimbia rwanda hayo mambo ungeyaona wapi?shukuru mungu vita ilitokea ukapata free visa ya UNHCR otherwise ungekuwa bado kwenu cyangugu unalima kahawa kama una bahati vinginevyo wahutu wangekua washakukata shingo yako hiyo na maneno yako haya ya dharaudharau.
 
maisha magumu??anyway sina experience na maisha magumu,toka nimezaliwa ni bata tu mpaka kifo,ukizingatia nimetoka GREAT NATION im proud of myself,wewe sasa ndio unajiona kama uko heaven us, kwani usingekimbia rwanda hayo mambo ungeyaona wapi?shukuru mungu vita ilitokea ukapata free visa ya UNHCR otherwise ungekuwa bado kwenu cyangugu unalima kahawa kama una bahati vinginevyo wahutu wangekua washakukata shingo yako hiyo na maneno yako haya ya dharaudharau.

Pathetic,i think you re crazy...
 
...Hivi hizi garbage mnazoandika humu sijui mnazitoa wapi? si muache tuu kuliko kuonekana mazuzu,naamini average user wa JF humu IQ yake itakuwa nzuri na anaweza fanya analysis nzuri kwenye issues lakini kama ndio hivi jee wale peasants wasio jua kitu itakuwaje?this BS za Hima empire,Israel,ubaguzi etc hazina tofauti na stereo types za makabila mengine kama wahaya malaya,wachaga wezi,wazaramo wavivu etc na wengine wanaamini kabisa either kwa kutojua au kushindwa kufikiria,lakini kwa ajiri akili yao iko set kuchukia Kagame basi hizi BS theory kwako zinakuwa facts,Kagame na watutsi wenzake walifukuzwa Rwanda akiwa 5yrs old wakakimbilia Uganda na EA yote then kwa miaka mingi wakataka kurudi Hutu govts wakawakatalia na kuambiwa they not rwandese na nchi imejaa na waliobaki ndani wakaishia kuwa second rate citizens huku killings zikiendelea,kwa nini watu wasiingie msituni?na huko Congo mnapolaumu Kagame alivamia ni hao Interahamwe na supporter wao Mobutu ndio wa kulaumu,unapomtandika adui yako huiishi border tuu ni kunyuka mpaka ikulu yake na kumwondoa,muulize nyerere alichomfanya Amin kwani aliishia mpakani ?na hao tutsi waliokuwa TZ wakati wakimsaidia kagame kumbuka ndio hao wakimbizi waliokimbizwa 40 yrs before leo wakipigania nchi yao unawaita wabaguzi na wakorofi kwani ulitaka wasisaidiane au wewe ndio ungepigana vita yao? pigeni makelele na conspiracy theory zenu kila siku ambazo wenyewe hata hawana idea, lakini Kagame na wenzake wanajua wanachofanya na practically you can see Rwanda is changing everyday (for the better).

Koba acha jazba, this is JF where we dare to talk openly. Hapa ni hoja, kama unadhani mwenzako kapotoka basi leta facts ili umuelimishe usiishie kusema wanaleta garbage, maana wengine wanakuona wewe ndio umeleta utumbo zaidi. Elimisha watu usilete defense mechanism.

Narudia, Watutsi na wenye asili ya kitutsi ni wagomvi (hata ukichukia). Somalia, Eritrea, Burundi na kwenu Rwanda hawa ndio wanaharibu mambo. Interahamwe sio tu waliouawa pale Congo, Maeneo ya Ituri, Goma, kivu, Kalemie kuna makabila ya wabembe, wahema, waswahili na hao ndio ilikuwa target ya Baba yako Kagame huku aki-defend wanyamulenge wenzake. Kwa taarifa yako kama unadhani interahamwe wameisha unajidanganya bado wapo. Kwa mtindo huo huo ambao Kagame aliondoka akiwa na Miaka mitano nao pia wameondoka lakini watarudi kudai chao, na hapatakarika. Kumbuka idadi kubwa ya wakimbizi wa Rwanda na Burundi (Wahutu) wamepewa hifadhi kwenye nchi za ulaya (kama wewe uliko) pale Sweden wapo mji wa UMEÄ, wanasoma vizuri, sasa maji hata yakichemka lazima yatarudia ubaridi. Hawa watu watakuja in full force na wataungana na hao watusi wenzenu mnaowafukuza hapo ndipo empire ya Kagame ita-perish.

Hauwezi kumsifu muuaji na kuhalalisha mauaji kwa sababu tu alifuata interahamwe, wenye akili tunajua. Kumbuka baada ya kuwakosa hao interahamwe majeshi ya Rwanda na Uganda walianza kutwangana sasa tuambie kisa ilikuwa nini????? Kagame na M7 haziungi kwa nini???kila mmoja wao ameingia kwa kumwaga damu, kwa sasa wanaogopana, hawaaminiani na wanaogopa vivuli vyao wenyewe. Kudhihirisha hawa jamaa zako ni wagomvi, kumbuka kauli ya kagame ya hivi karibuni ya kuilaumu Tanzania kwa kuwahaifadhi wapinzani wake hapo anaashiria nini????? je, atawafuata kama alivyodai kuwafuata interahamwe kule Congo??? jibu tukuachie wewe na garbage zako za kuchekelea na kuunga mkono muuaji.

Kama Kagame anataka kuijenga Rwanda mpya, lazima aache ubaguzi, ajenge umoja wa kitaifa kwa kuhusisha makabila yote (watutsi na wahutu). Wahutu waliopo kwenye Serikali ya Kagame, hawana sauti na wengine wamepewa posts kuziba macho ya international community ili waamini anawshirikisha wote, lakini hali ya mambo sio hivyo. Apungumze maadui wa ndani na nje kwa kuendesha Serikali yake kwa uwazi na ukweli, lakini kama ataendelea kukubambatia Mahakama za acachacha ambazo ni specific kwa wahutu tu, basi chuki itaendelea kukua dhidi ya utawala wake. Pengine tulidhani kwa kujiunga na EAC labda matatizo ya Rwanda yanaweza kupungua, lakini kinachoonekana sasa Kagame anahamishia matatizo ya nchini kwake kwenye jumuia ya EA. Hapa sijui atasaidiwaje????? Lakini hatukati tamaa, EAC yaweza kuwa muuaarobaini kwa matatizo yenu akina Koba.
 
Kanyabwoya,

..sasa unapodai Kagame hana haja na ardhi ya Tanzania una maana gani? Hivi unafikiri ni nini kilichowasukuma kujiunga na EAC na kupigia chapuo kwa nguvu zote kufutwa kwa sheria za umiliki ardhi na uhamiaji?


Kumbuka topic yako ilikuwa ku-balkanize/ku annex part ya Tanzania. Nikajibu kwenye context kwamba ardhi ya Tanzania hawezi kuitaka kwa mtindo huo, kwa sababu kwanza itakuwa ni kinyume cha sheria za mipaka kimataifa, ni aggression, ni kutaka vita ya wazi ukiachilia mbali kwamba anafahamu vema how deadly Tanzania's forepower is. That will be suicidal of his, lakini je amewahi kufanya hivyo. Kama wanayo mawazo yanabaki kwenye vichwa lakini utekelezaji hauwezekani. Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, mi nakuwa fair kwa kila mtu. Kagame sidhani kama anaweza kujitafutia maadui kiasi hicho, hizo vita za ndani na nje ataziweza vipi? Kuhusu kutaka ardhi ya Tanzania, lol! wanaitaka sana, lakini kwa njia za kisiasa, kupitia EA Federation (which i have always opposed) na hawako peke yao, Kenyans are even desperate! Ingekuwa enzi za nyuma/za giza hawa jamaa wangeungana kutupiga na kutunyang'anya ardhi yote, na kutufanyia genocide, jina la mtanzania lingebaki kwenye vitabu, lakini sasa hivi haiwezakani. Uwezo wa ku repel tunao na dunia iko macho, tukumbuke hatuishi peke yetu dunia hii. Ni kwa mantiki hiyo walitaka tujiingize mkenge tuwape ardhi na wakiingia hawawezi kutoka..sasa fanyeni hilo kosa na itakuwa ndio mwisho wa Tanzania. Kama unakumbuka toka huko nyuma nimekuwa mpinzani mkubwa hili shirikisho la kutaka ardhi yetu, hata signature yangu inasema kila kitu! Na katika majirani zetu wote, Wanyarwanda na Wakenya inaonekana interests zao zinamatch, na baada ya kuwapiga chini kwenye ardhi wamebakia kutuchukia (nina ushahidi na hili). Burundi na Uganda sidhani kama ni sana ingawa wako upande wao. Wakenya na wanyarwanda wanasema eti tuna hodhi ardhi wakati si ni wavivu na hatuna cha kuifanyia ardhi..i don't get it. Kuhusu genocide ya wakongo mamilioni, kwa kweli siko aware na hicho kitu! Nilishasema hainingii akilini mtu kuua watu kwa adventure, tena jirani zake na ambao hana visa nao! Je ni wakongo waliokuwa wanahifadhi Interahamwe,? Ni wahutu wa Rwanda waliokimbilia Kongo na ambao walikuwa wamechanganyikana na Ex FAR na Interahamwe. Iwapo ni wakongo who had nothing to do with Rwandan problens, na ambao walikuwa hawashiriki kwa namna yoyote ile..that is very sad! Sasa alifanya hivo kwa faida gani kisiasa au kijeshi!


Hakuna mtu muuaji kwa Afrika sasa hivi kama Gen. Bashir wa Sudan kwa mauaji ya halaiki aliyofanya Darfur na sehemu nyinginezo..kama hajakamatwa basi na wengine wawaache, wakikamatwa wakamatwe wote!


Kwa MkamaP: Washubi ni watu wa Ngara ingawa Wahangaza wa Bugufi ndiyo majority, Wasubi (Kina Kasusura) ni watu wa Biharamulo (angalia haya maneno yanatofautiana kwa herufi moja tu yaani H).
 
wacha, babukijana, etc ni wabaguzi wa kabila!!! hebu angalieni wanavyoshambuliwa kabila la watu. am sure wangekuwa na means wangejiunga na genocide project ya 1994. Wacha ni fanatical tutis hater
 
wacha, babukijana, etc ni wabaguzi wa kabila!!! hebu angalieni wanavyoshambuliwa kabila la watu. am sure wangekuwa na means wangejiunga na genocide project ya 1994. Wacha ni fanatical tutis hater
mi sipo huko mzee,ungesoma upande wa pili wa shilingi hawa jamaa wanavyowafanya wenzao inauma sana,na ndicho kinanifanya niongee,hivi unajua kuna wahutu wangapi hapo congo for 15 years hawako makwao wanaishi porini kama wanyama?na wengi ni watoto na wakinamama?je nao waliua ama?sawa kuna hao fdrl ambao ni masalia ya FAR, na interahamwe,hao wapo na hata mimi siwaungi mkono kabisa na hapo namuunga mkono kagame hata awafanye nini sawa tu wale ni wauaji period,natetea hawa wahutu wengine ambao waliamua kuwafuata hawa ex FAR ambao kipindi hicho kagame anaingia rwanda hawa waliona x FAR ni kimbilio lao,kwani walijua kagame ni mtutsi kitakachofuata baada ya kuchukua nchi ni ku wipe out hawa wahutu waliobaki,yaliotokea 1994 yametokea tatizo ni kwamba hata muhutu anayezaliwa leo ni genocidaire inawezekana vipi?bahutu sasa hivi wamekua kama watumwa kwao and that what im talkin about,iko siku watarevenge na itakua vita mbaya zaidi ya ile ya 1994 tutayaona,na ukumbuke hutu ni majority rwanda.
 
mi nadhani watu wajifunze kutofautisha siasa za za dictator mmoja na kabila lake lote!! akina Wacha wameshika bango wanatukana kabila la watu badala ya kushambulia siasa za kagame. hapo ndo nashangaa. sisas za jk zinauhusiano gani na mkulima wa kikwere, siasa za kibaki zina uhusiano na gikuyu.
Alafu mkitaka kujua yaliyotokea kul rwanda, ambayo ni aibu to humanity, someni vitabu, anagalia documentaries, jamani watutsi hao mnaotaka kuwala nyama mbichi kwenye hii forum wametendewa unyamaaaa, loh!
someni badala ya kueneza obscene propaganda nini akina Wacha
 
mi nadhani watu wajifunze kutofautisha siasa za za dictator mmoja na kabila lake lote!! akina Wacha wameshika bango wanatukana kabila la watu badala ya kushambulia siasa za kagame. hapo ndo nashangaa. sisas za jk zinauhusiano gani na mkulima wa kikwere, siasa za kibaki zina uhusiano na gikuyu.
Alafu mkitaka kujua yaliyotokea kul rwanda, ambayo ni aibu to humanity, someni vitabu, anagalia documentaries, jamani watutsi hao mnaotaka kuwala nyama mbichi kwenye hii forum wametendewa unyamaaaa, loh!
someni badala ya kueneza obscene propaganda nini akina Wacha
umesoma upande mmoja wa shilingi soma upande mwingine na angalia yanayofanyika sasa rwanda ni yaleyale ambayo unasema ni aibu tu humanity,ukitaka full forum bonyeza hapa
kasome kuanzia mwanzo kisha rudi hapa tukupe link zingine
 
mi kwa taarifa yako mwaka 1994 nilifanya kazi kwenye kambi ya wakimbizi wa kihutu kyabalisa kama wfp field officer. i got their viva voce evidence on what they had done before pouring into tanzania. lohhh!!!
pia nimesoma maandiko ya waandishi wa kizungu na kuangalia documentaries, sio movie. mi nadhani tuacha prejudices, people we abused, killed humanlessly. leo hii ukitaka kujua what is happening nenda rwanda don sit on your ass and propagate falsehoods. alafu mi sipendi kusikia mambo ya kikabila. we kabila lako super? ulijaza fomu kuchagua kabila lako?
 
mi kwa taarifa yako mwaka 1994 nilifanya kazi kwenye kambi ya wakimbizi wa kihutu kyabalisa kama wfp field officer. i got their viva voce evidence on what they had done before pouring into tanzania. lohhh!!!
pia nimesoma maandiko ya waandishi wa kizungu na kuangalia documentaries, sio movie. mi nadhani tuacha prejudices, people we abused, killed humanlessly. leo hii ukitaka kujua what is happening nenda rwanda don sit on your ass and propagate falsehoods. alafu mi sipendi kusikia mambo ya kikabila. we kabila lako super? ulijaza fomu kuchagua kabila lako?
siona ukabila wala sijali kabila la mtu yeyote we all same,fuata link soma urudi tena acha blaah blaah.
 
umesoma upande mmoja wa shilingi soma upande mwingine na angalia yanayofanyika sasa rwanda ni yaleyale ambayo unasema ni aibu tu humanity,ukitaka full forum bonyeza hapa
kasome kuanzia mwanzo kisha rudi hapa tukupe link zingine

....tatizo lako la kutumia extremist hutu propaganda blogs/sites na kutuletea fantasy zako hapa kama facts acha,ndio mana nakuambia kila siku huelewi chochote zaidi ya kuwa fanatic tuu,huna idea kilichotokea na kinachoendelea Rwanda zaidi ya kuleta pumba tuu humu.
 
umesoma upande mmoja wa shilingi soma upande mwingine na angalia yanayofanyika sasa rwanda ni yaleyale ambayo unasema ni aibu tu humanity,ukitaka full forum bonyeza hapa
kasome kuanzia mwanzo kisha rudi hapa tukupe link zingine

Wakuu kwenye uongo ukweli hujitenga, na kwenye ukweli huongo hujitenga. Hakuna anayepinga kuwa Rwanda hakukuwa na Genocide. Lakini tataizo ni kuwa watu wanasahau kuwa wauaji walikuwa wawili, interahamwe na RPF. Ingawa malengo yalikuwa mawili tofauti, lakini njia ilikuwa moja tu.
RPF mpaka leo wanasema wao walifanya mauaji ya wahutu wauaji, (they stopped the Genocide by killing hutus who were killing tutsis). Hakuna anayeweza kusema kuwa walisimamisha mauaji kwa kutumia bendera nyeupe.

Ni miaka 15 sasa imepita toka Genocide ya pili ya Rwanda ipite. For sure iko nyingine inakuja just do not know when will that be, maana kama Hyabyarimana aliondolewa kutokana na inhumane action against the tutsis, some one who does the same to hutus will have the same fate. The clock is ticking.
 
Wakuu kwenye uongo ukweli hujitenga, na kwenye ukweli huongo hujitenga. Hakuna anayepinga kuwa Rwanda hakukuwa na Genocide. Lakini tataizo ni kuwa watu wanasahau kuwa wauaji walikuwa wawili, interahamwe na RPF. Ingawa malengo yalikuwa mawili tofauti, lakini njia ilikuwa moja tu.
RPF mpaka leo wanasema wao walifanya mauaji ya wahutu wauaji, (they stopped the Genocide by killing hutus who were killing tutsis). Hakuna anayeweza kusema kuwa walisimamisha mauaji kwa kutumia bendera nyeupe.

Ni miaka 15 sasa imepita toka Genocide ya pili ya Rwanda ipite. For sure iko nyingine inakuja just do not know when will that be, maana kama Hyabyarimana aliondolewa kutokana na inhumane action against the tutsis, some one who does the same to hutus will have the same fate. The clock is ticking.
thats what im talkin about
 
....tatizo lako la kutumia extremist hutu propaganda blogs/sites na kutuletea fantasy zako hapa kama facts acha,ndio mana nakuambia kila siku huelewi chochote zaidi ya kuwa fanatic tuu,huna idea kilichotokea na kinachoendelea Rwanda zaidi ya kuleta pumba tuu humu.
kubishana nawewe koba ni sawa na kubishana na matonya fulani hivi,hutanielewa mpaka yatakapokuja kukutokea tena,anyway sikulaumu sana maana huchelewi kunichukia namimi ukaniita extremist hutu,kalaghabaho sina faida yoyote nnayopata kubishana nawewe zaidi ya kuumiza kichwa.
 
Lastly nasema hivi kwa wale wenye chuki binafsi dhidi ya Tutsi people, mmeula wa chuya..watu wenye mtazamo finyu wasitake kuhukumu jamii nzima ya asili hiyo kwamba wanaongozwa na fikra za Kagame! MTOTO WA JIJI ameongea kitu kimoja kizuri sana, kwamba urais wa JK unahusishwaje na Wakwere, wengine wako huko maskini hawana hata mafuta ya taa na sabuni, unawahukumu kwa matendo ya Kikwete...itakuwa watusi ambao wako nchi tano tofauti za ukanda wa maziwa makuu?! that's very bad. Watusi hawataishi kwa kutegemea huruma ya mtu! Siyo kwa sentiments za zangu wala yeyote yule! They able and capable of defending themselves! Tutsi heritage is larger than Kagame as well! Ila kwa kitendo cha kumtafuta Gen. Nyamwasa, sijui anamtafutia nini, je ni kwenda kumuua? Tangu hapo Kagame atakuwa adui wangu milele na daima, he should be able to agree to disagree!
 
Kanyabwoya,

..nilichozungumzia mimi ni nia chafu ya Kagame ku-distabilize na kujaribu ku-balkanize eneo la Eastern Congo. naomba urekebishe post yako.

..Jumuiya ya Kimataifa nayo haijawa-firm ktk kuchukua hatua kali kwa wahusika wote wa vita vya Congo kwa uharibifu wa mali na mauaji ya kimbari. Ripoti ya wachunguzi wa UN ilipendekeza nchi washiriki wa vita ile wawekewe vikwazo vya kiuchumi. mataifa makubwa yakapinga na kuendelea kutoa msaada mkubwa kwa Rwanda kuliko hata nchi kubwa kama Congo.

..may be I havent done enough research, lakini harakati za Watutsi kumpinga waziwazi Kagame na hili genge lake kwa kufanya mauaji ya kimbari na kupora mali za Congo hazionekani. mambo anayoyafanya Kagame na kundi lake ni UHARAMIA wa waziwazi na yanawaongezea maadui watu wote wenye asili ya Kitutsi.

NB:

..kwa upande wangu nadhani wakimbizi wa Rwanda walifanya makosa kusherehekea kutunguliwa ndege ya Habyarimana, na serikali ya Tanzania ilikuwa na haki ya kuchukizwa na kitendo kile.

..lazima uelewe kwamba mwenye ndege ile iliyotunguliwa alikuwemo pia Raisi wa Burundi bwana Ciprian Ntaryamira. vilevile viongozi wale waliouwa walikuwa wametokea ktk ardhi yetu Watanzania na walikuwa hapa kujadili AMANI ktk mazungumzo ambayo Tanzania alikuwa mpatanishi mkuu.

..sasa iweje serikali ya Tanzania iruhusu watu waandamane na kucheza ngoma kusherehekea mauaji ya Maraisi ambao tulikuwa tunawatambua?

..vilevile kumtukana matusi ya nguoni Mzee Cygwiyemwisi John Malecela,Waziri Mkuu Mstaafa wa Tanzania, ambaye alifanya kazi kubwa sana, yeye na Watanzania wengine kama Balozi Mpungwe, kujaribu kuleta suluhisho la amani la amani kati ya Watutsi na Wahutu ni kutukosea heshima Watanzania wote.
 
Wengi wanaoandika humu hawajui chochote kuhusu Rwanda na wanafikiria ni ile nchi before 1994,Rwanda is free,piecefully,stable,safer &democratic na inaendelea sana kiuchumi ndio maana kuna movements kubwa sana ya human capital & investments kutoka dunia nzima kuelekea Kigali na ukiangalia vizuri hawana oil wala gold,je ni kwanini watu wamekuwa na interest kubwa sana na Rwanda na hata madkitari na maprofesa wetu wengi tuu wa TZ wamekimbilia kigali? well,tutamlaumu kagame na kumwita majina yote lakini practically the guy is doing magic and is the best ndio maana Rwanda fullspeed is moving ahead kuanzia kwenye Education,energy mpaka technology,Kigali is safe,free of corruption & very clean,fully blanketed with broadband high speed internet etc...why all of the sudden everybody is interested with Rwanda? no oil,no gold why?theres something right kina kagame wanafanya ndio maana wameattract lots of friends & foes alike.
 
Bwana Fugwe, the same can be said about Hutus. In Burundi, FNL Palipehutu ya Agathon Rwasa ilikuwa ndiyo ilikataa kuweka silaha chini dhidi ya CNDD ya Nkurunziza mapaka juzi wakati UPRONA ya "watusi" walishaelewana na Nkurunziza Mhutu. Imagine, FNL wenyewe bila aibu wanajiita Palipehutu, yaani chama cha Wahutu, how can that be! Na kwa upande wa Rwanda, Ukumbuke kuwa Mwenyekiti wa RPF alikuwa Alex Kanyarengwe Mhutu (Marehemu) na Habyarimana aliua wahutu wenzake kama sisimizi, mfano kina Kavaruganda. Aliwafanya wahutu wa magharibi kuwa ruling class wakati wake, na ukiachlia mbali watusi waliokuwa nje, hata wahutu wa maenea mengine walikuwa marginalized, na kuuawa pale wanapojiingiza kwenye harakati za kupinga utawala wake. Hizi siasa za nchi hizi usije ukajidanganya kwamba ni makabila pekee, ni zaidi ya hapo. Hawa watu mi nawajua sana, mi ni expert wa mahusiano/siasa za ukanda wa maziwa makuu..


Joka Kuu: Mjadala wetu ulianzia hapa na ukasema nakuchanganya, naomba uniieleze kinachokuchnganya! My take ni kwamba kwako wahutu hawawezi kuwa na power struggle ambayo pia tunaishuhudia ndani ya CCM, unless you prove otherwise to me. Kama ndiyo mada ya thread hii, iweje haiwezekani kwa wahutu wa Burundi? Kwani wao si watu, kwani ulaji/sifa/ uchu wa madaraka vinaangalia kabila la mtu? Hizo ni facts, naomba hoja mbadala!

Kuhusu kutumia lugha kali, yes i admit, ni katika harakati za kusisitiza, na ulisema ni kukowakosea watanzania wote, nachukua nafasi hii kujiommba msamaha mimi mwenyewe kwani mi ni MTZ no. 1. Hata hivyo, hoja ilikuwa wanyarwanda kushangilia au kutoshangilia masahib ya adui yao, una haki ya kuwa na maoni yako, but my stance is unmoved, they were right! Kumbuka kwamba hawakushangilia kwa sababu ya Ntaryamira (RIP), as they had nothing to do with him, even if he was a Hutu, he was a Burundian anyways, and they were not. Si kila Mhutu is a tutsi hater, mf. Nkurunziza, rais wa sasa wa Burundi!. Kama mtu anaibiawa mke wake, na hana cha kufanya, na akasikia huyo jamaa watu wamemundoa, na yeye hakuhusika, kesi iko wapi hapo, naomba kujua!

Uzingatie kuwa matendo ya Mh. Kagame hayawezi na hayatakiwi kuwaletea maadui watu wa ethnicity yake, hilo naendelea kusema hivyo.! Itakuwaje tena atofautiane na ndugu yake Nyamwasa ambaye ni asili yake? itakuwaje Sebarenzi (a genocide survivor na spika wa Bunge la rwanda alikimbia nchi tena kwa kukoswa koswa kuawa wakati ni mtusi)?. Joka Kuu na Koba hebu saidia..JF ni kuelimishana!

Naomba kuwasilisha!

Kwa Koba, u probably know much about Rwanda than we do, nakuomba utwambie makosa ya Gen. Nyamwasa, maana unasema hatujui, lengo ni ni kujifunza. Uelewa wangu ni kwamba, iweje Kagame hakumu-arrest kabla ya kumteau kuwa balozi India na iwe sasa? wakati tukio lilikuwa wakati ule? maomna kujua.
 
Bwana Fugwe, the same can be said about Hutus. In Burundi, FNL Palipehutu ya Agathon Rwasa ilikuwa ndiyo ilikataa kuweka silaha chini dhidi ya CNDD ya Nkurunziza mapaka juzi wakati UPRONA ya "watusi" walishaelewana na Nkurunziza Mhutu. Imagine, FNL wenyewe bila aibu wanajiita Palipehutu, yaani chama cha Wahutu, how can that be! Na kwa upande wa Rwanda, Ukumbuke kuwa Mwenyekiti wa RPF alikuwa Alex Kanyarengwe Mhutu (Marehemu) na Habyarimana aliua wahutu wenzake kama sisimizi, mfano kina Kavaruganda. Aliwafanya wahutu wa magharibi kuwa ruling class wakati wake, na ukiachlia mbali watusi waliokuwa nje, hata wahutu wa maenea mengine walikuwa marginalized, na kuuawa pale wanapojiingiza kwenye harakati za kupinga utawala wake. Hizi siasa za nchi hizi usije ukajidanganya kwamba ni makabila pekee, ni zaidi ya hapo. Hawa watu mi nawajua sana, mi ni expert wa mahusiano/siasa za ukanda wa maziwa makuu..


Joka Kuu: Mjadala wetu ulianzia hapa na ukasema nakuchanganya, naomba uniieleze kinachokuchnganya! My take ni kwamba kwako wahutu hawawezi kuwa na power struggle ambayo pia tunaishuhudia ndani ya CCM, unless you prove otherwise to me. Kama ndiyo mada ya thread hii, iweje haiwezekani kwa wahutu wa Burundi? Kwani wao si watu, kwani ulaji/sifa/ uchu wa madaraka vinaangalia kabila la mtu? Hizo ni facts, naomba hoja mbadala!

Kuhusu kutumia lugha kali, yes i admit, ni katika harakati za kusisitiza, na ulisema ni kukowakosea watanzania wote, nachukua nafasi hii kujiommba msamaha mimi mwenyewe kwani mi ni MTZ no. 1. Hata hivyo, hoja ilikuwa wanyarwanda kushangilia au kutoshangilia masahib ya adui yao, una haki ya kuwa na maoni yako, but my stance is unmoved, they were right! Kumbuka kwamba hawakushangilia kwa sababu ya Ntaryamira (RIP), as they had nothing to do with him, even if he was a Hutu, he was a Burundian anyways, and they were not. Si kila Mhutu is a tutsi hater, mf. Nkurunziza, rais wa sasa wa Burundi!. Kama mtu anaibiawa mke wake, na hana cha kufanya, na akasikia huyo jamaa watu wamemundoa, na yeye hakuhusika, kesi iko wapi hapo, naomba kujua!

Uzingatie kuwa matendo ya Mh. Kagame hayawezi na hayatakiwi kuwaletea maadui watu wa ethnicity yake, hilo naendelea kusema hivyo.! Itakuwaje tena atofautiane na ndugu yake Nyamwasa ambaye ni asili yake? itakuwaje Sebarenzi (a genocide survivor na spika wa Bunge la rwanda alikimbia nchi tena kwa kukoswa koswa kuawa wakati ni mtusi)?. Joka Kuu na Koba hebu saidia..JF ni kuelimishana!



Kwa Koba, u probably know much about Rwanda than we do, nakuomba utwambie makosa ya Gen. Nyamwasa, maana unasema hatujui, lengo ni ni kujifunza. Uelewa wangu ni kwamba, iweje Kagame hakumu-arrest kabla ya kumteau kuwa balozi India na iwe sasa? wakati tukio lilikuwa wakati ule? maomba kujua.

Naomba kuwasilisha!
 
Back
Top Bottom