Lt Gen. Kayumba Nyamwasa: Why I fled Rwanda'

Few days ago there was a thread talking about Kagame Regime, in that thread I bitterly uttered that tutsi are war monkers, for them coup is like drinking a cup of coffee. If hutu are rulers, tutsi would fight against hutu, but if rulers are tutsi they would fight against themselves. This happened in Burundi, Since indepence burudi ruled by tutsi, remember President Micombero thrown out of the power by his fellow tutsi, again Buyoya did the same to his fellow tutsi. these people that is how they are. I can say Kagame's regime days are numbered, let us wait.
 
Few days ago there was a thread talking about Kagame Regime, in that thread I bitterly uttered that tutsi are war monkers, for them coup is like drinking a cup of coffee. If hutu are rulers, tutsi would fight against hutu, but if rulers are tutsi they would fight against themselves. This happened in Burundi, Since indepence burudi ruled by tutsi, remember President Micombero thrown out of the power by his fellow tutsi, again Buyoya did the same to his fellow tutsi. these people that is how they are. I can say Kagame's regime days are numbered, let us wait.
mkuu days are numbered kweli huyu jamaa anajipanga kwa sababu hawezi enda popote duniani,kumbuka bado ana kesi na mahakama za kimataifa na serikali ya kagame ndio ilikua inamlinda,na huko aliko hawezi kujificha mda wote kagame ana mkono mrefu anaweza akatuma watu wake wakammaliza,uzuri huyu jamaa ana suport kubwa rwanda kijeshi na hata watutsi wenzie,kwa hiyo ni swala la muda tu,asipowahiwa lazima atarevenge,na ndio wasiwasi wa kagame,tena usishangae akarevenge kupitia uganda.
 
Few days ago there was a thread talking about Kagame Regime, in that thread I bitterly uttered that tutsi are war monkers, for them coup is like drinking a cup of coffee. If hutu are rulers, tutsi would fight against hutu also if rulers are tutsi they would start fight against themselves. This happened in Burundi, Since indepence burudi ruled by tutsi, If we count coups that happened in burundi are more than five, and all these were among tutsi themselves. These people that is how they are. I can say Kagame's regime days are numbered, let us wait.
 
I think now the world is seeing the correct colours of Kagame!!!!! Huyu hafai EAC. Nchi inaonekana inapiga hatua but at expense of human rights targeted to those who are seen to have ideas more than what Kagame has!!!! Shame to him, he is shaming Rwanda. We gave him a wave, and hug for economic revolutions but now it going out of the bowl!!
 
Few days ago there was a thread talking about Kagame Regime, in that thread I bitterly uttered that tutsi are war monkers, for them coup is like drinking a cup of coffee. If hutu are rulers, tutsi would fight against hutu also if rulers are tutsi they would start fight against themselves. This happened in Burundi, Since indepence burudi ruled by tutsi, If we count coups that happened in burundi are more than five, and all these were among tutsi themselves. These people that is how they are. I can say Kagame's regime days are numbered, let us wait.


Jitahidi kufikiria zaidi. Usi stereotype. Je watusi wa Kigoma are war mongers, si wapo kwenye hizi ofisi za Serikali, mbona hawajakuua. You need to qualify na kusema watusi wa Rwanda na Burundi na Congo, lakini hata wao ni kwa sababu ya mazingira waliyomo. Je unajua wahutu jinsi ambavyo wamewanyanyasa, na kuwaua..jitahidi kufuatilia ukweli. Wote wamebaguana, sasa wanavuna walichopanda, the situation is now out of control. Hawa ni kuwasaidia kama tunavyofannya siku zote, na kuwaombea. U need to be balanced, jambo lolote linalojumuisha asili nzima ya watu ni ujinga. Je Wahaya wote ni malaya, na Wachaga wote ni wabaguzi na wezi, na wagogo wote ni omba omba. Tutsi tribe is more than Rwanda and Burundi bro...just a tribe like any other! Liko katika nchi tano za maziwa makuu ikiwemo Tanzania, now was it their plan to be there. Hiyo ni Berlin Conference, hata hivyo mipaka iendelee, USA (Africa) haina mpango.
 
Kanyabwoya,

..most of the time ppl are referring to Tutsi in Rwanda. If they talk about any other Tutsi I believe they will qualify that it is the Tutsi whose origin is Rufiji, Kigoma,Rombo, you name it.
 
Bwana Fugwe, the same can be said about Hutus. In Burundi, FNL Palipehutu ya Agathon Rwasa ilikuwa ndiyo ilikataa kuweka silaha chini dhidi ya CNDD ya Nkurunziza mapaka juzi wakati UPRONA ya "watusi" walishaelewana na Nkurunziza Mhutu. Imagine, FNL wenyewe bila aibu wanajiita Palipehutu, yaani chama cha Wahutu, how can that be! Na kwa upande wa Rwanda, Ukumbuke kuwa Mwenyekiti wa RPF alikuwa Alex Kanyarengwe Mhutu (Marehemu) na Habyarimana aliua wahutu wenzake kama sisimizi, mfano kina Kavaruganda. Aliwafanya wahutu wa magharibi kuwa ruling class wakati wake, na ukiachlia mbali watusi waliokuwa nje, hata wahutu wa maenea mengine walikuwa marginalized, na kuuawa pale wanapojiingiza kwenye harakati za kupinga utawala wake. Hizi siasa za nchi hizi usije ukajidanganya kwamba ni makabila pekee, ni zaidi ya hapo. Hawa watu mi nawajua sana, mi ni expert wa mahusiano/siasa za ukanda wa maziwa makuu..
 
Kanyabwoya,

..usituchanganye bwana.

..kinachojulikana sasa hivi ni kwamba RPF imeua mamilioni ya Wacongo ndani ya nchi yao wenyewe kwa kisingizio cha kuwatafuta wapiganaji wa Kihutu.

..huyu Kagame na RPF yake walifikia mpaka kushirikiana na Savimbi wa Angola kujaribu ku-destabilize na ku-Balkanize Congo.

..Kagame,Kabarebe,Nyamwasa,na Nkunda, wanatakiwa wakamatwe kwa Genocide ya Wacongomani.
 
Kanyabwoya,

..usituchanganye bwana.

..kinachojulikana sasa hivi ni kwamba RPF imeua mamilioni ya Wacongo ndani ya nchi yao wenyewe kwa kisingizio cha kuwatafuta wapiganaji wa Kihutu.

..huyu Kagame na RPF yake walifikia mpaka kushirikiana na Savimbi wa Angola kujaribu ku-destabilize na ku-Balkanize Congo.

..Kagame,Kabarebe,Nyamwasa,na Nkunda, wanatakiwa wakamatwe kwa Genocide ya Wacongomani.

Joka unaweka in black and white hakuna kumuonea haya. Where we dare talk openly! Ati yeye ni expert - expert my foot.
 
Kanyabwoya,

..nasikia hapa Tanzania Wahangaza wameanza kubaguana kwa Uhutu na Ututsi.

..kidogo kidogo wataanza kuleta mambo ya Banyamulenge huku kwetu.

..MY HOPE IS THAT THE INTERNATIONAL COMMUNITY WONT BE FOOLED THIS TIME AROUND AND ALLOW RWANDA'S RPF TO DIS-TABILIZE ITS NEIGHBOURS.
 
Nilishasema " Huwezi kudanganya watu wote muda wote" Kuna siku ukweli wa genocide utawekwa wazi kuwa hii ni political tool ya kagame ili du ighilibu dunia. Waliokufa wengi waliuawa na RPF na wala si na wahutu wenye msimamo mkali. Walikatwa vichwa ili iwe vigumu kutaambua identiy yao. Wahutu hawana imani kabisa na Kagame lakini hawana la kufanya, wamezungukwa dunia nzima. Kagame amekuwa kama muungu mdogo, ni mtaalamu wa propoganda na kupika stori! Siku moja ukweli utakuwa wazi.
 
Kanyabwoya,

..nasikia hapa Tanzania Wahangaza wameanza kubaguana kwa Uhutu na Ututsi.

..kidogo kidogo wataanza kuleta mambo ya Banyamulenge huku kwetu.

..MY HOPE IS THAT THE INTERNATIONAL COMMUNITY WONT BE FOOLED THIS TIME AROUND AND ALLOW RWANDA'S RPF TO DIS-TABILIZE ITS NEIGHBOURS.


Kumbuka wilaya ya Ngara ina washubi pia, ni jamii mbili. Ninachojua mimi watu wa Ngara hawabaguani kwa misingi hiyo, pamoja na kuwa wana asili hizo. Kutokana na intermarriages za muda mrefu amongst themselves and versus other Tanzanian tribes, that uhutu na utusi utabaki kwenye kumbu kumbu za vitabuni kwa hiyo hiyo tension haipo, na Kagame or whoever can't use it. Kwenye jamii ile kikubwa kinacho-matter ni class, yaani inapendwa pochi tu siyo mtu, so whoever has it, he will be having an upper hand in whatever he does, whether ni aliyeko wilayani au mjini. Sehemu pekee ambako kadi za utusi na uhutu zinatumika ni kwenye nafasi za ulaji za kugombea mf. ubunge. Mbunge aliyepo amezitumia, na hata waliotangulia, wote wakiwa wana asili za wahutu, BTW, wahutu are overwhelimingly majority kwa hiyo that tension ia again irrelevant. Lakini at times cha msingi pia ni hela ya kusplash kwenye campaign hasa siku hizi, enzi za Nyerere hiyo kitu haikuwepo, so whoever can splash more, bila kujali asili yake anaweza shinda. Hiv majuzi nimepata data kwamba wanatumia kadi pia za udhehebu(siyo dini) maana kule wote ni wakristo (no muslims there labda watano! )Kwa hiyo waanglikana hapo wanakuwa na upper hand (wabunge wote ni dhehebu hilo), nasikia wakatoliki hapa wamepigwa bao (ila siiaminisana hii school of thought)..deciding factor inabakia kuwa pochi!

Watu wa Ngara, if anything, kiutamaduni are more related to Burundians than Rwandans, again hapo suala la Kagame kuwatumia halipo. Lakini je wao wenyewe wako tayari kutumika, jibu ni NO, maana ndio wa kwanza kukataa Shirikisho la EA, na wataingia kwenye vitabu vya kumbu kumbu kwa hilo. Je yuko interested na ardhi ya Tanzania, again jibu ni NO, kwa sababu hajawahi kusema hivyo wala kutenda hivyo, na ninavyojua mimi matatizo yake ni yandani na nilishasema hivyo mwanzoni, na hata kuna mchnagiaji alishasema hivyo. So huo mpango haupo, kuna watu wanaopenda kuishi kwenye imani za conspiracy theories za Bahima empire, waache mara moja kwa sababu ni sawa na ushirikina kwa sababu that's plain ignorance. Inawezekanaje wakati Kagame na M7 ambao ndiyo inasemekana ni archtect wa huo mpango wanagombana kila siku, kilichowapeleka Congo ni kuiba kwa kuwa Congo ni shamba la bibi, lakini hata sisi watanzania tunaibiana, angalia Richmond, EPA, Meremeta, TICTS tofauti ni style ya kuiba! Moreover, watu wa Ngara are too smart to be used by Kagame, when are not Rwandans themselves. Kwanza kukiwa na any skirmishes, they will be the first ones to pay the price, now in no way they can subscribe to that!
 
Joka unaweka in black and white hakuna kumuonea haya. Where we dare talk openly! Ati yeye ni expert - expert my foot.


Ninachokiona mimi Joka Kuu is not quarelling with me, but you are! Mimi kujiita expert inakuwashia nini? Kunionea haya ipi.. do you think i need your sympathy? kwa lipi? . Wewe umegombana na Koba, na Koba amekupa facts unaishia kumwita majina unayotaka baada ya kukushinda kwa hoja. BTW, anayokueleza Koba yamekwenda shule, tofauti yangu mi na yeye ni kuhusu shirikisho, silihitaji kamwe. Na misimamo yangu haifungamani na mtu. Endelea na Koba unayemtishia kuwa siyo mtanzania, but not me! Kwangu umeeingia choo cha kike! Wewe unapenda personal confrotations kuliko mada husika! U need to get off my diki men!
 
Kanyabwoya,

..usituchanganye bwana.

..kinachojulikana sasa hivi ni kwamba RPF imeua mamilioni ya Wacongo ndani ya nchi yao wenyewe kwa kisingizio cha kuwatafuta wapiganaji wa Kihutu.

..huyu Kagame na RPF yake walifikia mpaka kushirikiana na Savimbi wa Angola kujaribu ku-destabilize na ku-Balkanize Congo.

..Kagame,Kabarebe,Nyamwasa,na Nkunda, wanatakiwa wakamatwe kwa Genocide ya Wacongomani.


Kagame alichotwambia ni kwamba alifuata Nterahamwe Congo na ninaamini hivyo mpaka leo. Iwapo aliua Wakongo wasiokuwa na hatia, unarmed, just for the sake of killing, that was very wrong. Wakongo ni jirani zetu na ndugu zetu kama walivyo wanyarwanda na warundi! Sasa je ni kweli, that you one will have to prove it before the court! Ninachojua mimi, iwe Kagame au M7 na sasa mnamsema na marehemu Savimbi kule wanafuata kuiba, lakini je kuna watu wanaiba kama watanzania, milioni 800 za TASAF zimetafunwa kwenye wilaya yangu bila kumfikia hata mlengwa mmoja! (kamfano kadogo tu). Msukumo mkubwa wa ndani Kongo (Eastern) ni kupora mali ambazo hazina ulinzi, kwani Kinshasa iko mbali mno na Kabila hawezi fanya kitu. Lakini ikumbukwe kuwa Nterahamwe in Congo was a real threat, so Kagame had to pursue them, since Kabila (both marehemu na mtoto wake) couldn't tame them given the nature of The vast Congo. Mimi imani yangu ni kuwa aliua wanajeshi Nterahamwe, ex FAR na their Hutu accomplices, na pengine wakongo waliokuwa wanasaidia adui zake ambao nao wanakuwa adui zake kwa mantiki hiyo. Lakini iwapo aliua wakongo tu, kwa vile ni wakongo hilo ni kosa kubwa. Lakini katika vita ya kisasa, naamini hakuna mpiganaji anapenda kujiongezea maadui bila sababu, hiyvo sababu ya kuua wakongo mimi hainingii akilini. Je si kwamba na yeye Kagame alikuwa na washirika wake wakongo? Iwapo aliiba mali, basi walioiba ni wengi na wakamatwe wote, akiwamo M7, na makampuni ya kimataifa yakiwemo ya Marekani, Uchina, Ulaya na kwingineko. Siyo yale ya kwetu ya kukamata fisadi wachache wakati wengine wengi mapapa wanaachwa. Hivi hizo resources za kukamata wahalifu wote wa Great Lakes region zitatoka wapi, mbona wengi na uharifu umefanyika kwa miongo mimgi sana!
 
Jitahidi kufikiria zaidi. Usi stereotype. Je watusi wa Kigoma are war mongers, si wapo kwenye hizi ofisi za Serikali, mbona hawajakuua. You need to qualify na kusema watusi wa Rwanda na Burundi na Congo, lakini hata wao ni kwa sababu ya mazingira waliyomo. Je unajua wahutu jinsi ambavyo wamewanyanyasa, na kuwaua..jitahidi kufuatilia ukweli. Wote wamebaguana, sasa wanavuna walichopanda, the situation is now out of control. Hawa ni kuwasaidia kama tunavyofannya siku zote, na kuwaombea. U need to be balanced, jambo lolote linalojumuisha asili nzima ya watu ni ujinga. Je Wahaya wote ni malaya, na Wachaga wote ni wabaguzi na wezi, na wagogo wote ni omba omba. Tutsi tribe is more than Rwanda and Burundi bro...just a tribe like any other! Liko katika nchi tano za maziwa makuu ikiwemo Tanzania, now was it their plan to be there. Hiyo ni Berlin Conference, hata hivyo mipaka iendelee, USA (Africa) haina mpango.

Kanyambwoya,
Anachokiandika mtu jua amefikiria ndio maana kaandika, hapa na maana siwezi kufikiria kama unavyofikiria wewe, sasa turudi kwenye mada.

Dhambi ya ubaguzi ni sawa na moto wa kiagazi, ukimaliza pori moja utaendelea kwenye pori lingine. Watusi ni wabaguzi jua hilo. Na watusi kama ulivyosema hawapo Rwanda, Burundi au Congo tu, hata nchi nyingine wapo, na hapa kwetu wapo na hasa Kigoma ulikosema ni wengi na wanaendeleza ukabila wao. Wamewabagua wahutu, sasa wanabaguana wao kwa wao. Angalia watusi wamefikia hatua ya kujiita Waisraeli kwamba 'they are extra ordinary' huu ni upuuzi, na hapa ndipo dhambi ya ubaguzi imelalia Wewe ukijiona ni bora uje mwingine unamuona sio bora. Nakumbuka wakati RPF wanapigana na Seriakali ya Habyarimana watusi wanaoishi Tanzania walijitolea kwa hali na mali kumsaidia Kagame, wapo waliotoa fedha, na wengine walishiriki vita moja kwa moja na leo hii wananafasi zao Rwanda. Kwa msingi huo tuwaiteje??????? Sio vizuri kujumuisha watusi wote, lakini tunapoona kila mtusi ni mbaguzi, hawezi kuchangamana na wengine tuwaiteje??? Nenda kaone kwenye vijiji wanapoishi, wamejitenga na wengine, huwezi kuoa mtusi kama wewe si mtusi (Vijiji vya kalinzi, nyarubanda, Mkigo Kigoma (v) na baadhi ya maeneo ya ngara ni mfano kaone)

Kama ulivyosema, kwamba wewe ni mtalaam katika mambo ya mahusiano na hasa kwenye nchi za maziwa makubwa sina ubishi na hilo kwani sikujui. Mimi nasema kwa kuona na uzoefu ninao na ndio maana nasema ninavyosema, sasa kama wewe ni mtaalam kwa kusoma journals sisi wenzako tunayaona. Jambo la msingi nakubaliana na wewe kwamba watu hawa wanahitaji kusaidiwa hatuwezi kukaa pembeni na kushangilia jinsi wanavyouana.
 
Ninachokiona mimi Joka Kuu is not quarelling with me, but you are! Mimi kujiita expert inakuwashia nini? Kunionea haya ipi.. do you think i need your sympathy? kwa lipi? . Wewe umegombana na Koba, na Koba amekupa facts unaishia kumwita majina unayotaka baada ya kukushinda kwa hoja. BTW, anayokueleza Koba yamekwenda shule, tofauti yangu mi na yeye ni kuhusu shirikisho, silihitaji kamwe. Na misimamo yangu haifungamani na mtu. Endelea na Koba unayemtishia kuwa siyo mtanzania, but not me! Kwangu umeeingia choo cha kike! Wewe unapenda personal confrotations kuliko mada husika! U need to get off my diki men!

Pilipili usoila inakuwashiani? Ati shule shule angekuwa zuzu. Tanzania ni ya Watanzania sio vizwezwe wa kutoka Burundi wala Rwanda au Kenya kufikiri ni shamba la bibi.
 
Kumbuka wilaya ya Ngara ina washubi pia, ni jamii mbili. Ninachojua mimi watu wa Ngara hawabaguani kwa misingi hiyo, pamoja na kuwa wana asili hizo. Kutokana na intermarriages za muda mrefu amongst themselves and versus other Tanzanian tribes, that uhutu na utusi utabaki kwenye kumbu kumbu za vitabuni kwa hiyo hiyo tension haipo, na Kagame or whoever can't use it. Kwenye jamii ile kikubwa kinacho-matter ni class, yaani inapendwa pochi tu siyo mtu, so whoever has it, he will be having an upper hand in whatever he does, whether ni aliyeko wilayani au mjini. Sehemu pekee ambako kadi za utusi na uhutu zinatumika ni kwenye nafasi za ulaji za kugombea mf. ubunge. Mbunge aliyepo amezitumia, na hata waliotangulia, wote wakiwa wana asili za wahutu, BTW, wahutu are overwhelimingly majority kwa hiyo that tension ia again irrelevant. Lakini at times cha msingi pia ni hela ya kusplash kwenye campaign hasa siku hizi, enzi za Nyerere hiyo kitu haikuwepo, so whoever can splash more, bila kujali asili yake anaweza shinda. Hiv majuzi nimepata data kwamba wanatumia kadi pia za udhehebu(siyo dini) maana kule wote ni wakristo (no muslims there labda watano! )Kwa hiyo waanglikana hapo wanakuwa na upper hand (wabunge wote ni dhehebu hilo), nasikia wakatoliki hapa wamepigwa bao (ila siiaminisana hii school of thought)..deciding factor inabakia kuwa pochi!

Watu wa Ngara, if anything, kiutamaduni are more related to Burundians than Rwandans, again hapo suala la Kagame kuwatumia halipo. Lakini je wao wenyewe wako tayari kutumika, jibu ni NO, maana ndio wa kwanza kukataa Shirikisho la EA, na wataingia kwenye vitabu vya kumbu kumbu kwa hilo. Je yuko interested na ardhi ya Tanzania, again jibu ni NO, kwa sababu hajawahi kusema hivyo wala kutenda hivyo, na ninavyojua mimi matatizo yake ni yandani na nilishasema hivyo mwanzoni, na hata kuna mchnagiaji alishasema hivyo. So huo mpango haupo, kuna watu wanaopenda kuishi kwenye imani za conspiracy theories za Bahima empire, waache mara moja kwa sababu ni sawa na ushirikina kwa sababu that's plain ignorance. Inawezekanaje wakati Kagame na M7 ambao ndiyo inasemekana ni archtect wa huo mpango wanagombana kila siku, kilichowapeleka Congo ni kuiba kwa kuwa Congo ni shamba la bibi, lakini hata sisi watanzania tunaibiana, angalia Richmond, EPA, Meremeta, TICTS tofauti ni style ya kuiba! Moreover, watu wa Ngara are too smart to be used by Kagame, when are not Rwandans themselves. Kwanza kukiwa na any skirmishes, they will be the first ones to pay the price, now in no way they can subscribe to that!

Si kweli
Nafikiri kabila la ngara ni wahangaza ,na biharamulo ni washubi.
Wahangaza karibu ni makabila yaleyale ya rwanda na burundi, na hata wakiongea wanasikilizana.Wamejitofautisha kutokana na kuishi nchi tofauti na ndivyo vivyo kwa wahaha wa kigoma.

Ni kama wajaluo wa mara na wajaluo kenya wa kisumu kenya ama wamasai wa arusha tanzania na wamasai wa rift valley kenya, sema upande huu hawakujiita jina tofauti kutokana na nchi.Nirekebishe
 
Kanyambwoya,
Anachokiandika mtu jua amefikiria ndio maana kaandika, hapa na maana siwezi kufikiria kama unavyofikiria wewe, sasa turudi kwenye mada.

Dhambi ya ubaguzi ni sawa na moto wa kiagazi, ukimaliza pori moja utaendelea kwenye pori lingine. Watusi ni wabaguzi jua hilo. Na watusi kama ulivyosema hawapo Rwanda, Burundi au Congo tu, hata nchi nyingine wapo, na hapa kwetu wapo na hasa Kigoma ulikosema ni wengi na wanaendeleza ukabila wao. Wamewabagua wahutu, sasa wanabaguana wao kwa wao. Angalia watusi wamefikia hatua ya kujiita Waisraeli kwamba 'they are extra ordinary' huu ni upuuzi, na hapa ndipo dhambi ya ubaguzi imelalia Wewe ukijiona ni bora uje mwingine unamuona sio bora. Nakumbuka wakati RPF wanapigana na Seriakali ya Habyarimana watusi wanaoishi Tanzania walijitolea kwa hali na mali kumsaidia Kagame, wapo waliotoa fedha, na wengine walishiriki vita moja kwa moja na leo hii wananafasi zao Rwanda. Kwa msingi huo tuwaiteje??????? Sio vizuri kujumuisha watusi wote, lakini tunapoona kila mtusi ni mbaguzi, hawezi kuchangamana na wengine tuwaiteje??? Nenda kaone kwenye vijiji wanapoishi, wamejitenga na wengine, huwezi kuoa mtusi kama wewe si mtusi (Vijiji vya kalinzi, nyarubanda, Mkigo Kigoma (v) na baadhi ya maeneo ya ngara ni mfano kaone)

Kama ulivyosema, kwamba wewe ni mtalaam katika mambo ya mahusiano na hasa kwenye nchi za maziwa makubwa sina ubishi na hilo kwani sikujui. Mimi nasema kwa kuona na uzoefu ninao na ndio maana nasema ninavyosema, sasa kama wewe ni mtaalam kwa kusoma journals sisi wenzako tunayaona. Jambo la msingi nakubaliana na wewe kwamba watu hawa wanahitaji kusaidiwa hatuwezi kukaa pembeni na kushangilia jinsi wanavyouana.

...Hivi hizi garbage mnazoandika humu sijui mnazitoa wapi? si muache tuu kuliko kuonekana mazuzu,naamini average user wa JF humu IQ yake itakuwa nzuri na anaweza fanya analysis nzuri kwenye issues lakini kama ndio hivi jee wale peasants wasio jua kitu itakuwaje?this BS za Hima empire,Israel,ubaguzi etc hazina tofauti na stereo types za makabila mengine kama wahaya malaya,wachaga wezi,wazaramo wavivu etc na wengine wanaamini kabisa either kwa kutojua au kushindwa kufikiria,lakini kwa ajiri akili yao iko set kuchukia Kagame basi hizi BS theory kwako zinakuwa facts,Kagame na watutsi wenzake walifukuzwa Rwanda akiwa 5yrs old wakakimbilia Uganda na EA yote then kwa miaka mingi wakataka kurudi Hutu govts wakawakatalia na kuambiwa they not rwandese na nchi imejaa na waliobaki ndani wakaishia kuwa second rate citizens huku killings zikiendelea,kwa nini watu wasiingie msituni?na huko Congo mnapolaumu Kagame alivamia ni hao Interahamwe na supporter wao Mobutu ndio wa kulaumu,unapomtandika adui yako huiishi border tuu ni kunyuka mpaka ikulu yake na kumwondoa,muulize nyerere alichomfanya Amin kwani aliishia mpakani ?na hao tutsi waliokuwa TZ wakati wakimsaidia kagame kumbuka ndio hao wakimbizi waliokimbizwa 40 yrs before leo wakipigania nchi yao unawaita wabaguzi na wakorofi kwani ulitaka wasisaidiane au wewe ndio ungepigana vita yao? pigeni makelele na conspiracy theory zenu kila siku ambazo wenyewe hata hawana idea, lakini Kagame na wenzake wanajua wanachofanya na practically you can see Rwanda is changing everyday (for the better).
 
Kagame alichotwambia ni kwamba alifuata Nterahamwe Congo na ninaamini hivyo mpaka leo. Iwapo aliua Wakongo wasiokuwa na hatia, unarmed, just for the sake of killing, that was very wrong. Wakongo ni jirani zetu na ndugu zetu kama walivyo wanyarwanda na warundi! Sasa je ni kweli, that you one will have to prove it before the court! Ninachojua mimi, iwe Kagame au M7 na sasa mnamsema na marehemu Savimbi kule wanafuata kuiba, lakini je kuna watu wanaiba kama watanzania, milioni 800 za TASAF zimetafunwa kwenye wilaya yangu bila kumfikia hata mlengwa mmoja! (kamfano kadogo tu). Msukumo mkubwa wa ndani Kongo (Eastern) ni kupora mali ambazo hazina ulinzi, kwani Kinshasa iko mbali mno na Kabila hawezi fanya kitu. Lakini ikumbukwe kuwa Nterahamwe in Congo was a real threat, so Kagame had to pursue them, since Kabila (both marehemu na mtoto wake) couldn't tame them given the nature of The vast Congo. Mimi imani yangu ni kuwa aliua wanajeshi Nterahamwe, ex FAR na their Hutu accomplices, na pengine wakongo waliokuwa wanasaidia adui zake ambao nao wanakuwa adui zake kwa mantiki hiyo. Lakini iwapo aliua wakongo tu, kwa vile ni wakongo hilo ni kosa kubwa. Lakini katika vita ya kisasa, naamini hakuna mpiganaji anapenda kujiongezea maadui bila sababu, hiyvo sababu ya kuua wakongo mimi hainingii akilini. Je si kwamba na yeye Kagame alikuwa na washirika wake wakongo? Iwapo aliiba mali, basi walioiba ni wengi na wakamatwe wote, akiwamo M7, na makampuni ya kimataifa yakiwemo ya Marekani, Uchina, Ulaya na kwingineko. Siyo yale ya kwetu ya kukamata fisadi wachache wakati wengine wengi mapapa wanaachwa. Hivi hizo resources za kukamata wahalifu wote wa Great Lakes region zitatoka wapi, mbona wengi na uharifu umefanyika kwa miongo mimgi sana!

...Kanyabwoya achana na haya mabwege,yaache yaamini yanachoamini ni kupoteza muda tuu kubishana nao,ukiendelea watakuita mtutsi mshirika wa Kagame na sio mtanzania
 
Back
Top Bottom