Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wewe unatumiwa kama dekio kwa kushangilia ccm wakati huyo bi Fatuma amekulia ikulu lkn leo hii anaikosoa ccm ndiyo ujijue kuwa wewe ni zuzu tuWote hawa "Fyekelea mbali, Sukuma ndani, hata hako kam,ama kanaimba "Nchikichi nchikichi", sweka ndani hadi mwezi March 2019." Poleni makamanda. Naona upungufu mkubwa sana, Mbowe, Mwalim sijui na nani tena hapo. 2019 ndo inaanza hivyo. Uchaguzi wa madiwani mtaukataa au?