Lowassa watajie CHADEMA mali unazomiliki

Lowassa watajie CHADEMA mali unazomiliki

Unaweza kuzitaja wewe.

Mimi na Kikwete wapi na wapi.
Chadema mna utaratibu huo wa kutaja mali? Kama uko na afanye hivyo. Najua CCM ya sasa haifanyi hivyo. Sijajua kuhusu CUF na ACT wazalendo.

Mkuu naona una changanya madawa. Wanapodeclare mali ni serikalini na hata hiyo sijaona ufanyaji kazi wake. Sisi huku mitaani ndio tunazijua properties za hawa jamaa na za watoto na wanandoa wao. Sasa tusipojua wameorodhesha nini, tunajuaje kama wameorodhesha zote? Hiki ni kiini macho.
 
Back
Top Bottom