jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Hawawezi,na wakija humu,watajibu posti ambayo iko nje kabisa ya mjdala ili kuonyesha sura tu na kuingiza siku,basi.Subirini Rejao na Ff waje kumtetea!!
Hawawezi,na wakija humu,watajibu posti ambayo iko nje kabisa ya mjdala ili kuonyesha sura tu na kuingiza siku,basi.Subirini Rejao na Ff waje kumtetea!!
Hivi kumbe ni kweli alisema ataonyesha mahali Balali alipo?EL alisema wakimwaga mboga yeye atamwaga ugali. Aliahidi wakimuvua gamba yeye atawaonyesha watanzania mahali alipo BALALI. Hii ndio mimi naisubiri kwa hamu.
Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
Ndicho nilichowambia Mkandara hicho,EL kashikilia kwenye kamali...Kutachimbika kama ni kweli,trust me!
Mwakyembe around or not,someone still holds the wild cards.
Kumbuka kulikuwepo na ripoti mbili na Mwakyembe aliitoa ile ya kumchafua EL...
Alijitoa mhanga kumlinda mkulu, kutokana na hilo ndiyo maana mkulu hana ubavu wa kumgusa Lowasa hata siku moja.kama anaujua ukweli kwann acseme ukweli muda ule ilipojulikana?alikua anaficha nn?
Kama wote "walioga" kwenye tope la ufisadi, then ni kwanini yeye tu ndo achafuke?Sio ya kumchafua lowassa utamchafua vipi mtu aliyechafuka tayari,aliitoa ile ya ukweli akaachana na ileya kupikwa,game hilo akalistukia yule mama aliyegombea ubunge kule arusha kwa tiketi ya ccm uchaguzu uliopita jina lake limenitoka,yule mama ni mtu wa lowassa ile mbaya,ndio akaenda kumstua mwanaume wao wa shoka lowassa kwamba ile ripoti ya kupikwa haitasomwa tena,mwakyembe kaamua kusoma ile ya ukweli,ndio lowassa kwa hasira akaona anazungukwa akaamua kuachia ngazi bila "kupima"
Mwizi tu huyo naye wote wezi serikali inanuka sijui kina nani huwa wanaipigiaga kura CCM vichwa vyao sijui vikoje na wengi wapo humu JF aaaghhhhhh
kama angekuwa mwizi saa hizi angeshasahaulika kile kinachomfanya aendelee kuwa Lowasa hadi leo ndicho kinachoniaminisha yeye si mwizi bali kule kuachia kwake uwaziri mkuu kulikuwa kwa kujitolea tu. Alijitolea kuumia yeye ili wengine hata kama ni. wachache wapone. Binafsi ninamheshiimu kwa hilo.
Lowasa bana, anazeeka vibaya sana; anatuambia kuwa anasiri kubwa ya ukweli wa Richmon, na anajua kuwa tunachokifaham sisi Watanzania wa kawaida kuhusu Richmond ni uwongo wa maksudi!
Kwa kitendo chake cha kuwaficha watanganyika ajue ni kushiriki uhalifu! Tukilegeza kamba huyu jamaa atakuja kuwa raisi wa Tanganyika Miaka michache ijayo, na nina hakika ataendeleza siasa na utendaji wa kulindana kimakundi kama anavyofanya Mkweere! Simwamini hata kidogo huyu mzee.
...........naam, single kama ya Mh. Mwakyembe kwamba nikirudi nitafyatuka kila kitu; sasa hawa watu nani ana ukweli? wabongo kwa unafiki bwanaAlikuwa wapi siku zote kueleza hilo?? Huu nao ni upuuzi. Sio mzalendo ni mchumia tumbo,
.........ni kweli, siku mkuu wa kaya akiongea na wazee(sijui safari hii watakuwa wa wapi), utakimbia upupu wa post zao!!!!!Hawawezi,na wakija humu,watajibu posti ambayo iko nje kabisa ya mjdala ili kuonyesha sura tu na kuingiza siku,basi.