Lowassa: Wakimwaga mboga namwaga ugali

Lowassa: Wakimwaga mboga namwaga ugali

Hivi vigamba vya lowasa naona vinahangaika kweli humu jamvini!! Poleni tu, huyo lowasa wenu ndo ashapewa laana kama ya kaini vile (ana alama ya ufisadi). Kamwe hatokubalika nchi hii.
 
masuke ndugu yangu ujasiri tunaouzungumzia ni pamoja na kuamua kujiuzulu. .ile ni alama tosha ya kuliachia lile swala liende hata kwenye vyombo vy sheria. .na unaona hata tuhuma za lowasa sio kweli. .nanukuu ''hata mheshimiwa spika uliponidokeza kuhusu swala hili,ukaniuliz kama ushahidi ninao,nilikuletea tena kw maandishi''..ni wazi lowasa alinyanyaswa katika hili,kama ni swala la kuwajibika kama ofisi,basi hata rais ingetakiwa kuwajibika. ..kimsingi lowasa hana mizaha kama mwenzake.
 
Kwanza inabidi mfikirie katiba mpya!....tuki incorporate azimio la arusha kwenye katiba,automatically lowassa hatokuwa rais,
Sio mshabiki wa Dr. Slaa,ila ataqualify kugombea urais....
 
Haa uingie msituni na nani? Nyie vijana wa Pwani pwani mna matatizo sana, taka usitake Lowassa is the next Prezidaa wa Tanzania. Mbona mnatuogopa sana? 2015 lazima Rais atoke Kaskazini kwanza we are more advanced, more educated and developed unabisha?
Kama mnadhani anafaa basi mchukueni akawe rais wenu huko huko kaskazini,na sijui jeshi gani litawakubalia mjifanyie kanchi kenu huko kaskazini ambako mnadhani mmeendelea.
 
alafu watanzania hasa ndani ya JF,Mbona tumefikia mahala tunakosa kuheshimu uhuru wa mawazo,si kweli mtu anaposema lowasa ni smart eti katumwa,au ni gamba. .ataa hii lugha ni ya hatari na inafedhehesha si nzuri kwa werevu. .
 
masuke ndugu yangu ujasiri tunaouzungumzia ni pamoja na kuamua kujiuzulu. .ile ni alama tosha ya kuliachia lile swala liende hata kwenye vyombo vy sheria. .na unaona hata tuhuma za lowasa sio kweli. .nanukuu ''hata mheshimiwa spika uliponidokeza kuhusu swala hili,ukaniuliz kama ushahidi ninao,nilikuletea tena kw maandishi''..ni wazi lowasa alinyanyaswa katika hili,kama ni swala la kuwajibika kama ofisi,basi hata rais ingetakiwa kuwajibika. ..kimsingi lowasa hana mizaha kama mwenzake.
Mkuu, Lowasa hakujiuzulu kwa kupenda alilazimika kujiuzulu kutokana na madudu ambayo aliyafanya ama kwa makusudi ama kwa uzembe.
 
alafu watanzania hasa ndani ya JF,Mbona tumefikia mahala tunakosa kuheshimu uhuru wa mawazo,si kweli mtu anaposema lowasa ni smart eti katumwa,au ni gamba. .ataa hii lugha ni ya hatari na inafedhehesha si nzuri kwa werevu. .
Tena si vizuri kukataa kuitwa gamba kama unamshabikia lowasa.
 
Na huko ndiko tunako elekea,lowasa anafanya kila njia ili kuweza kumuaribia JK hasa kitika serikali yake,ndio maana kwa sasa Lowasa ana mtumia sana kubenea ili kuweza kuwaharibia wakina sitta na mwakyembe ili tu aweze kuyumbisha serikali ya jk.Na kwa hili atafanikiwa tu maana inaonekana amejipanga,hata ukisoma mwanahalisi ya leo kuna kitu unaweza gundua,Mwanahalisi wanachokifanya kwa sasa ni kuwapiga Mwakyembe na Sitta kwa ishu ya CCJ toleo lililopita na toleo la wiki hii mada nyingi ni zile zile.Wanaanza kwa kuwapiga mapacha watatu kidogo halafu wanahamia kwa Sitta na mwakyembe na hili ndio dhumuni la mwanahalisi kwa sasa.


sinunui tena mwanahalisi
 
mh. nyie wote nyoka, kama wamemwaka mboga yako, ukimwaga ugali lazima watakula tu hata kama ni chini, hiyo hawajali si binadamu hao ni nyoka.
 
sasa pinda amefenya nini,kila jambo kwake ye 'linajadilika',bt it was rarely to find ths kind of cowardenc answers kwa lowassa. .delivarance ya huyu mtu si ya kudoubt kabisa wakuu. .narudia,Dr slaa tunamwihitaji tena ver urgent bt lowasa nae tunamhitaji!
 
kwa kuwa mimi ni mstaarabu sitakujibu.

samahani sikujua kama nawe upo kwenye kambi ya kumsafisha mzee wa kujiuzulu..samahani naomba kujua kama ni njaa au uzalendo ndio umekutuma.
au walinda ndoa pia.
 
Tuacaheni mawazo mgando ya kutaka kuwarudisha mafisadi madarakani.
Najua wengi mmtumwa kumtetea lowasa.
Leteni jipya, hilo limeshindwa tayari.
 
Ieleweke kwamba Lowassa sio yeye peke yake aliyehusika katika masuala mazito ya ufisadi yaliyomchafua..ni dhahiri yalikuwa na baraka ama maagizo ya mkubwa wake..Sasa leo hii yeye ndiyo watanzania wote tuthibitishiwe kwamba ni mbaya..itamuuma tu na ninabashiri makubwa kutokea na CCM kuanguka kama zigo la kuni..Ama sivyo ile hali ya kuuwana ndani ya CCM inaweza chukua nafasi ili kuepukana Chama Kusambaratika..Tume ya Mwakyembe iliposoma ripoti ya Richmond ilithibitisha kuweka .. Hawezi na hana sifa za kuwa mkuu wa nchi. Angetulia tu akanywesha mifugo yake.
 
Lowasa hana jipya, kama ana la kumwaga amwage tu, sio kutumia maovu anayo ya serikali anayo ya jua kama kinga yake.
Hili linatosha kuthibitisha kuwa yeye hafai kuwa kiongozi kwani anayafungia macho maovu.
 
Mimi nilijua tuu kwamba yako mambo mazito katika mtafaruku huu ndani ya CCM. Ni vema tuyajue hata kama hayatuongezei mlo. Cha msingi yatatuwezesha kujua undani wa hali ilivyo katika CCM na hivyo kufanya maamuzi yenye uzito wa hoja itakapofika 2015.

I call upon those involved in this saga to place national interest first before theirs. Hata kama utaporomoka kisiasa lakini utakumbukwa kwa kutoa ukweli. Hii nayo ni heshima.

Mimi napendekeza wapewe immunity from prosecution ili watupe ukweli wa hali ilivyo.

Mnasemaje?
 
Lowasa ni kikwazo kikubwa sana kwa JK, kitu kingine ambacho kitakuja kumgharimu JK ni undumi la kuwili alio kuwa nao. Akiwa na Lowasa anaongea vitu vingine, na akiwa na Mukama anaongea vitu vingine.

Sasa hii kitu mbaya sana, ndio maana lowasa alimshangaa Mukama kwa maneno aliyokuwa anamwambia,"Lowasa:

"Nimeongoea na JK akuniambia maneno haya ambayo wewe unaniambia hivi sasa"

Sasa hii kitu ndio itakayo kuja kuleta madhara. Na ni mbaya sana kuwa changanya watu hasa marafiki zako na hii pia ni angalizo kwa NAPE.


I believe the same way too. Lowassa amemshtukia JK ni ndumilakuwili sasa anataka kumuumbua. Kambi ya Lowassa ina-question uhalali wa JK kuwazunguka wakati kwenye deal nyingi walikua pamoja. Kwa mtizamo mwingine Lowassa ana haki yakusimamia haki yake kikatiba ya kupigania uraisi -sioni kwanini wamzuie. Kama kweli hawamwogopi Lowassa si waache apiganie alafu wasipitishe jina lake? Hii yote inaonyesha jinsi CCM fears Lowassa group. JK ameumbuka na anaendelea kuumbuka. He should man up and face Lowassa. Quite frankly hii mambo ya kung'ata na kupuliza ina-work kwa watu kama kina Makamba lakini sio Lowassa. Rostam anaweza akakubali yaishe sababu hana ndoto yakuwa raisi na ameshaneemeka vyakutosha. Lakini Lowassa wants to be a president, he wants society to believe he was a victim on Richmond issue etc, he can not go down easily.
 
Hv jaman si Lowasa huyu huyu wa Monduli?Lowasa aliejiuzuru u Pm kwa wizi!Lowasa huyu mwenye utajiri usioelezeka ulivyopatikana? Au ni Lowasa yupi jaman?!
 
Back
Top Bottom