Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
kwa wenye kufahamu ni kitu gani kiliwagombatisha hawa wanasiasa mashuhuri tanzania tukiangalia nyuma walikuwa kambi moja na ndiyo waliyomsaidia kimkakati jk akaukwaa urais sasa iweje leo hawaelewani na kuna uwezekano wa kuwaunganisha wakawa kama zamani mi nadhani itakisaidia ccm kupunguza mpasuko uliopo sasa kwa walioko karibu nao washaurini hakuna lisilowezekana najua uwezekano wa lowassa kuwa rais ni mkubwa sana hi hayo tu
Kamwe Lowasa hawezi kuwa Rais Tanzania.
Tofauti zao ni kwamba Lowasa anahalalisha Ufisadi ndani na nje ya chama, na kwamba anaamini kwa dhati kabisa kuwa TANZANIA BILA UFISADI HAIWEZEKANI. Wakati Sitta anaamini kuwa njia pekee ya kuiokoa Tanzania na Chama cha CCM ni kuwaanika mafisadi na wezi kwa watanzania, vyombo vya sheria, bunge na hata ndani ya chama.
Sasa niambia hata kwa mahesabu ya darasa la nne hawa watapatanaje? Acheni kuchanganya Chumvi na sukari ukadhani utaongeza utamu.