chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,003
- 20,663
Hivi haiwezekani kura yangu kwa Lowasa ikatangulia NEC mapema ili niweke rekodi ya kuwa mtanzania wa kwanza kupiga kura ya ndio kwa rais wa awamu ya tano.
Wangeruhusu tu,sasa hivi kuna watu washafanya maamuzi