Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
hao watoa tozo nadhanj wamepigwa na upofu. -wangejua jamaa jinsi alivyompeperusha Dr Slaa na Prof Lipumba kutoka ukawa nadhanj wangegairi.
- wangejua jinsi alivyoagiza mamluki kutoka nje ya nchi kuja kudukua kura kwenye database ya tume ya uchaguzi wangegairi
-wangejua mpango aliokuwa ameuandaa wa kutawala nchi akizungukwa na mafisadi wafanyabiashara wangengairi
-wangejua alivyotaka kuchaguliwa kuwa candidate wa ukawa na akakataa asishindanishwe na mtu yoyote wangegairi
-wangejua kuwa alinunua viongozi baadhi wa ukawa ili wamuunge mkono wangegairi
-wangejua Bashir Awale, mkuu wa Stanbic bank aliyekwapua 6 bilion na kampuni ya Kitilya ndie alikuwa mshauri wake wa karibu na mkenya wangegairi.
kuna mengimengi mengi ambayo tumekuja kugundua, yaani Mungu ni mkubwa. mpaka leo hatujui jamaa huyu angeshinda urais nchi hii ingekuwaje.
Kweli wewe ni lumumba buku 7 fc,NADHANJ?ndio lugha ya magamba?