Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
Nyie watu wote milioni sits mliompigia kura mnaweza kumpa hizo tuzo mzitakazo ila lowassa ataendelea Kuwa hafai Kuwa Rais wa nchi Hii.
Nalog off
Nalog off
Banki Moon, lazima atampa kazi Lowassa UN... mark my words...!!!
Waliokufa walikufa kwa dhambi ya kukufuru
Watu wengi wamereport hii Ila sijawai ona mahara wametaja izo taasisi.
Pia watupe list for the last 5 years ni akina nani wamewai tunukiwa iyo tuzo.
Nitatoa pongezi baada ya kuona majina ya izo taasisi na kutathmini credibility ya izo taasisi.
Kwa sasa bado nareserve pongezi zangu kwake
Mkuu sikua na namna nyingine ya Kumwelewesha nikaona mimi mpumbavu kushindana na mwerevu haitoleta maana ila labda akirudi kwenye senses zake ataelewa kwanini wameona ni vyema Lowasa kupewa tuzo hizo za amani ,ni logic raisi tu eti hoja yake kwanini wasipewe tuzo wanao suluhisha Migogoro kwenye nchi zenye machafuko ila apewe Lowasa ambaye yupo kwenye nchi isiyo na machafuko ,hivi ni mpaka tusibiri nchi iingie kwenye machafuko ndio tutafute amani ??? Haoni kwamba ilikua busara kwa Lowasa kutong'ang'ania madaraka na kusababisha kuchafuka kwa amani ambayo ndio tunu moja wapo Mungu aliotujalia watanzania
Banki Moon, lazima atampa kazi Lowassa UN... mark my words...!!!
Labda tuzo ya dini ya walutheri
1. TUNAOMBA SANA UTUWEKEE ORODHA YA HIZO TAASISI ZA DINI ZILIZOTOA HIYO TUZO. BILA ORODHA YAKE INAONEKANA ULE USANII UNAENDELEA.
2. VIPI WALE WALIOKUFA NA MKASEMA WANAKUFA KWA SABABU WALIMTUKANA MHE.LOWASA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE NDIO MAANA MUNGU KAWAUA. JE HIYO DAMU HAIHESABIKI????
3. WATUMISHI WA MUNGU WENGI WAMEPOTEZA MVUTO KWA WAUMINI KUTOKANA NA MATAMKO YENYE KUPINDUKAPINDUKA. HEBU SOMENI NENO LA MUNGU TENA MTUAMBIE NI WAPI MANABII WA KWELI WA MUNGU ALIYEHAI WALIKUWA NA KAULI ZENYE MAGUMASHI?? Nabii Eliya alisema mvua hainyeshe ila kwa neno langu na haikunyesha nk
4. HAWA WATUMISHI WALISEMA LOWASA ATAKUWA RAIS MAAANA WANA HAKIKA NA MUNGU ALICHOSEMA NAO. TENA KUNA MMOJA ALISEMA LOWASA ASIPOKUWA RAIS WAMUUE???? Hivi wameshamuongoza sala ya toba????
5. HEBU HUBIRINI INJILI JAMANI YESU KARIBU ANARUDI. DUNIA IMEJAA DHAMBI NA MAOVU. HEBU TAFAKARINI TENA UPOSO WENU???
6. HALAFU HAWA NDIO WALE WANAOTOA PHD FEKI. NATAMANI SERIKALI ITOE TAMKO LA KUFUTA HIZI PHD ZA TAASISI ZA DINI. ZINAONDOA KABISA MAANA. YAANI WACHUNGAJI MITUME NA MANABII WANAKIMBIZANA NA HIZI PHD. SASA HIVI HUO UGONJWA UMEKUJA MPAKA KWA WAUMINI.
7. HEBU ACHENI KUIRAHISISHA IMANI NA NENO LA MUNGU KWA MATUMBO YENU. Shame on you.
Queen Esther
Mbona anahangaika sana huyu jamaa?
1. TUNAOMBA SANA UTUWEKEE ORODHA YA HIZO TAASISI ZA DINI ZILIZOTOA HIYO TUZO. BILA ORODHA YAKE INAONEKANA ULE USANII UNAENDELEA.
2. VIPI WALE WALIOKUFA NA MKASEMA WANAKUFA KWA SABABU WALIMTUKANA MHE.LOWASA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE NDIO MAANA MUNGU KAWAUA. JE HIYO DAMU HAIHESABIKI????
3. WATUMISHI WA MUNGU WENGI WAMEPOTEZA MVUTO KWA WAUMINI KUTOKANA NA MATAMKO YENYE KUPINDUKAPINDUKA. HEBU SOMENI NENO LA MUNGU TENA MTUAMBIE NI WAPI MANABII WA KWELI WA MUNGU ALIYEHAI WALIKUWA NA KAULI ZENYE MAGUMASHI?? Nabii Eliya alisema mvua hainyeshe ila kwa neno langu na haikunyesha nk
4. HAWA WATUMISHI WALISEMA LOWASA ATAKUWA RAIS MAAANA WANA HAKIKA NA MUNGU ALICHOSEMA NAO. TENA KUNA MMOJA ALISEMA LOWASA ASIPOKUWA RAIS WAMUUE???? Hivi wameshamuongoza sala ya toba????
5. HEBU HUBIRINI INJILI JAMANI YESU KARIBU ANARUDI. DUNIA IMEJAA DHAMBI NA MAOVU. HEBU TAFAKARINI TENA UPOSO WENU???
6. HALAFU HAWA NDIO WALE WANAOTOA PHD FEKI. NATAMANI SERIKALI ITOE TAMKO LA KUFUTA HIZI PHD ZA TAASISI ZA DINI. ZINAONDOA KABISA MAANA. YAANI WACHUNGAJI MITUME NA MANABII WANAKIMBIZANA NA HIZI PHD. SASA HIVI HUO UGONJWA UMEKUJA MPAKA KWA WAUMINI.
7. HEBU ACHENI KUIRAHISISHA IMANI NA NENO LA MUNGU KWA MATUMBO YENU. Shame on you.
Queen Esther