Lowassa,Tutalivuka daraja


Mkuu Ccm hawana ujanja wa kumpoteza Mr mamvi
Lowassa ndiye mwenye uwezo wa kuipoteza ccm,hivi hujiulizagi kwann lowassa amenyamaza kimya?hukumbuki kipindi flani kwenye vikao vya dodoma lowassa alivyotaka kumchana jk kuhusu richmond mzee mkapa akaingilia?kma siyo busara za mzee mkapa leo tungekuwa tumeitisha uchaguzi mwingine
 

Mkuu mbung'o
Wala huna haja ya kulizungumza hili
huyo anayemwambia anatambuwa mwenye zigo la Richmond ni nani,hata watanzania kwa ujumla wao wanatambuwa mwenye zigo la richmond ni baba mwanaisha
 
Wasipo msimamisha lowasa, ccm wahesabu kilio
 

Wapuuzi sana nyie yani nchi inaingia kwenye ufisadi mkubwa kama wa Richmond af unasema muda ukifika tutamjua nani mwenye mzigo? Hamna adabu kabisa katika nchi hii yani nchi inaumia nyie mnafanya mzaa kwenye uhai wa nchi kwa tamaa zenu za madaraka hamfai kabisa!

Kama anamjua mwenye mzigo kwa nini anasubiri uchaguzi ufike ndo aje na kubwabwaja na mbinu zenu chafu ili muendelee kupeana ulaji? Muda ukifika ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya hao walafi? Je? Kwa nini asifanye hayo maamuzi mapema ili hao wezi tuwajue na kuwatia kitanzi kama wale wezi wa NMB?

Naomba kwa leo mnipatie majibu yafuatayo?
(1) .Kama Lowasa hakuusika na sakata la Richmond na Dowans naomba aseme live ni nani alihusika na huo ufisadi? Siyo tudanganyane hapa ili uchukue nchi kulinda mafisadi wenzake.

Tanganyika karibu sana.
 

Kwasabu umeamuwa kutumia lugha za matusi
Labda tukuambie tu mpuuzi ni wewe na waliokuzaa,waliodiriki kufnya mchezo wakiwa wamelewa wakazaa kiumbe chenye mtindio wa ubongo.
 

Kulikuwa kuna haja kweli yakushambulia watu kwa lugha za matusi?
Ulishindwa kubishana kwa hoja?
Unahisi labda wote tungekuwa kama wewe humu ndani pangekalika kweli?
Usisubiri atashuka Mungu aje akufundishe kujiheshimu
Badilika!
 
Kulikuwa kuna haja kweli yakushambulia watu kwa lugha za matusi?
Ulishindwa kubishana kwa hoja?
Unahisi labda wote tungekuwa kama wewe humu ndani pangekalika kweli?
Usisubiri atashuka Mungu aje akufundishe kujiheshimu
Badilika!

Ahaa! Kumbe nimetumia matusi! Kwa mtu makini akisoma article yangu hawezi ona tusi hapo.
 

Hakuna wa kumpoteza Lowasa nchi hii na kamwe haitatokea. Katrina ya Lowasa hakuna wa kuizuia si ndani ya CCM wala ipinzani..Hivyo usitie shaka mkuu SIMAMA IHESABIWE...Kuhusu Afya Lowasa yuko fit ile mbaya ni suala la muda tu.
 

Lowasa for Presidency 2015.
 
kuna mwana CCM mmoja juzi aliniambia lowassa yu hoi kiafya hivyo tusimtarajie ktk kinyang'anyiro cha kuusaka urais.ilisema huo ni ushindi mkubwa kwa kambi ya kina membe kwani wamesha umaliza mtandao wake ndio hatumsikii tena.

TeamMtama naona mnaweweseka tu. Lowasa ndio Jiwe kuu 2015
 
Lowassa labda wampige risasi,ccm hawana ubavu wa kumzuia lowassa na alishawaambia atamleta balali akiwa hai

Lowassa ni hatari sanaaaa.yaani asipochukua fomu 2015 ntashangaa sana..
 

Mkuu, nimesoma hii mara mbilimbili..kuna kitu kinaandaliwa given afya ya 'mtarajiwa' wako. Watanzania wasipochagua mabadiliko 2015 sijui huko ndani watatuletea kitu gani, kifupi sioni alie nafuu huko. Wacha tusubiri
 

Afya ya mtu ya wakati ujao anayejua ni mwenyenzi Mungu peke yake,utajuaje afya ijayo ya huyo Membe,Sitta na wengineo?
Utajuaje kuwa Lowassa haponi hadi wakati huo?
Haumsikii kwa sababu walifanya mpango wa kumsimamisha mwaka mmoja
Kiukweli hadi sasa hakuna ndani ya ccm wa kumshindanisha na lowassa pamoa na ugonjwa wake.
Mwacheni Ben maana yeye ni kambi ya Membe iliyopo chadema
 

Ukisikia jina la Katrina Lowasa kitu kinagonga pichu sio?... Lowasa for presidency
 

Mkuu waambie hata Lowasa akiwa ICU tutamchagua tu......hii ndio dawa ya wazee wa propaganda.
 

mbona iyo misemo inafanana na ya T B Joshua muheshimiwa muenezi. Yote ya yote EL NI NOMA, salute to him
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…