Lowassa,Tutalivuka daraja


Nakupongeza kwa misimamo, mimi nasubiria kwa hamu jinsi "jiwe walilolikataa waashi, litakavyofanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!.
Pasco
 

Acha kuweweseka wewe
Unatutoa kwenye mada
kama ni issue ya id wew ndio bingwa wa kuwa na id fake nyingi hata moderator anatambuwa hilo usifikir mods hawajui lakin iko siku utaumbuka mchana wew mchumia tumbo wa ufipa
Hilo la membe unajikanyaga kanyaga tu lakini nashangaa hicho chama bado wanakuvumilia kwa kuendelee kukuendekeza huku ukiendelea kutoa siri za chama kwa membe
punguza njaa wew,kwann usifnye kaz na una nguvu
 
 
Kumbe tatizo la nchi hii si ccm ila ni nani katoka wapi dini gani (mana watu wanajisahaulisha kuhusu Richmond na ufisadi mwingi alioufanya)
 

et unamsimamo wewe mlamba miguu yq slaa
 
Last edited by a moderator:
Kumbe tatizo la nchi hii si ccm ila ni nani katoka wapi dini gani (mana watu wanajisahaulisha kuhusu Richmond na ufisadi mwingi alioufanya)

Suala la udini wewe ndiye unataka kuanzisha
Ila tunaomba siyo lazma uchangie uzi huu unaweza ukalala manake hata hivyo ni usiku
Kamwe hatutakubali utupotoshe,watanzania ni wamoja
 
Suala la udini wewe ndiye unataka kuanzisha
Ila tunaomba siyo lazma uchangie uzi huu unaweza ukalala manake hata hivyo ni usiku
Kamwe hatutakubali utupotoshe,watanzania ni wamoja

Mmeanza tena udini?mbna mapema sana
 
HAKUNAGA,KAMA LOWASA NDANI YA JUYA LA CCM ANAYESTAHILI KUGOMBEA URAIS 2015 !!!
Yeyote bila msaada wa Mungu ni Vituko.
 
Mkuu Ben naunga mkono hoja!.Ila pia ningependa hizo hojaji, ziziishie upende mmoja tuu, naomba uendelee kuhoji weledi na uadilifu wa hawa viongozi wetu wote regardless uko upande gani and not a cherry picking!.

Ni hilo tui.
Pasco
 
Mpeni kura za ndio Lowasa
Muda wa mpeni kura a ndio bado!, issue ni jee ni kweli atasisimama?!
Na akisimama atapitishwa?!.

Mara ngapi tumeshuhudia kwenye ule upepetaji, "mchele" ndio unaachwa, wanachukua "chuya!",

Jee this time around, watakubali kusimamisha nguzo imara ya mpingo, mninga au mvule, au wataendelea kutegemea mabua?!.

Ila pia lazima tukubali tukatae, afya ya mtarajiwa wetu ni issue!, najihiisi inawezekana ni mimi tuu na wachache sana kama mimi, ndio tunatambua kwa hakika, kuwa tegemeo hilo ndilo silo, huyu ni Yohana Mbatizaji tuu, akiyanyyoosha mapito yake yule yuajaye!.

Pasco
 
Adhabu Yao inaisha lini! Tuanze kuona vioja na rafu za siasa! Vipi suala la katiba na usanii wa ccm!
 
Mkuu Ben naunga mkono hoja!.Ila pia ningependa hizo hojaji, ziziishie upende mmoja tuu, naomba uendelee kuhoji weledi na uadilifu wa hawa viongozi wetu wote regardless uko upande gani and not a cherry picking!.

Ni hilo tui.
Pasco

Pasco,

Asante Mkuu .Huku upande Mwingine huwa ninahoji kwenye vikao kwa kufuata katiba,kanuni na Taratibu.Siachi hata kidogo,ninahoji.
 
Last edited by a moderator:
ben umekua mkweli kaka ktk hilo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…