Mvumbo
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 3,444
- 11,942
LUBUVA anatumika vibaya, ila waungwana tunafahamu LOWASSA ndiye mshindi.
Kitendo cha mwenyekiti wa NEC kuanza kutangaza zile sehemu MAGUFULI anazoongoza ni mbinu ya kuwakatisha tamaa wanamabadiliko!
Umenena mkuu