Lowassa the 5th president

Naona bado unatetea kibarua...chumba chako pale ufipa kimechukuliwa na kingunge, mlezi wa BAVICHA 2016-2019
 
Trust yourself and don't force others to trust you! We are Tanzanians and so far so good our nation is gonna be redeemed, no matter what IN GOD WE TRUST!!
 
Tulieni tungoje ni majimbo machache sana yaliyosomwa, tuipe nafasi tume itende kazi yake
 
Siwez kujipa moyo wakat najua kabxa nmeshndwa tukubal kwa moyo wote kuwa tumeshndwa
 
Tuliambiwa mnashinda kabla ya misa ya kwanza haijaisha labda tumeshindwa kwa kuwa Misa zilihamishiwa jumamosi makaniaa yote ya moshi na Arusha
 
Tuliambiwa mnashinda kabla ya misa ya kwanza haijaisha labda tumeshindwa kwa kuwa Misa zilihamishiwa jumamosi makaniaa yote ya moshi na Arusha

Siwez kujipa moyo wakat najua kabxa nmeshndwa tukubal kwa moyo wote kuwa tumeshndwa

Naona bado unatetea kibarua...chumba chako pale ufipa kimechukuliwa na kingunge, mlezi wa BAVICHA 2016-2019

Tarehe 25 saa 3 asbh anasema we are happy with the result? Au result za wale vijana 161?

tulizeni vipele LOWASSA is the 5th PRESIDENT OF DEMOCRATIC REPUBLIC OF TANZANIA kama hutaki hama nchi
 
lowasa ameshinda huu uchaguzi
uploadfromtaptalk1445936363010.jpg
 
LUBUVA anatumika vibaya, ila waungwana tunafahamu LOWASSA ndiye mshindi.

Kitendo cha mwenyekiti wa NEC kuanza kutangaza zile sehemu MAGUFULI anazoongoza ni mbinu ya kuwakatisha tamaa wanamabadiliko!

sawa mtani....
 
paka dk hii LOWASSA hana nchi! na ng'ombe, mbuzi anaosema anaenda kuwafuga kawamalizia kwenye kampeni sijui itakuaje
 
Tume ya Uchaguzi Zanzibar wamekata umeme ,na ni ukweli maalim seif kashinda ndio maana alitangaza matokeo mapema kwa kujua hujuma za ccm
 
MUNGU AMESHAWAFUNULIA WATUMISHI WAKE VIONGOZI WATAKAOTAWALA NCHI YETU KATIKA AWAMU YA TANO.

Tulia usome na uelewe.
Mungu uyafahamu majira na nyakati na viongozi wanaotawala katika nyakati hizo.

Imeandikwa "Hakika Bwana Mungu hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake" -- (AMOSI 3:7).

Maombi yetu hayatufanyi tuweke kiongozi tunayetaka bali maombi yetu hutusaidia kumpata aliyekusudiwa na Mungu, soma MATENDO YA MITUME 1:23-25 ("wakaweka wawili, Yusufu aitwaye Barsaba, aliyekuwa na jina la pili Yusto, na Mathiya, kisha wakaomba wakasema, wewe Bwana, ujuaye mioyo ya watu wote, tuoneshe ni nani uliyemchagua katika hawa wawili....wakawapigia kura; kura ikamwangukia Mathiya naye akahesabiwa kuwa pamoja na Mitume kumi na mmoja").

Kura ni mfumo ambao Mungu amewapa wanadamu kumpata kiongozi ila tunapaswa kufahamu kuwa hukumu (maamuzi) ya nani awe kiongozi huwa katika uwezo wa Mungu.
Soma MITHALI 16:33 ["kura hutupwa katika mikunjo ya nguo; Lakini maamuzi (hukumu) zake zote ni za Bwana"]. Hii inamaanisha kuwa kura Mungu ameamuru ziwepo kama njia ya kufikia mpango wa Mungu lakini tayari Mungu huwa tayari anamfahamu kiongozi ni yupi.

Tangu mwanzo Mungu aliwatumia watumishi wake kuyasema mapema yatakayotokea katika uongozi na viongozi watakaotawala hata kabla haijatokea(Daniel 11:1-4)

Hii si mara ya kwanza mimi kuandika haya bali niliwahi kuandika haya mwezi wa saba na mwezi wa nane mwakaa huu, katika unabii nilioandika awali japo ulikuwa katika mafumbo makubwa ila ulielezea nani atakuwa Kiongozi mkuu wa nchi hii. Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mkuu ninayaandika haya kwa aina nyingine ili uelewe na yatakapotimia ujue yupo Mungu wa Israel ajuaye majira na nyakati.

KWA MARA NYINGINE NALIONESHWA MAONO HAYA.

Naliona pepo (wind) zikizuka katika nchi na kuelekea nchi nzima, lakini pepo mbili ndizo zilikuwa na nguvu sana kuliko nyingine sita (6). Mmoja ulitokea Ziwa Victoria na mwingine ulitokea mlima Meru.

Pepo hizi zilipata nguvu zaidi kila zilipovuma kila kona. Naliona miti mingi bara na visiwani ambayo ilifurahi kwa sababu ya pepo hizo, jinsi zilivyovuma zilionekana kushindana pale zilipokaribia miti ili kupata upepo utakaovuma katika miti.

Kisha nikaona upepo uliotokea kanda ya ziwa ukipata alama nyingi za kukubalika siku ya kwanza ya uchambuzi wa alama kiasi kwamba ilisikika kila kona upepo huu utatawala miti ile. Ghafla siku ya pili ya uchambuzi wa alama za kukubalika, upepo unaotokea mlima Meru ukapata alama zaidi na kuishangaza miti mingi, japo nguvu yake kubwa iliongezeka kutoka kwa miti mingi ya visiwani. Miti hii ya visiwani iliokoa na kuongeza zaidi alama za upepo uvumao kutoka Mlima Meru. Kisha nikaona malaika akiandika alama katika ubao na hesabu yake ilikuwa mikono kumi na mmoja na nyongeza ya nukta kadhaa.

Naliona utata ukitokea katika kuwekwa wazi kwa alama hizo lakini baada ya msuguano Mungu aliingilia kati, kisha nikaona miti ikishangilia sana kwa sababu ya upepo utokao mlima Meru. Haikuwa rahisi alama hizi, mikono kumi na mmoja na nyongeza ya nukta kadhaa kuwekwa wazi lakini Mungu aliingilia kati na nikaona ubaoni andiko hili (MITHALI 16:31).

Mwisho wa maono.

Mungu ibariki Tanzania:
Naiombea Tanzania amani itawale na haki itawale kwa jina la Yesu. Amen

Apostle Mtalemwa Dionis
Kwa maulizo +255766247455

We pia ni nabii?
Teh teh teh.
Dah....
Ukaamua kukandamizia na Namba yako ili uwanase vizuri!

Kaaz kweli kweli.
 
Mimi nacheka sana tena sana. UKAWA wamepata aibu kubwa sana. Mimi niliwahi kuandika hapa JF kuwa kamwe mabadiliko ya kweli hayawezi kuletwa na wanywa viroba. Hata siku moja wahuni, wavuta bangi, wanywa viroba hawawezi kuleta mabadiliko katika nchi hii. Poleni sana UKAWA, lakini pia nawapongeza kwa kupata viti vingi vya udiwani na ubunge kiasi. Jiandaeni kisaikolijia kumpokea Dk Magufuli kama rais wenu mpya. #HapaKaziTu
 
Laudetur Jesus Christus.......... vox populi vox dei. sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Tuvute subira...!!!
 
Back
Top Bottom