Lowassa the 5th president

LUBUVA anatumika vibaya, ila waungwana tunafahamu LOWASSA ndiye mshindi.

Kitendo cha mwenyekiti wa NEC kuanza kutangaza zile sehemu MAGUFULI anazoongoza ni mbinu ya kuwakatisha tamaa wanamabadiliko!

Umenena mkuu
 
MUNGU AMESHAWAFUNULIA WATUMISHI WAKE VIONGOZI WATAKAOTAWALA NCHI YETU KATIKA AWAMU YA TANO.

Tulia usome na uelewe.
Mungu uyafahamu majira na nyakati na viongozi wanaotawala katika nyakati hizo.

Imeandikwa "Hakika Bwana Mungu hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake" -- (AMOSI 3:7).

Maombi yetu hayatufanyi tuweke kiongozi tunayetaka bali maombi yetu hutusaidia kumpata aliyekusudiwa na Mungu, soma MATENDO YA MITUME 1:23-25 ("wakaweka wawili, Yusufu aitwaye Barsaba, aliyekuwa na jina la pili Yusto, na Mathiya, kisha wakaomba wakasema, wewe Bwana, ujuaye mioyo ya watu wote, tuoneshe ni nani uliyemchagua katika hawa wawili....wakawapigia kura; kura ikamwangukia Mathiya naye akahesabiwa kuwa pamoja na Mitume kumi na mmoja").

Kura ni mfumo ambao Mungu amewapa wanadamu kumpata kiongozi ila tunapaswa kufahamu kuwa hukumu (maamuzi) ya nani awe kiongozi huwa katika uwezo wa Mungu.
Soma MITHALI 16:33 ["kura hutupwa katika mikunjo ya nguo; Lakini maamuzi (hukumu) zake zote ni za Bwana"]. Hii inamaanisha kuwa kura Mungu ameamuru ziwepo kama njia ya kufikia mpango wa Mungu lakini tayari Mungu huwa tayari anamfahamu kiongozi ni yupi.

Tangu mwanzo Mungu aliwatumia watumishi wake kuyasema mapema yatakayotokea katika uongozi na viongozi watakaotawala hata kabla haijatokea(Daniel 11:1-4)

Hii si mara ya kwanza mimi kuandika haya bali niliwahi kuandika haya mwezi wa saba na mwezi wa nane mwakaa huu, katika unabii nilioandika awali japo ulikuwa katika mafumbo makubwa ila ulielezea nani atakuwa Kiongozi mkuu wa nchi hii. Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mkuu ninayaandika haya kwa aina nyingine ili uelewe na yatakapotimia ujue yupo Mungu wa Israel ajuaye majira na nyakati.

KWA MARA NYINGINE NALIONESHWA MAONO HAYA.

Naliona pepo (wind) zikizuka katika nchi na kuelekea nchi nzima, lakini pepo mbili ndizo zilikuwa na nguvu sana kuliko nyingine sita (6). Mmoja ulitokea Ziwa Victoria na mwingine ulitokea mlima Meru.

Pepo hizi zilipata nguvu zaidi kila zilipovuma kila kona. Naliona miti mingi bara na visiwani ambayo ilifurahi kwa sababu ya pepo hizo, jinsi zilivyovuma zilionekana kushindana pale zilipokaribia miti ili kupata upepo utakaovuma katika miti.

Kisha nikaona upepo uliotokea kanda ya ziwa ukipata alama nyingi za kukubalika siku ya kwanza ya uchambuzi wa alama kiasi kwamba ilisikika kila kona upepo huu utatawala miti ile. Ghafla siku ya pili ya uchambuzi wa alama za kukubalika, upepo unaotokea mlima Meru ukapata alama zaidi na kuishangaza miti mingi, japo nguvu yake kubwa iliongezeka kutoka kwa miti mingi ya visiwani. Miti hii ya visiwani iliokoa na kuongeza zaidi alama za upepo uvumao kutoka Mlima Meru. Kisha nikaona malaika akiandika alama katika ubao na hesabu yake ilikuwa mikono kumi na mmoja na nyongeza ya nukta kadhaa.

Naliona utata ukitokea katika kuwekwa wazi kwa alama hizo lakini baada ya msuguano Mungu aliingilia kati, kisha nikaona miti ikishangilia sana kwa sababu ya upepo utokao mlima Meru. Haikuwa rahisi alama hizi, mikono kumi na mmoja na nyongeza ya nukta kadhaa kuwekwa wazi lakini Mungu aliingilia kati na nikaona ubaoni andiko hili (MITHALI 16:31).

Mwisho wa maono.

Mungu ibariki Tanzania:
Naiombea Tanzania amani itawale na haki itawale kwa jina la Yesu. Amen

Apostle Mtalemwa Dionis
Kwa maulizo +255766247455
Maono haya yanaonekana kumwelekea EDWARD LOWASA WA CHADEMA.
lakini kwa mjibu wa maandiko ili kudhibitisha maono ni vizuri kuyasubiri yatimie.
Maana MUNGU hasemi uongo.
Kwa hiyo ni kiasi cha kusubiri na kuona nini kitatokea.
 
jiandaeni wale wana UKAWA na watanzania wote kusherehekea kutangazwa kwa raisi wetu wa awamu ya tano Hon. EDWARD NGOYAI LOWASSA

Ni kwel Lowasa ni Rais ila tofauti yake na Dr Magufuri ni kwamba Wakat Dr Magufuri ni RAIS wa Watanzania Yeye Lowasa ni rais wa MALOFA na WAPUMBAVU.
 
Ni kwel Lowasa ni Rais ila tofauti yake na Dr Magufuri ni kwamba Wakat Dr Magufuri ni RAIS wa Watanzania Yeye Lowasa ni rais wa MALOFA na WAPUMBAVU.

Hayo maneno na kashfa zitakutokea puani, mpaka jtatu uje hapa kuzungumza hivyo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom