Huyu Mzee kumbe nae ni mmoja wao hao wenye Magamba! Ukimuona anaongea utadhani ni mtu mtaratibu na mnyenyekevu kwa watu kumbe nae ndi walewale. Hatari hakuna mahali pa kuponea
Mbopo, nakushukuru kwa ufafanuzi na kukunga mkono watu wasishabikie vitu wasivyo fahamu.Watu muache kushabikia kitu ambacho hamkifahamu. Huyu mhariri pamoja na huyo Bandawe na kikundi cha wahariri kadhaa walikuwa na mkutano uliodumu mpaka usiku wa manane pale Ubungo Plaza na ajenda ilikuwa ni kutengeneza utaratibu wa kuwasafisha watuhumiwa wa ufisadi na baada ya kufanya kikao hicho na kukubaliana, walipewa mshiko wa nguvu ambao hata ulipofuatiliwa, wengine walikutwa nao kwenye akaunti zao wakiwa wame-deposit siku hiyo hiyo. Mzee Mengi kama mmiliki wa vyombo vya habari amabvyo hapendi viingie katika upuuzi huo wa kugeuza ukweli kuwa uongo kwa vipande thelethini vya fedha akafanya uchunguzi na hatimaye kuwachukulia hatua tena baada ya wenyewe kukiri kuhudhuria mkutano huo. Kwa suala hili la kukiuka misingi ya utumishi na makubaliano ya ajira, ni nani angesamehe, tena vyombo vyako kusafisha na kuwaimbia mapambio mafisadi tena mahasimu wako?
Mimi nadhani miaka yao mingi ya utumishi ilitakiwa iwafundishe uadilifu na siyo kutumia nafasi ya kukubalika na kuaminiwa kwao kupotosha umma. Mambo haya si mageni kwa wamiliki wa vyombo kwani hata ukiuliza akina Mwakitwange, Tagalile na akina Kwayu waliondokaje Habari Corporation? Mbona hakuna aliyepaza sauti? Mzee Mengi anastahili kupongezwa kwa kuondoa mbegu mbaya hata kama watu hao walikuwa na weledi wa hali ya juu katika uandishi wao.
Lakini hata tukidhani kwamba kosa ni kuandika habari za Mtikila (ambayo si kweli), kuna ubaya gani kwa mmiliki kumuwajibisha mwandishi anayeandika habari ambazo huko mbeleni zitasababisha madai ya kashfa yanayoweza kukiweka chombo cha habari na mmiliki matatani? Kwa vyovyote vile atakayekwazwa na habari hizo hawezi kumshtaki Mtikila ambaye ni mchovu na hana heshima mbele ya jamii zaidi ya kuwa ni jeshi la kukodiwa. Bingo ingetafutwa kwa watu wanaomiliki vyombo kama Mzee Mengi. Na hii ndiyo maana wenyewe wamekauka kau! Wanajua dhambi zao.
kumbe huyo mzee naye gamba, duh na kelele zote zile na mafisadi papa tena muda wa taarifa ya habari.
kama ni kweli basi huu ni muda wa kuanzisha trade union zinazoeleweka. kutetea wafanyakazi
Mlisha ambiwa nae ni fisadi nyangumi mkabisha mmeona sasa!!
achakupenda maandamano kuliko akili zako ww mbona mlimfukuza hausgel wenu alipokataa kukuletea chai chumbani nani kakushutumu?
..............................................................................................
Mjifunze jamani kazi za watu na malengo yao, Mengi ni CCM damu, ni fisadi mzuri tu, lakini watanzania kama kawa wamepumbazwa!........................................................................................................
Pamoja na kwamba mtoa mada hajatoa source ya kueleweka nashawishika kuikubali hii habari kutokana na yale niliyaona jana kwenye taarifa ya hbr ya 2 usiku ya ITV. Msoma habari alikuwa akisoma habari kuhusu Chadema akamweka Mbowe kidogo then ikaja habari kuhusu Dr. Slaa na "huyo anayeishi kimjinimjini" ni kama vile walitaka kumweka Slaa then wakagundua kwamba ni kosa wakaipotezea hiyo hbr na kuweka tangazo. ITV big shame on you!
Watu muache kushabikia kitu ambacho hamkifahamu. Huyu mhariri pamoja na huyo Bandawe na kikundi cha wahariri kadhaa walikuwa na mkutano uliodumu mpaka usiku wa manane pale Ubungo Plaza na ajenda ilikuwa ni kutengeneza utaratibu wa kuwasafisha watuhumiwa wa ufisadi na baada ya kufanya kikao hicho na kukubaliana, walipewa mshiko wa nguvu ambao hata ulipofuatiliwa, wengine walikutwa nao kwenye akaunti zao wakiwa wame-deposit siku hiyo hiyo. Mzee Mengi kama mmiliki wa vyombo vya habari amabvyo hapendi viingie katika upuuzi huo wa kugeuza ukweli kuwa uongo kwa vipande thelethini vya fedha akafanya uchunguzi na hatimaye kuwachukulia hatua tena baada ya wenyewe kukiri kuhudhuria mkutano huo. Kwa suala hili la kukiuka misingi ya utumishi na makubaliano ya ajira, ni nani angesamehe, tena vyombo vyako kusafisha na kuwaimbia mapambio mafisadi tena mahasimu wako?
Mimi nadhani miaka yao mingi ya utumishi ilitakiwa iwafundishe uadilifu na siyo kutumia nafasi ya kukubalika na kuaminiwa kwao kupotosha umma. Mambo haya si mageni kwa wamiliki wa vyombo kwani hata ukiuliza akina Mwakitwange, Tagalile na akina Kwayu waliondokaje Habari Corporation? Mbona hakuna aliyepaza sauti? Mzee Mengi anastahili kupongezwa kwa kuondoa mbegu mbaya hata kama watu hao walikuwa na weledi wa hali ya juu katika uandishi wao.
Lakini hata tukidhani kwamba kosa ni kuandika habari za Mtikila (ambayo si kweli), kuna ubaya gani kwa mmiliki kumuwajibisha mwandishi anayeandika habari ambazo huko mbeleni zitasababisha madai ya kashfa yanayoweza kukiweka chombo cha habari na mmiliki matatani? Kwa vyovyote vile atakayekwazwa na habari hizo hawezi kumshtaki Mtikila ambaye ni mchovu na hana heshima mbele ya jamii zaidi ya kuwa ni jeshi la kukodiwa. Bingo ingetafutwa kwa watu wanaomiliki vyombo kama Mzee Mengi. Na hii ndiyo maana wenyewe wamekauka kau! Wanajua dhambi zao.
Mkuu hii habari ni ya 2011. Hawa wanamama walisharudi kazini kitamboNchi imeanza kuvurugika tayar ila ccm mngeondoka vyema kuliko dalili izi maana mkianza kufukuzisha watu kwakua mnaficha maovu yenu isaidie mabadiliko yatakuepo iwe kwavi au vip ukawa ndo mshindi na si mchezo
Tuache kuandika hisia ya usichokitaka, tafuta habari/undani wa jambo bila kukurupuka. Fanya uchambuzi, tulia na tafakari bila ya kuwa na mhemko. Kumbuka kufanya kazi muda mrefu haimaanishi huwezi kutenda kosa litakalo hatarisha sio tu kazi bali hata future yako, either uwe muhariri au mfanyakazi yeyote hata wa ndani....kama walikiuka maadili lazima wachukuliwe hatua otherwise tuache kulalamika lalamiko. Wangeachwa ungelalamika, wamechukuliwa hatua umelalamika......kumbuka kusimamishwa kazi ni mojawapo ya adhabu wakati uchunguzi ukiendelea.Wana Jf kuna taarifa za bila kuwa na shaka Muhariri Mkuu wa Gazeti la Nipashe Jumapili Mama Flora Wingia na Muhariri wa Habari Bi Bandawe wamesimamishwa kazi kwa Kosa la Kuandika Story jumapili iliyopita inayohusu Tuhuma zilizotolewa Na Mchungaji Mtikila Dhidi ya RIDHWAN KIKWETE,wamesimamishwa kazi kwa kosa hilo.
Kosa la Pili ni kuandika Maoni juu ya Urais 2015 kuwa ni kati ya Lowasa na Sumaye ndani ya CCM,mambo haya mawili yamemuudhi sana Mwenye mali na wao kusimamishwa kazi siku ya IJUMAA maamuzi haya yalifanyika bila kufanyika kikao chochote cha Kinidhamu kujadili kama wamekiuka maadili ya uandishi ama kama wamekiuka sheria za chombo chao za habari.
My opinion barua zao zimesema hivo wazi najiuliza kosa la muandishi ama muhariri nini hapo kwani mtikila alituhumu wazi na kila chombo kiliandika,kuhusu maoni yale ni maoni ya muhariri na si siri tena CCM kuwa sasa inakabiliwa na Vurugu zinazotokana na URAIS wa 2015 ,wanahabari kama wananyanyasika hivi huyu mama Wingia amefanya kazi zaidi ya miaka 10 ni FOUNDER wa Gazeti la nipashe sisi waandishi wadogo tuna Future gani hapa nani yuko salama,wanahabari tuungane kupinga hili ni uonevu.