Lowassa: Sitategemea wahisani kuendesha serikali

Lowassa: Sitategemea wahisani kuendesha serikali

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Edward Lowassa amesema hatategemea nchi wahisani ktk kuongoza serikali yake.

Amedai Tanzania ina rasilimali za kutosha kabisa kuweza kujitegemea na kujiongoza yenyewe so amewataka watanzania wachague ukawa ili kuondokana na utegemezi uliodumu kwa miaka zaidi ya 50!

Chanzo: ITV Habari
 
Watanzania ni mda wa kujitambua na kuachana na story xa ccm ebu tujaribuni na kwingine hivyo kura zote ni kwa lowasaaaa
 
Mh Lowasa amesema hatategemea nchi wahisani ktk kuongoza serikali yake. Amedai Tanzania ina rasilimali za kutosha kabisa kuweza kujitegemea na kujiongoza yenyewe so amewataka watanzania wachague ukawa ili kuondokana na utegemezi uliodumu kwa miaka zaidi ya 50! source ITV Habari.

Kwa vipi hata kufafanua hawezi? Siasa za prof j
 
nitamtafutia kura lowassa usiku na mchana, atuondolee haibu ya kuwa taifa omba omba.
 
Watanzania ni mda wa kujitambua na kuachana na story xa ccm ebu tujaribuni na kwingine hivyo kura zote ni kwa lowasaaaa

Bingwa wa kutaja,bigwa wa jutokujua ilani,na ziro wa kufafanua
 
Amesema gesi asilia ipo ya kumwaga...viva lowassa
 
Dunia ilikuwa inatushangaa kutembeza BAKULI huku Rasilimali zikiwatajirisha nchi wahisani ... ALMASI, DHAHABU, TANZANITE, NICKEL, NATIONAL PARKS, MT KILIMANJARO, na sasa GAS .... Nchi yetu itaendelea ndani ya muda mfupi sana ...
Edward Lowassa amesema hatategemea nchi wahisani ktk kuongoza serikali yake.

Amedai Tanzania ina rasilimali za kutosha kabisa kuweza kujitegemea na kujiongoza yenyewe so amewataka watanzania wachague ukawa ili kuondokana na utegemezi uliodumu kwa miaka zaidi ya 50!

Chanzo: ITV Habari
 
kujua takwim siyo kujua kuongoza na bongo hatufuati takwim mana wtz wanaishi kwa matumain
 
kwan wa kwanza yeye? mbona mzee nyerer alxhatumia mfumo huo lkn mbna ulmuxhnda kabxa mpaka akamuuzia nchi mzee wa ruksa?
fkria bana
 
Edward Lowassa amesema hatategemea nchi wahisani ktk kuongoza serikali yake.

Amedai Tanzania ina rasilimali za kutosha kabisa kuweza kujitegemea na kujiongoza yenyewe so amewataka watanzania wachague ukawa ili kuondokana na utegemezi uliodumu kwa miaka zaidi ya 50!

Chanzo: ITV Habari
That's true kwani nchi kama kenya haina rasilimali kama tz lakini asilimia zaidi ya 80 ya bajeti yao ni mapato ya ndani wakati tz ni asilimia takribani 60 tu. But why? The simple answer is CCM!
 
Ungemuuliza kitakwimu ni milimita ngapi q ili ujue anajua au ni bigwa wa maigizo,

lowassa na ccm ni nani mwana maigizo? Taifa kwa miaka 50 limeshindwa kuondokana na utegemezi?

Sasa kati ya lowassa na ccm ni nani mwana maigizo? Tumia akili kijana wacha ushabiki.

Taifa lina angamia tembo wanatoweka. Twiga wanapanda ndege?

Madini.milima.mbuga za wanyama.gesi. Na nyinginezo nyingi lakini bado taifa ni omba omba?

Narudia tena. Nitamtafutia lowassa kura usiku na mchana. Atuondolee aibu ya kuwa taifa omba omba.
 
kujua takwim siyo kujua kuongoza na bongo hatufuati takwim mana wtz wanaishi kwa matumain


Unawezaje kujua unatakiwa kufanya nini bila kujua ni kwa kiwango gani na waitaji ni kiwango gani?unajua maana ya takwimu?
 
Back
Top Bottom