johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Edward Lowassa amesema hatategemea nchi wahisani ktk kuongoza serikali yake.
Amedai Tanzania ina rasilimali za kutosha kabisa kuweza kujitegemea na kujiongoza yenyewe so amewataka watanzania wachague ukawa ili kuondokana na utegemezi uliodumu kwa miaka zaidi ya 50!
Chanzo: ITV Habari
Amedai Tanzania ina rasilimali za kutosha kabisa kuweza kujitegemea na kujiongoza yenyewe so amewataka watanzania wachague ukawa ili kuondokana na utegemezi uliodumu kwa miaka zaidi ya 50!
Chanzo: ITV Habari