gidamulida
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 286
- 95
Wakati akihutubia Bariadi wananchi hawakumsikia alichokuwa akisema hivyo nyomi ikaanza kusepa.
Huenda na Geita ilikuwa tatizo ni sauti yake na si vipaza sauti. (?)
Basi nashauri atengenezewe kipaza sauti chake maalum maana iliwaboa waliohudhuria mkutano wake waliokuwa nje ya jukwaa.
Source. Aliyekuwapo
Huenda na Geita ilikuwa tatizo ni sauti yake na si vipaza sauti. (?)
Basi nashauri atengenezewe kipaza sauti chake maalum maana iliwaboa waliohudhuria mkutano wake waliokuwa nje ya jukwaa.
Source. Aliyekuwapo