Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
Ng'wamapalala, I can tell you kuna wengi ndani ya CCM ambao walipigania Serikali mbili kwa sababu ni Msimamo wa chama lakini wenyewe wakiwa waumini wa Serikali 3....
Changamoto kubwa ilikuwa huu ni mwaka wa "maamuzi" na kudefect msimamo wa Chama kungemuweka mwanachama mahali pagumu kudhihirisha msimamo wake
Kama nitakuwa nimemnukuu vema Polepole kwenye moja ya mazugumzo yake, ni kuwa katika hatua za awali Lowassa alikuwa mfuasi mzuri wa Mtazamo wa Serikali tatu
If that is the case, swali kubwa hapa ni nini kilisababisha akapiga U-turn toka kuwa muumini wa Serikali 3 hadi 2??
Changamoto kubwa ilikuwa huu ni mwaka wa "maamuzi" na kudefect msimamo wa Chama kungemuweka mwanachama mahali pagumu kudhihirisha msimamo wake
Kama nitakuwa nimemnukuu vema Polepole kwenye moja ya mazugumzo yake, ni kuwa katika hatua za awali Lowassa alikuwa mfuasi mzuri wa Mtazamo wa Serikali tatu
If that is the case, swali kubwa hapa ni nini kilisababisha akapiga U-turn toka kuwa muumini wa Serikali 3 hadi 2??