Sidhani kama Lowassa alikuwa muumini wa serikali tatu.
Hebu msikilize hapa anavyopinga serikali tatu!
No matter what he was. Kinachojalisha sasa ni mwelekeo wake na nia yake ya kuongoza mabadiliko.
Kama alikuwa muumini wa serikali tano kumi, mbili hata nne, ni sawa na wengine wenye mitazamo tofauti ambacho ni kitu cha kawaida tu katika jamii. Cha muhimu ni kwamba sasa amekwenda kwenye mstari wa Wananchi kama UKaWA inavyotka.
Lowasa hatafanya ya kwake ila atafanya ya UKAWA sawa na vile kila fisadi, jambazi na muungwana watakavyolazimika kufuata sera za UKAWA kwa hiyari ama kwa lazima.
TUNATAKA MABADILIKO NA MABADILIKO YANAPATIKANA UKAWA!. ukawa si ccm wala mtu binafsi.
Last edited by a moderator: