Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Status
Not open for further replies.
aulizwe sumaye, babu seya na mwanawe wameshikwa 2004
 
Kimsingi inaonyesha kuna uonevu mwingi umetendeka,viongozi wametumia nyadhifa zao kuadabisha watu kwa makusudi...Mh Lowassa yaonyesha anaujua ukwel,mana kwa mambo mazito km hayo sio rahisi mtu kucmama jukwaani na kuyafanyia propaganda,...
 
Hv kwann babu seya? Naamin mungu yupo upande wao haiwezekan wao tu wakat wafungwa wapo kibao huko jaman..pengine mungu kasikia kilio chao.
 
Na wale masheikh?

ujue mpaka sasa haki yao inacheleweshwa. haki ilitakiwa iwe imeshapatikana kwa wao kufungwa au kupewa adhabu yoyote ile kwa mujibu wa sheria za mahakama. alisema kwa kuwa kuna utawala wa sheria atakachokifanya ni kuharakisha upatikanaji wa haki hizo
 
Akishika madaraka tutajua mengi sana.

Ndio maana kuna watu hawali wanawaza siri zitavujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wana JF.

Naombeni kufahamishwa moja ya ahadi ya mgombea wetu wa UKAWA Edward Lowassa, ni kuwatoa jela, Babu Seya na watoto wake kwani hiyo kesi yao ya ubakaji walionewa na mahakama.

Ukweli haujawah kushindwa hata kama itapita miaka mia tano,tutajua tu kizungumkuti kilichopo hapo kwenye kesi ya akina nguza viking,kuna asilimia za uonevu ukitafakari zinaonekana waziwazi,Vilevile tuliwah ino kiongozi fulani alisema anatembelea Magereza Dar kumbe lengo lilikuwa kuwaona akina babu sea wamechakaa kiasi gani,Malipo ni hapa hapa duniani.
 
Na wale masheikh?

Mkuu hili game mwaka huu ni gumu, lazima utumie kila nyenzo kuhakikisha unaweka mambo vizuri na vita unaishinda......kumbuka kuna chama mgombea wake alisema atashuhulikia mahakama ya kadhi kipindi kile, akapata kura nyingi sana kutoka upande huo....leo swala la kadhi sijalisikia, huyu naye kaja na kuwatetea masheikh waliofungwa, kumbuka malalamiko yalikuwa mengi sana upande huo wakati wanasweka ndani, kwa ninachokiana hapa jamaa tayari ana kura za upande wa ule, tena nyingi tu......wakijua watu wao wanaachiwa, ukumbuke pia huyu lowasa keshakutana na masheikh wengi na kutoa michango ya kutosha kwenye misikiti......kumbuka kuna hafla moja makamu wa rais alialikwa na masheikh nadhani ilikuwa ni ishu ya harambee, makamu kwa kukosa nafasi au makusudi tu akamtuma Lowasa, na harambee ilifana na pesa ikapatikana ajabu......niambie kitakachofua hapo october.
 
Kwa upande mmoja kauli hiyo inaashiria usikivu wa serikali ya Lowassa ila kwa upande mwingine inaweza kutafsiria kama ni kubaliki vitendo vya ulawiti kwa watoto na kuingilia uhuru wa mahakama.
Nadhani atafafanua zaidi.
 
Wananchi watapata FAIDA GANI kutolewa KWA MASHEHE NA babu seya?

LOWASSA alipaswa kuzungumzia matatizo yanayo wakabili wananchi ya kimaendeleo kuliko hayo ya babu seya. Kuna wafungwa wengi waliofungwa kimakosa kwanini amewabagua hao? Basi angewazungumzia wafungwa wote kuliko kuleta ubaguzi. KWA hilo alikurupuka.

Wasalaam,

Abel sere from Moshi
 
Alijua kwa kusema hivyo atavutia wengi kwasababu hizo case zina mvuto ktk jamii.. Siasa za matope hizo wapo wafungwa kibao wasio na hatia wanateseka magerezani atoe wote.. Why babu seya tuu da..mn
 
Huko mikoani anakozunguka umesikia Lowassa akiongea habari za Babu Seya au Uamsho?

Je wakati Lowassa akiyaongea hayo pale Jangwani aliongea katika mazingira gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom