Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Status
Not open for further replies.
Kama uliwahi kusoma katika vyuo vikuu vya huko majuu ,kama unamsikiliza Lipumba huwa hakutumiki chaki ubaoni, na kwa muda ulivyokuwa mdogo ulitakiwa uwe na ufahamu ,alichokusudia Lowasa ni kuondosha dhuluma ,dhulma inayofanywa na utawala wa CCM na si lingine ,kupotea kwa balali,kufungwa kwa Seya sababu na mikasa ukisikia na hao mashekhe wa Zanzibar ambao kundi lao lipo kisheria la uamsho ,mpaka leo hakuna ushahidi wowote ule uliowasilishwa na upande wa mashtaka ,hakuna kila wanapojaribu kuwahusisha na wengine wanakwama ,wanabaki kuwapiga kalenda.

Mnaopiga makelele naona mmeshindwa kuelewa kuwa CCM yenu inaendesha nchi hii kwa kuwadhulumu na wapo wengi wanaodhulumiwa ,kaeni chonjo saa mbaya CCM mnaondoka mkitaka msitake.
 
Yuko CCM mmoja leo akiwa na Makomeo ,masikini amepanda jukwaani eti Lowasa kasema atawaachia mashehe na babu Seya,nilimuoneya huruma sana kijana yule ,ooh sijui anataka kuwaachia magaidi wamemwagia watu acidi womechoma misikiti na makanisa kule Zanzibar ,mahakama hadi leo wanasubiri ushahidi huo ,wewe kama huo ndio ushahidi wako na hao mashehe wa uamsho ndio waliochoma miskiti na makanisa neda kawasaidie upande wa mashitaka kwani hayo unayoyasema hawayajui na hawana shahidi wa hayo ,tafadhali jitokeze usaidie.

Ila waliochoma makanisa na misikiti na kuwamwagia watu acid nyie ccm mnawajua kwa undani kabisa,iko siku mtawataja au mtatajana.
 
Mwiba,

..kuwatoa mashekhe wa uamsho, YES.

..lakini habari ya Babu Seya nadhani aachane nayo.

..mimi ningependelea atoe kauli nzito kuhusu mauaji ya mwandishi wa habari daudi mwangosi.
Tumaini Makene, Julius Mtatiro
 
Last edited by a moderator:
Yuko CCM mmoja leo akiwa na Makomeo ,masikini amepanda jukwaani eti Lowasa kasema atawaachia mashehe na babu Seya,nilimuoneya huruma sana kijana yule ,ooh sijui anataka kuwaachia magaidi wamemwagia watu acidi womechoma misikiti na makanisa kule Zanzibar ,mahakama hadi leo wanasubiri ushahidi huo ,wewe kama huo ndio ushahidi wako na hao mashehe wa uamsho ndio waliochoma miskiti na makanisa neda kawasaidie upande wa mashitaka kwani hayo unayoyasema hawayajui na hawana shahidi wa hayo ,tafadhali jitokeze usaidie.

Ila waliochoma makanisa na misikiti na kuwamwagia watu acid nyie ccm mnawajua kwa undani kabisa,iko siku mtawataja au mtatajana.

Halafu cha kusikitisha huyo aliyekuwa akiyaongea hayo ni mlemavu wa macho taarifa pekee anazopata ni kwa kusikia pasipo kuona sasa nashangaa kwa anayoyaongea utafikiri kayaona na kuwa na uhakika nayo.
 
Kama uliwahi kusoma katika vyuo vikuu vya huko majuu ,kama unamsikiliza Lipumba huwa hakutumiki chaki ubaoni, na kwa muda ulivyokuwa mdogo ulitakiwa uwe na ufahamu ,alichokusudia Lowasa ni kuondosha dhuluma ,dhulma inayofanywa na utawala wa CCM na si lingine ,kupotea kwa balali,kufungwa kwa Seya sababu na mikasa ukisikia na hao mashekhe wa Zanzibar ambao kundi lao lipo kisheria la uamsho ,mpaka leo hakuna ushahidi wowote ule uliowasilishwa na upande wa mashtaka ,hakuna kila wanapojaribu kuwahusisha na wengine wanakwama ,wanabaki kuwapiga kalenda.

Mnaopiga makelele naona mmeshindwa kuelewa kuwa CCM yenu inaendesha nchi hii kwa kuwadhulumu na wapo wengi wanaodhulumiwa ,kaeni chonjo saa mbaya CCM mnaondoka mkitaka msitake.
Hivi kumshabikia Lowassa ni lazima uwe zezeta?? unajaribi kwa kila hali kumuokoa Lowassa asionekane nunda, ila ukweli ni NUNDA! Si ajabu hata bungeni kina Lucinde wana hoja zaidi yake!
 
hatuhitaji kutetea maneno ya Lowasa kuhusu masheikh, maana yana sura ya kidini
 
Hivi kumshabikia Lowassa ni lazima uwe zezeta?? unajaribi kwa kila hali kumuokoa Lowassa asionekane nunda, ila ukweli ni NUNDA! Si ajabu hata bungeni kina Lucinde wana hoja zaidi yake!

mtima wako umedungwa sindano ya maccm, any way tutaikomboa tanzania nawe ukiwemo.
 
Hivi kumshabikia Lowassa ni lazima uwe zezeta?? unajaribi kwa kila hali kumuokoa Lowassa asionekane nunda, ila ukweli ni NUNDA! Si ajabu hata bungeni kina Lucinde wana hoja zaidi yake!
Too bad your president appointed a NUNDA PM! Sasa sijui lengo lilikuwa nini....?

halafu lakini huyu 'nunda' alipotaja mambo ya babu Seya aliya relate na issue ya utawala bora. So go figure!
 
Wana JF.

Naombeni kufahamishwa moja ya ahadi ya mgombea wetu wa UKAWA Edward Lowassa, ni kuwatoa jela, Babu Seya na watoto wake kwani hiyo kesi yao ya ubakaji walionewa na mahakama.
 
Sijamsikia akisema atawatoa, mara mbili nimemsikia akisema atashuhulikia hiyo kesi.....kujibu swali lako inawezekana kuna kitu anajua sio sawa kwenye hiyo kesi, maana kesi yenyewe iliendeshwa kiaina na.ilikuwa na mizengwe kibao mpk baadhi ya raia kutilia shaka mashtaka yenyewe.
 
Kwa hiyo mnataka kunishawishi Mahakama sio huru inafanya maamuzi kiaina?
 
Kuna kitu kimoja najaribu kuwaza

Lowasa amekuwa "mwenzao" kwa muda mrefu......najaribu kuwaza na kuhisi kuna mengi anayoyajua ambayo huenda watu wengi nje hatuyajui......sidhani katika hali na pressure ya sasa unaweza kuwa na ujasiri wa kutoa kauli kama ile bila kujua jambo fulani ambalo wengine hatulijui

Kumekuwa na minong'ono mingi sana mitaani for all the years juu ya Babu Seya kuonewa....story zimekuwa nyingi nyingine zikisema huenda kuna mahali waligongana na "mamlaka" za juu na hivyo kuamua kufuta kizazi chao...ahdabu waliyopewa na mazingira yake inaacha maswali mengi sana

Wenyewe pamoja na kuwa wamehukumiwa lakini walikata rufaa na hata rufaa yao ilipotupwa bado waliendelea kulia kuwa innocent na kuomba msamaha wa Raisi waachiwe

Katika mazingira hayo sishangai na sitashangaa kama itakuja kuonekana kuna kitu ambacho hatukijui lakini Lowasa anajua juu ya sakata hili maana amekuwa "mwenzao" kwa muda mrefu
 
Sijamsikia akisema atawatoa, mara mbili nimemsikia akisema atashuhulikia hiyo kesi.....kujibu swali lako inawezekana kuna kitu anajua sio sawa kwenye hiyo kesi, maana kesi yenyewe iliendeshwa kiaina na.ilikuwa na mizengwe kibao mpk baadhi ya raia kutilia shaka mashtaka yenyewe.
Na wale masheikh?
 
Kwa hiyo mnataka kunishawishi Mahakama sio huru inafanya maamuzi kiaina?

Mkuu kazi ya mahakama ni kusikiliza ushahidi na kujiridhisha kuwa Mtuhumiwa ametenda kosa beyond doubt

Chukulia mfano huu....huna kosa, lakini kwa kuwa mtu fulani kaamua kukumaliza na ana "nguvu" fulani ama ya kifedha au kimamlaka anamua kulipia gharama za ushahidi.......anaandaa mashahidi wa kutosha, anaandaa mazingira ya kuthibitishwa kwa ushahidi wao....everything is well settled and in plan

Unapelekwa mahakamani, mashahidi wa "kuchonga" wanasimama wanatoa ushahidi wao, vidhibiti vya ushahidi wao ambavyo navyo ni vya "kuchongwa" vinaletwa...Utetezi wako nao unawasilishwa.....

Mahakama inapima inaona mizani inaangukia upande wako na inakuwa proven without doubt (japo kwa kuchonga) kuwa wewe ni mkosa...mahakama haina option zaidi ya kutoa huku....

Swali hapo ni je mahakama haiko huru? Jibu rahisi ni kuwa iko huru...na huwezi kuilaumu mahakama....sanasana unachoweza kufanya kama ndiwe muathirika au ndugu wa muathirika ni "kuwalaani" waliohusika na kupika mazingira ya hukumu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom