OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Mh Edward Lowassa amesema hatua zinazochukuliwa na Rais magufuli ni utekelezaji wa ilani ya ukawa.Amesema yale aliyoyapigia kelele wakati wa kampeni ndiyo yanayotekelezwa na Rais Magufuli."lakini nawataka wakiri basi kuwa wanatekeleza sera za lowassa na ukawa".amesema.Aidha Ameipongeza serikali ya Magufuli kwa kumwachia huru sheikh Ponda na kuelezea matumaini yake kesi ya babu seya nayo itaangaliwa upya.
Mytake: ukizingatia 2006 kipindi Babu Seya anahukumiwa, Lowassa alikuwa waziri mkuu. Katika kipindi cha kampeni mpaka sasa (leo, Arusha) amekuwa akisisitiza kuhusu hii kesi kuangaliwa upya, WHY?
Kwangu mimi, nabaki na maswali mengi sana!.. Na kuna mengi ya kuyatafutia majibu....
Mytake: ukizingatia 2006 kipindi Babu Seya anahukumiwa, Lowassa alikuwa waziri mkuu. Katika kipindi cha kampeni mpaka sasa (leo, Arusha) amekuwa akisisitiza kuhusu hii kesi kuangaliwa upya, WHY?
Kwangu mimi, nabaki na maswali mengi sana!.. Na kuna mengi ya kuyatafutia majibu....