Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,199
LOWASSA TISHIO?!
Tusiandike kwa mate wakati wino upo:
1972 - 1973 Milambo High School (combi: Swahili, History na English - SHE) Division III
1975 - 1970 University of Dar es Salaam (B.A. Theatre Arts "Sanaa ya maigizo") Pass
AMA KWELI TISHIO!
Nimekuwa nikifuatilia sana vyombo vya habari vinavyopinga Lowassa(Mwanahalisi na Raiamwema) na vinavyo msapoti(Rai na Mtanzania). Nimefuatilia sana wanasiasa wanaompinga na kumsapoti. Mwisho nimebaini kuwa Lowassa ni tishio kubwa kwa wanaoutaka urais wa muungano ndani ya chama chake na kwa upande wa upinzani. Ana nguvu kubwa sana serikalini na katika chama. Ni bingwa wa kuratibu mtandao kisomi. Ni mtendaji na haogopi. Na iwapo ataamua kugombea, hatakuwa na mpinzani mwenye nguvu ndani ya chama chake na hata ktk uchaguzi mkuu. Sote tumeshuhudia jinsi alivyoweza kuukwaa uenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje, ulinzi na usalama bila mtu yeyote kutia mguu kumpinga. Na sasa tumeshuhudia jinsi anavyopata sapoti kutoka kwa Mhe Beatrice Shelukindo na mumewe William Shelukindo. LOWASSA NI TISHIO
ukweli mtupu kaka mm nadhani cna cha kuongeza kwa hili.Hakuna lolote hapa. Lazima wewe umelipwa pesa na Rostam Aziz au Lowassa mwenyewe. Lowassa ni kiongozi anayeleta aibu kwa Tanzania na kwa chama chake CCM. Ni mpenda mali, ana utajiri mkubwa usioweza kuelezeka (unexplained wealth). Kama wewe unamsifia Lowassa kwa utendaji kazi je Edward Moringe Sokoine ungesemaje? Waziri Mkuu mchapa kazi na mwenye msimamo ambayo Tanzania imewahi kumpata katika historia yake ni Edward Sokoine na Julius Nyerere aliyemtangulia.
Mawaziri wakuu wote waliofuata, ikiwemo Lowassa, ni bomu tu. Kuhusu Lowassa kuwa tishio, labda kwa CCM kwani hicho ni chama kilichotekwa na mafisadi. "Tishio" la Lowassa unalosema wewe ni kutokana na kuwa na pesa nyingi za kifisadi kuweza kununua kura za wana CCM na si kutokana na ubora wa uongozi.
CCM ina viongozi bora na "Tishio" zaidi kuliko fisadi Lowassa kwa utendaji kazi na uadilifu ambao wanafaa kuwa Rais. Nao ni Samuel Sitta, Harisson Mwakyembe, John Magufuli na Bernard Membe.
Lowassa na genge lake la mafisadi wakiwemo Rostam Aziz, Andrew Chenge, Nazir Karamagi, Yusuf Makamba, Peter Serukamba, Makongoro Mahanga, na wengine wanastahili kwenda jela si IKULU.
itahwa, najaribu kukupata asili yako napata wasiwasi kidogo. Watanzania wote sasa hv wanalia na madeni makubwa ya nishati kwa sababu ya huyu unayesema ni msomi, siasa za kisasa zikoje unazozizungumzia?Hz za kulazimisha tenda? Hz za kulazimisha wananchi kujenga miundombinu ya kijamii ilhali pesa za serikali ambazo zingefanya kazi hizo zikitiwa ktk mifuko yao binafsi? Msipeleke siasa za ushabiki hata mahali palipo wazi makosa kutendeka. Kwani alipotakiwa kujiuzulu haikuthibitishwa kwamba alihusika moja kwa moja na kashfa ya Richmond? Richmond mpaka leo tunapozungumza si kashfa kwa serikali? Na mtendaji unapojihusisha na chombo chenye kashfa unakwepaje kuwa mwenye kashfa? Hakupewa nafasi huyu kujisafisha na kashfa hiyo? Je, alifanikiwa kujisafisha?
Mimi sitaki kusema na wewe umelipwa pia lkn hebu jitolee doa hilo mwenyewe!
lowassa tishio?!
tusiandike kwa mate wakati wino upo:
1972 - 1973 milambo high school (combi: Swahili, history na english - she) division iii
1975 - 1970 university of dar es salaam (b.a. Theatre arts "sanaa ya maigizo") pass
ama kweli tishio!
for you own good Lowasa ana kadegree cha tamthilia na kamasters ka Development study, hana elimu ya kutisha kiivyo kama unavyo dhani, issue ya kuwa mropokaji ni kwamba, Dr Slaa always speaks sense, please my you allow me to question you integrity maana you are giving out baseless comments like a ninny.naunga mkono hoja,na ndio anayewatia homa CDM,na ndio maana cdm wakilala wakiamka ni lowasa,huyu jamaa akisimama chadema chali coz lowasa anajua siasa za kisasa,ni msomi na ni msikivu na si mropokaji kama padri slaa! sasa wanachofanya cdm ni kumchafua kwa kashfa ambazo hawawezi kuthibitisha,wanabase kwenye rumours only! cdm need to be realistic with people na waambie sera zao na mipango yao,politics of critizing others imeshapitwa na wakati!
Viongozi wote wa CCM ni mafisadi papa,hata huyo Sokoine, alikuwa fisadi bahati mbaya mauti yalimkuta pasipokujipanga sawasawa,mali zake nyingi aliwekeza kwa watu hasa wahindi Arusha na wote waliiliza familia yake,hivyo sishangai kwa Lowasa, amejitayarisha kwa ajili ya kugombea Urais 2015,waswahili wanasema samaki mkaange na mafuta yake mwenyewe,fedha zetu wenyewe zinatukaanga,LAKINI NGUVU YA UMMA NDIYO ITAKAYOAMUA.TUNAMSUBIRI AJE,KAMA ATAWEZA KUHONGA UMMA WOTE WA TANZANIA.
Why hakumuondoa? Nyerere nae aliwabeba magharasha na vimeoMbona hata Nyerere alishasema tangu miaka ile ya Tisini kuwa Lowasa ni Tishio na hafai kushika uongozi wa Nchi hii.
Lowassa hafai kuiga wala kuwa ndugu
Sisi tuliopo huku kanda ya kaskazini tunaomba achaguliwe na ssim hata monduli hawamtaki
Kama sisi ni wazalendo wa nchi hii, tuangalie ni jinsi gani serikali zilizopita za ccm zimeipeleka nchi hii kwenye hali ilivyo sasa hivi. Kama ni hali nzuri tuwape heko, kama ni hali mbaya basi tuwape wengine nafasi.
Tusimwangalie lowassa kama yeye tuiangalie system nzima ya ccm. Tukiweka macho yetu kwa lowassa ina maana ccm hata wakituwekea bogus yeyote yule isipokuwa lowassa basi tunaridhika.
Hapa jf nilidhani tulikuwa intellectuals lakini kwa sasa hata watoto wa shule ya msingi hawachangii mada kwa namna hii (naomba samahani kwa kusema haya).
Nimekuwa nikifuatilia sana vyombo vya habari vinavyopinga Lowassa(Mwanahalisi na Raiamwema) na vinavyo msapoti(Rai na Mtanzania). Nimefuatilia sana wanasiasa wanaompinga na kumsapoti. Mwisho nimebaini kuwa Lowassa ni tishio kubwa kwa wanaoutaka urais wa muungano ndani ya chama chake na kwa upande wa upinzani. Ana nguvu kubwa sana serikalini na katika chama. Ni bingwa wa kuratibu mtandao kisomi. Ni mtendaji na haogopi. Na iwapo ataamua kugombea, hatakuwa na mpinzani mwenye nguvu ndani ya chama chake na hata ktk uchaguzi mkuu. Sote tumeshuhudia jinsi alivyoweza kuukwaa uenyekiti wa kamati ya bunge ya mambo ya nje, ulinzi na usalama bila mtu yeyote kutia mguu kumpinga. Na sasa tumeshuhudia jinsi anavyopata sapoti kutoka kwa Mhe Beatrice Shelukindo na mumewe William Shelukindo. LOWASSA NI TISHIO
naunga mkono hoja,na ndio anayewatia homa CDM,na ndio maana cdm wakilala wakiamka ni lowasa,huyu jamaa akisimama chadema chali coz lowasa anajua siasa za kisasa,ni msomi na ni msikivu na si mropokaji kama padri slaa! sasa wanachofanya cdm ni kumchafua kwa kashfa ambazo hawawezi kuthibitisha,wanabase kwenye rumours only! cdm need to be realistic with people na waambie sera zao na mipango yao,politics of critizing others imeshapitwa na wakati!