JORAM LUKAS
Senior Member
- Feb 5, 2012
- 141
- 69
Mtoa post kavurugwa. Unawezaje kuwa na akili halafu ukasema watu elfu 11 wa shule za msingi ni kukubalika
Na je hizo fomu zenyewe za CCM hazina mahali zinapokomea ili mtafuta wadhamini asiwatwishe mzingo usiohitajika wahakiki? Au anatoa photocopy? Mimi magambas huwa nashindwa kuyaelewa!Dear Susan "Bashe" Lema Wadhamini wanatakiwa ni 450 kutoka mikoa 15 hizo nyingine mbwembwe tu...na kama mtu unakubalika huna haja ya kuflaunt na kuplay PR Pranks..na mwisho wa siku mgombea wenu hafai na mtakatwa tu.
Ndo nani?
Hakuna Waziri wa Pesa, kuna Waziri wa Fedha
Viva Lowassa a man if white hairs
Walimtuhumu kwa makosa wasiyokuwa na uhhakika kama ilivyo ESCROW,wakaamua kujirusha kumbe wanajichafua wenyewe kimaadili sasa leo wanaumbuka mmoja baada ya mwingine.
Mh.Lowasa ndio kiongozi pekee asiyekuwa na mchepuko na ndio mwenye familia iliyotulia.
Hivi wanapofika 450 wanaotakiwa hawezi kusimamisha zoezi mpaka awasumbue hao wote? Mbona anaanza kukiuka kanuni kungali mapema hivi? Hiyo ni dalili mbaya. Ni sawa na mtu anayejua uwezo wake wa kula nyama choma ni nusu kilo lakini kwa sababu mwenyeji anampenda hivyo akiweka kilo tano mezani lazima ale zote. Ni ulafi tuu.
Leo Waziri mkuu wa zamani Mhe. Edward Lowassa alikuwa mkoani Kigoma katika mbio za urais akafanikiwa kupata zaidi ya wadhamini 11,000. Jana alipokuwa mkoani Tabora alipata wadhamini zaidi ya 13,000. Hili ni kubaliko la kutosha ndani ya jamii.
Huyu ni fisadi tu, hana jipya wala hana tofauti na rafiki yake Kikwete. Ni DHAIFU mwingine huyu ambaye hastahili kupewa dhamana ya kuliongoza Taifa letu. Tumechoka kuongozwa na wasio na sifa ambao wanaifanya Ikulu yetu ni danguro la mafisadi na wapokea rushwa.
Ninakumbuka Hayati Mwalim JK Nyerere aliwahi kusema haya kumhusu huyu mtu...
.View attachment 259873
Ninashangaa wanaosema anakubalika.
ccm walichelewa sana kumdhibiti lowasa. alianza kampeni muda mrefu sana. na huko mikoani alishatapakaza wafuasi wake wengi tu. pia alishateka wajumbe wa mkutano mkuu na NEC zamani sana. nakwa sasa anamalizia mkakati wake wa kuiweka cc mfukoni mwake kabisa...
Hakuna Waziri wa Pesa, kuna Waziri wa Fedha