Lowassa ni nani CHADEMA?

Lowassa ni nani CHADEMA?

Kwa taarifa nilizozipata jana ni kuwa Lowassa kwa sasa amebakiwa na cheo cha mwenyekiti wa bodi ya shule huko Monduli katika vyeo vyote aliwahi kuwa navyo.

Huko chadema hana cheo chochote ila anatoa matamko yanayopaswa kutolewa na viongozi wa chama hicho. Utumishi wa umma ulimshinda, siasa imemshinda, afanye tu biashara zake na Rostam asizidi kujipotezea muda na siasa.

Chadema na team zake zote kama team Lowassa n.k wanamchuna tu wamemfanya shamba la bibi tangu wanazunguka nae ndipo anazidi kupotea.

Fedha alizo nazo ni bora akaanzisha kitu cha maana hata taasisi kama ukumbusho wake ama akasaidia masikini kama TB Joshua atapata Dhawabu na atasamehewa na Mungu.


Pili pili ya shamba ya kuwashia nini , Akothee ft. Diamondplatnumz
 
mwenye maumivu ni yupi kama si yeye na ninyi mliokosa?
Mwenye maumivu ni yule ambaye hajatulia maongezi yake ni umbea umbea tu bali aliyeko kimya hana maumivu upinzani ulishakubaliana na hali ya kuibiwa kura vile hakuna pa kujitetea ndo maana mawazo yote sasa hivi ni katiba mpya na 2020 basi.
 
Kwa taarifa nilizozipata jana ni kuwa Lowassa kwa sasa amebakiwa na cheo cha mwenyekiti wa bodi ya shule huko Monduli katika vyeo vyote aliwahi kuwa navyo.

Huko chadema hana cheo chochote ila anatoa matamko yanayopaswa kutolewa na viongozi wa chama hicho. Utumishi wa umma ulimshinda, siasa imemshinda, afanye tu biashara zake na Rostam asizidi kujipotezea muda na siasa.

Chadema na team zake zote kama team Lowassa n.k wanamchuna tu wamemfanya shamba la bibi tangu wanazunguka nae ndipo anazidi kupotea.

Fedha alizo nazo ni bora akaanzisha kitu cha maana hata taasisi kama ukumbusho wake ama akasaidia masikini kama TB Joshua atapata Dhawabu na atasamehewa na Mungu.
Always CCM will dance makirikiri played by Lowasa.
 
Sirluta ni kama vile umeivalia shela harusi isiyo yako, una wivu wewe dada!!!
 
kwani sasahv anasikika tena? Chale kifo cha mende!
Sasa wewe unaanzisha mjadala kumtaja yeye halafu unasema hasikiki? Kweli kuna watu na viatu! Hebu agalia tuu hapa JF ni mwanasiasa gani anajadiliwa sana kuliko mwingine halafu ndio ujipime kwenye huo upuuzi wako wa kusikika
 
Mwenye maumivu ni yule ambaye hajatulia maongezi yake ni umbea umbea tu bali aliyeko kimya hana maumivu upinzani ulishakubaliana na hali ya kuibiwa kura vile hakuna pa kujitetea ndo maana mawazo yote sasa hivi ni katiba mpya na 2020 basi.

mnataka tu kula pesa hadi 2020 wala hamtompitisha. Mtiririko wake umeshavurugika na nguvu yake imekwisha hata akianza tena kufanya sherehe na kuchangisha makanisani haitosaidia
 
Sasa wewe unaanzisha mjadala kumtaja yeye halafu unasema hasikiki? Kweli kuna watu na viatu! Hebu agalia tuu hapa JF ni mwanasiasa gani anajadiliwa sana kuliko mwingine halafu ndio ujipime kwenye huo upuuzi wako wa kusikika
sasahivi mbona twapishana nae tu kawaida kama raia wengine wala hakuna mwenye taimu nae?
 
Kwa taarifa nilizozipata jana ni kuwa Lowassa kwa sasa amebakiwa na cheo cha mwenyekiti wa bodi ya shule huko Monduli katika vyeo vyote aliwahi kuwa navyo.

Huko chadema hana cheo chochote ila anatoa matamko yanayopaswa kutolewa na viongozi wa chama hicho. Utumishi wa umma ulimshinda, siasa imemshinda, afanye tu biashara zake na Rostam asizidi kujipotezea muda na siasa.

Chadema na team zake zote kama team Lowassa n.k wanamchuna tu wamemfanya shamba la bibi tangu wanazunguka nae ndipo anazidi kupotea.

Fedha alizo nazo ni bora akaanzisha kitu cha maana hata taasisi kama ukumbusho wake ama akasaidia masikini kama TB Joshua atapata Dhawabu na atasamehewa na Mungu.
Kama unatafuta mme mwenye cheo mimi nnacho
 
et mada za kitoto. Mwambieni ajitathmini. Viongozi muhimu na maarufu wana heshima ya majina yao kuwa na taasis mbalimbali kama Mkapa, Jakaya Kikwete, yeye atabaki na drycleaner yake kama mbowe na danguro lake.
Mta ngatwaa sana safari hii... Amuwaoni wengine ni yy tu... Ww na jina lako la bandia una nn kujilinganisha nae... Au miemko tu..
 
Pale masikini anapoomba Dua ili tajiri adondoke awe masikini kama yeye, kuna issues hata kuziongelea inatia kichefuchefu. Yani bado tunafikiria bila vyeo basi maisha hayasongi mbele.
 
alistaafu uwaziri mkuu au alijiuzulu?
Wewe ukitembea barabarani una kwenda hovyo kama mbwa koko asiye na uelekeo. Yeye ana mlinzi wa serikali anayelipwa kwa kodi yako, Mpishi na Gari na dereva vyote vya serikali. Pamoja na hayo anavuta mshiko 80% ya ule anaovuta Majaliwa serikalini, upon hapo?
Sasa hayo ya kustaafu au kujiuzulu utajua mwenyewe. Na bado ana ubavu wa kuisema serikali kuwa ni mbovu iondoke.
We we hebu jaribu Leo hii mwambie mwajiri wako anayekupa hako kamshahara kuwa ni mbovu na utendaji wake haufai kabisa kama hujarudi unalia nyumbani.
Lowassa ni gwiji la siasa maana pamoja na marupurupu yote apatayo hajajipendekeza kwa serikali inayomlipa. Wangapi wanaweza? Wamejaa wanafiki tuu
 
Tembo hata aumwe vipi kamwe hakondi na kuwa kama sungura. Japo sungura kwa uelewa wake anadhani atafanana naye
 
Kwa taarifa nilizozipata jana ni kuwa Lowassa kwa sasa amebakiwa na cheo cha mwenyekiti wa bodi ya shule huko Monduli katika vyeo vyote aliwahi kuwa navyo.

Huko chadema hana cheo chochote ila anatoa matamko yanayopaswa kutolewa na viongozi wa chama hicho. Utumishi wa umma ulimshinda, siasa imemshinda, afanye tu biashara zake na Rostam asizidi kujipotezea muda na siasa.

Chadema na team zake zote kama team Lowassa n.k wanamchuna tu wamemfanya shamba la bibi tangu wanazunguka nae ndipo anazidi kupotea.

Fedha alizo nazo ni bora akaanzisha kitu cha maana hata taasisi kama ukumbusho wake ama akasaidia masikini kama TB Joshua atapata Dhawabu na atasamehewa na Mungu.


Tatizo la lowassa ni hataki kutubu dhambi zake na kuwaomba watanzania msamaha . Lowassa jitakase mzee omba msamaha kwa mabaya na madhika yote uliyowasababishia watanzania.La sivyo ikulu utaisikia kwenye taarifa ya habari tu.
 
Mimi ni Chadema damu,hii kitu ya Lowassa sasa hivi kutaka kuigeuza chadema mali yake iangaliwe kwa makini..Ni kweli alichangia ushindi kwa kiasi fulani,lakini ukweli ni kwamba graph ya chadema haijawahi kushuka..ushindi ungekuwepo tu.Naamini viongozi wa chadema kama kamanda mbowe na kadhalika,muwe makini na huyu bwana,asijeleta mambo yake aliyokuwa analeta ccm ya yeye kuwa na nguvu kuliko chama.Chadema iendelee kuwa taasisi kama taasisi.Watu watapita wataiacha kama ilivyokuwa kwa Dr Slaa
 
Back
Top Bottom