Lowassa ni msomi, anapata nyomi

Lowassa ni msomi, anapata nyomi

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Usomi si tu wingi wa shahada,stashahada au astashahada. Usomi hasa ni uwezo wa kutumia elimu,hasa fani yako,katika maisha halisi. Ndivyo alivyo Lowassa. Lowassa ni msomi wa shahada ya sanaa toka UDSM. Amejifunza na kufuzu maigizo,ngoma,utunzi wa mashairi na mazingaombwe.

Sasa Lowassa anatumia usomi wake. Fani yake. Alipotamka tu Rais Kikwete kuwa wanachama wawashawishi wagombea wazuri,Lowassa akapata pa kutokea. Kwakuwa msomi wa usanii hupaswa kuwa sharp,mbunifu na muangalifu,Lowassa akatumia haraka fursa.

Kinachoonekana na kusikika sasa,ni zao la usomi wa Lowassa. Hakuna mwanasiasa mkongwe chamani mwenye usomi wa usanii kama Lowassa. Wengine hutumia usanii wa kuzaliwa tu. Usomi una raha yake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Usomi si tu wingi wa shahada,stashahada au astashahada. Usomi hasa ni uwezo wa kutumia elimu,hasa fani yako,katika maisha halisi. Ndivyo alivyo Lowassa. Lowassa ni msomi wa shahada ya sanaa toka UDSM. Amejifunza na kufuzu maigizo,ngoma,utunzi na mazingaombwe.

Sasa Lowassa anatumia usomi wake. Fani yake.

A Bit Confused!
 
Watu wana imani kubwa na lowasa kuliko kiongozi yeyote Tz kwa ss ndiye anayehitajika hakuna jinsi ambavyo watu watabadilishwa. Kama ni sanaa nao waganye tuone badala ya kulaumu tu kwenye midia.
Ni watu wachache sana watakaukua wafinyu wa fikra ndio wanaweza kuona kwamba Mh.lowasa anafanya maigizo kuwasafirisha mashekhe kutoka huko mpaka Dodoma
 
Watu wana imani kubwa na lowasa kuliko kiongozi yeyote Tz kwa ss ndiye anayehitajika hakuna jinsi ambavyo watu watabadilishwa. Kama ni sanaa nao waganye tuone badala ya kulaumu tu kwenye midia.
Ni watu wachache sana watakaukua wafinyu wa fikra ndio wanaweza kuona kwamba Mh.lowasa anafanya maigizo kuwasafirisha mashekhe kutoka huko mpaka Dodoma

Maigizo ndiyo fani ya mshawishiwa.

Mzee Tupatupa
 
Usomi si tu wingi wa shahada,stashahada au astashahada. Usomi hasa ni uwezo wa kutumia elimu,hasa fani yako,katika maisha halisi. Ndivyo alivyo Lowassa. Lowassa ni msomi wa shahada ya sanaa toka UDSM. Amejifunza na kufuzu maigizo,ngoma,utunzi wa mashairi na mazingaombwe.

Sasa Lowassa anatumia usomi wake. Fani yake. Alipotamka tu Rais Kikwete kuwa wanachama wawashawishi wagombea wazuri,Lowassa akapata pa kutokea. Kwakuwa msomi wa usanii hupaswa kuwa sharp,mbunifu na muangalifu,Lowassa akatumia haraka fursa.

Kinachoonekana na kusikika sasa,ni zao la usomi wa Lowassa. Hakuna mwanasiasa mkongwe chamani mwenye usomi wa usanii kama Lowassa. Wengine hutumia usanii wa kuzaliwa tu. Usomi una raha yake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Tulieni na BABU Slaa wenu, ya Lowassa yako juu ya uwezo wenu!
 
MUSSA ALLAN,nimekutangulia mno kujiunga CCM. Ukisaliti,utaniacha humu. Mimi nahusikaje na uliyosema. Hivi huoni kama Lowassa anafanya maigizo. Open your eyes kada!

Mzee Tupatupa
Sasa Mbona umeshasaliti? Hata mwehu asiye na akili hata tone, akisoma mabandiko yako yaliyosheni kejeli juu ya CCM anafahamu wazi kabisa wewe ni mfuasi mtiifu wa Mzee Mtei. Inawezekana Hujawahi kuwa mwanachama wa CCM.
 
Usomi si tu wingi wa shahada,stashahada au astashahada. Usomi hasa ni uwezo wa kutumia elimu,hasa fani yako,katika maisha halisi. Ndivyo alivyo Lowassa. Lowassa ni msomi wa shahada ya sanaa toka UDSM. Amejifunza na kufuzu maigizo,ngoma,utunzi wa mashairi na mazingaombwe.

Sasa Lowassa anatumia usomi wake. Fani yake. Alipotamka tu Rais Kikwete kuwa wanachama wawashawishi wagombea wazuri,Lowassa akapata pa kutokea. Kwakuwa msomi wa usanii hupaswa kuwa sharp,mbunifu na muangalifu,Lowassa akatumia haraka fursa.

Kinachoonekana na kusikika sasa,ni zao la usomi wa Lowassa. Hakuna mwanasiasa mkongwe chamani mwenye usomi wa usanii kama Lowassa. Wengine hutumia usanii wa kuzaliwa tu. Usomi una raha yake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Majibeba mwaka huu sababu huyu Lowassa yuko mioyoni mwetu
 
Kichekesho kipya cha magamba,leo hii MUSSALAN unamuita mzee tupatupa wa lumumba msaliti? Mfuasi wa mtei ha haaa hii htr,kwanza kwa pro lumumba nafikiri kwa ukongwe hakuna wakumfikia,zimeanza sarakasi za chadema kwanza,kwani kuna ubaya gn khs sanaa ya lowasa,kwani ni uongo? Kwani ile siyo Sanaa? Sasa leo imezibitika kuwa mussalani ni mfuasi wa lowasa,tena sanaa maana unasapoti anachokifanya ,ndo maana unapinga ukweli wa tupatupa.
 
Kama CCM wanataka wajijengee heshima wanatakiwa wachukue maamuzi magumu kwa kuwabwaga wote waliotangaza nia ya kugombea urais kinyume na utaratibu wa chama chao vinginevyo watadharau mpaka na sisimizi.
 
Usomi si tu wingi wa shahada,stashahada au astashahada. Usomi hasa ni uwezo wa kutumia elimu,hasa fani yako,katika maisha halisi. Ndivyo alivyo Lowassa. Lowassa ni msomi wa shahada ya sanaa toka UDSM. Amejifunza na kufuzu maigizo,ngoma,utunzi wa mashairi na mazingaombwe.

Sasa Lowassa anatumia usomi wake. Fani yake. Alipotamka tu Rais Kikwete kuwa wanachama wawashawishi wagombea wazuri,Lowassa akapata pa kutokea. Kwakuwa msomi wa usanii hupaswa kuwa sharp,mbunifu na muangalifu,Lowassa akatumia haraka fursa.

Kinachoonekana na kusikika sasa,ni zao la usomi wa Lowassa. Hakuna mwanasiasa mkongwe chamani mwenye usomi wa usanii kama Lowassa. Wengine hutumia usanii wa kuzaliwa tu. Usomi una raha yake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Mzee tupa tupa wa Ufipa, baba wa wanafiki, vipi Slaa ameshatangaza nia kugombea kupitia Ukawa? Lipumba kashajitosa kilingeni tunamsubiri babu slaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom