ni nyema tu sasa kuna shida gani? kwani vibaya yeye kwenda huko?
Ni kweli amefanya jambo jema kumkimbilia Mungu
Ungekuwa wewe tusingekujadili kwa kuwa wewe huhitaji urais.Hii nchi sijui ikoje kila mara lowasa lowasa,who is lowasa mwisho hata akijamba kuna majitu yatakuja humu ndani kusema lowasa leo kajamba, tufanye yetu na yeye afanye yake mtoa post akili ina pilipili
sawa kabisa wamwache amwabudu mungu.
Kwa hiyo uyo TB joshua ndo mpiga ramli wa huyu waziri aliyeachia ngazi kwa aibu kwenye kashfa ya richmond?Mwache akasafishe Nyota yake kwa T.B Joshua...maana magamba wanataka kumchinjia baharini
Kuna siku atapigwa upofu wa laana ndo atajua iyo kitu anayofanya inabackfire vp.Ukiiba pesa za masikini lazima uanze kuweweseka, utubu. Na bado mpaka arudishe hizo hela fisadi mkubwa huyu
Hii nchi sijui ikoje kila mara lowasa lowasa,who is lowasa mwisho hata akijamba kuna majitu yatakuja humu ndani kusema lowasa leo kajamba, tufanye yetu na yeye afanye yake mtoa post akili ina pilipili
sawa kabisa wamwache amwabudu mungu.
Wana javi mh.lowasa yuko nigeria
and every creature will bow they kneel before the holy one jesus
sawa kabisa wamwache amwabudu mungu.
sawa kabisa wamwache amwabudu mungu.