Lowassa ndani ya Scoan tv

Lowassa ndani ya Scoan tv

Status
Not open for further replies.
Mnyonge mnyongen ila penye haki apewe wengi hii Richmond mmeichukua juu ila mlisahau mwenye Nyumba aliposema hajui rangi ya kochi na ikiwa limo ndan Kwake , Kama mtahitaj kuwa na maisha sahihi bas chaguen kiongoz mwenye uthubutu wa maamuzi mm kwa upande wangu lowassa anavyo vigezo vyangu kwenye utendaj na maamuz
 
. . . . So what? Mbunge wa Monduli yuko kwenye mambo yake binafsi mwatuletea humu ili iweje?

NAWASHANGAA.
 
Hii nchi sijui ikoje kila mara lowasa lowasa,who is lowasa mwisho hata akijamba kuna majitu yatakuja humu ndani kusema lowasa leo kajamba, tufanye yetu na yeye afanye yake mtoa post akili ina pilipili

Ni high profile figure. Usitake kujiaibisha kwa umburula wako.
 
Hii nchi sijui ikoje kila mara lowasa lowasa,who is lowasa mwisho hata akijamba kuna majitu yatakuja humu ndani kusema lowasa leo kajamba, tufanye yetu na yeye afanye yake mtoa post akili ina pilipili
hebu wacho jotro hasira na the comin presidah,utakufa na puresha bure!
 
Kaonekana kwenye nyumba ya ibada, wengine wanaongea kwa dhihaka. Mkimuona kwa
waganga wa kienyeji anachanjwa chale ndio mtaona vyema?
 
jamani kuna jambo hili napenda tushirikiane kwa upendo kabisa kwanza tabia hii ya kukimbilia maombezi kwa manabii ni hatar sana kwa dunia ya sasawengi wanamfuata shetani wakifikiri ni Mungu ni heri uende kwa mchungaji kuliko.hawa manabii kwa kweli utapotea kwa kufikiri unapata.
 
Hii nchi sijui ikoje kila mara lowasa lowasa,who is lowasa mwisho hata akijamba kuna majitu yatakuja humu ndani kusema lowasa leo kajamba, tufanye yetu na yeye afanye yake mtoa post akili ina pilipili

Lowasa anafuatiliwa kwa kuwa ndiye Rais ajaye 2015.huyo ni mtu muhimu ktk jamii yetu watanzania
 
Hii ni mara yake ya tatu km co ya nne.kma ilivyo kawaida ya douse mwachen amalizie huenda wkt wke ndo huu.mishale aliipat sn jmn ai kwn magufuli nae mbn hajaanikwa?!na wengne...cna interest na chama chochote bt from my point og view...lowasa kw ss anafaa kuwa prezoo mbn nchi itaneemeka jmn
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom