Waziri Mkuu Mstaafu EL amewasili Mkoani Kigoma hv punde. Amealikwa kuja kuendesha Harambee kanisa la PENTEKOSTE ..............
Mengi Tutawajuza.
.
Unafikiri ni kwa nini kina Karanga hawaamini uwepo wa Mungu? Ni kwa matendo kama haya, ya wale wanaojitangaza kuwa waatumishi wa Mungu aliyemtakatifu wakizitamani kwa udi na uvumba pesa za Shetani ili wazifanyie kazi ya kuzitakasa nje ya njia waanayowahubiria wengine. Maana neno la Mungu wanaedai kumtumikia linaagiza mwivi akiiona haki, basi arudishe mali ya wizi kwa wenyewe na kisha amfuate yeye(Mungu).
Yaani nakuhakikishia vyombo vya habari vikikutangaza leo kuwa wewe ni fisadi na umekwapua bilioni kadhaa, kesho yake utaona jinsi utakavyogombaniwa na mialiko mingi ya harambee na viongozi wa dini kuchangia cash.
.
Rais ajeye ni mpemba, Lowasa badili kabila utokee Zenj
Usijali mpendwa Mungu wa majeshi Jehova Eloimu hahongeki wala yeye njia zake si zetu; Hasira ya Mungu iko daima na waovu japo yeye huwaacha waovu wajitukuze kwanza ili kwakipimo cha utukufu wao anguko lao liwe saba mara sabini...Gravity haina effect kwake yeye aliye chini ukitaka uone nguvu ya gravity pandaa juu ya kinara alafu kisha pima nguvu yake kwakujidondosha..Acha wafu wazike wafu wao wewe kazana kumsifu Mungu ili atende kwa sifa na utukufu wa jina lake.
.......tutakutambua kwa nyuzi zako zitakazojikita kwenye hoja zenye mantiki na mashiko kwa jamiii, vinginevyo tutakushauri urudi fb.Hello jf members i am new in this forum. Plz nkrbshn
Waziri Mkuu Mstaafu EL amewasili Mkoani Kigoma hv punde. Amealikwa kuja kuendesha Harambee kanisa la PENTEKOSTE ..............
Mengi Tutawajuza.
Waziri Mkuu Mstaafu EL amewasili Mkoani Kigoma hv punde. Amealikwa kuja kuendesha Harambee kanisa la PENTEKOSTE ..............
Mengi Tutawajuza.
UPDATE:
Lowassa achangishia kanisa mamilioni
Zaidi ya Shilingi milioni 125 zilipatikana katika harambee ya ujenzi wa Shule ya Sekondari Kidingo mkoani Kigoma iliyoendesha na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa.
Lowassa na marafiki zake walichangia Sh. nilioni 65 kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo iliyoko Kata ya Mwandiga wilayani Kigoma.
Uchangiaji huo ulifanyika jana katika Kanisa la FPCT na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wabunge wa mkoa wa Kigoma na madiwani.
Akizungumza katika hafla hiyo, Lowassa alisema watu wengi wanapenda kuitumia nguvu ya maaadamano badala la nguvu ya kuleta maendeleo katioa ujenzi wa shule.
Alisema kuna vijana wengi waliokosa ajira, ambao alisema ni bomu linalosubiri kulipuka. Alisema vijana wengi wanamali za shule na vyuo, lakini wanakosa ajira.
Aliiomba serikali na wadau mbalimbali nchini kukaa chini kupanga mikakati ya namna ya kuwasidia wapate ajira.
Aidha, aliwataka watu waliomali za masomo wasisubiri ajira za serikali badala yake wajiunge katika vyuo vya ufundi stadi ili wajiajiri.
CHANZO: NIPASHE (Jan 10, 2012)
Hello jf members i am new in this forum. Plz nkrbshn
najuta kulog in sioni pa kuchangia
Hello jf members i am new in this forum. Plz nkrbshn