Kwa wale wanaofikiri ngoma imeisha CCM huenda wakawa wanajidanganya na huenda kibaruakigumu ndio kimeanza rasmi kwa ccm
Imeelezwa kuwa lowasa na timu yake wametoweka dodoma tangu jana usiku na haijulikani ni mkakati gani unafata inaelezwa kuwa wazee walimsihi asiondoke lakini aligoma.
Nitawaletea zaidi