Hilo siyo tatizo la CCM tu, ni tatizo la nchi nzima. Watanzania hatujui mfumo gani wa kiuchumi tunaouhitaji au tunaoupendelea kwa sababu wengi wetu hatuna uelewa wa maisha kwa ujumla kuanzia sayansi, uchumi, siasa n.k
Watanzania wengi tumekubali mfumo wa rushwa kuwa kama ni halali. Polisi, madaktari, mahakama na kila sehemu yenye muhuri wa serikali ni deal kubwa, lazima utoe kidogo.
Matokeo yake, ni taifa lenye watu limbukeni and as a subset tunapata viongozi limbukeni, wanasiasa limbukeni, mapadre wetu na mashehe wetu wote ni limbukeni wa hali ya juu. Karibu kila mtanzania ni limbukeni anayefikiri kuwa anajua sana. Ukitaka kuhakikisha kuwa Watanzania wengi ni limbukeni, angalia msiba wa Kanumba, kuna watu wamezimia, viongozi mbalimbali wamehudhuria mazishi, bunge limesimama kwa dakika sijui ngapi ... wakati hawakumpa heshima hizo marehemu Kawawa.
Angalia uchafu wa miji au vyoo vya umma kujua jamii yetu ilipo kiustaarabu ndiyo utajua kuwa viongozi tulio nao ni reflection yetu sisi wananchi.
Na hivi vyama vya upinzani ndiyo hovyo kabisa!!, yaani they are a bunch of clowns whining about things that they don't even know, kwa mfano wabunge kususa vikao na kuondoka kisa kuna watu wanazama as if wataenda kuwaokoa. Wabunge wanawafokea regional commissioners, District commissioners na hata Mayors wa halmashauri zao. Hawajui kazi na mamlaka walizo nazo.
Kwa kifupi mkuu Mchambuzi, tatizo ni watu na naombea siku moja aibuke kiongozi atakayesema ukweli.
Kimsingi nakubaliana na wewe;
Kiongozi anatakiwa wakati wote awe conscious with his/her political strategy or that of his party, a strategy that aims to deliver on the social and economic ends for the masses. Tatizo lililopo na viongozi wa CCM ni kwamba kwa wao, ilani ya uchaguzi CCM ndio msahafu, lakini mbaya zaidi ni kwamba ilani hiyo hata siku moja haishirikishi wananchi kubaini nini iwe kipaumbele, nini kifanyike sasa, na nini kifanyike muda wa kati na nini kifuate baadae. Viongozi wengi wa CCM wakishaingia kwenye madaraka husika, hujiona wao ndio wanaojua kila kitu, wanaojua mahitaji ya jamii, na wengine wanaweza kabisa kukupangia hata mahitaji ya wake zetu nyumbani.
When it comes to reconciling short term priorities with the long term objectives, viongozi wa CCM ndio wamefeli kabisa. Wameshindwa ku ‘manage' politics and the political institutions under them to meet the immediate requirements of the government as well as move the society towards progress.
Tatizo jingine ni kwamba serikali ya CCM ni serikali ya kikoloni kwa maana ya kwamba wakati wa ukoloni, the colonial government's loyalty was to the imperial power (mwingereza), not Africans, especially not the ones in the country side. Sana sana ilikuwa inajitahidi kuwaweka sawa waafrika in urban areas and the few educated/elite ili wasilete revolts. Nyerere alipotwaa madaraka, he became a contrast whereby as a nationalistic leader, he became an integral part of the African community as a whole, articulating and providing leadership for the hostility to foreign rule, dependence and dominance. Baada ya Mwalimu kung'atuka mwaka 1985 and eventually 1990, serikali ya CCM ikarudi kule kule kwa mkoloni – leo hii it exists to serve the interest of the external forces pamoja na vibaraka wao wachache wenye pesa nchi kwetu Tanzania. Mtanzania wa kijijini amesahaulika kabisa, mazingira anayoishi leo kwa kweli hayana tofauti kubwa na yale kabla ya uhuru.
Serikali ya CCM na viongozi wake have made very little effort to place their activities in the long run/perspective; they haven't articulated an integrated view of the longer term consequences of their present pursuits. Wanachofanya wao sasa is they seek to maintain order and to remain in power; pia wanawekeza zaidi katika maximizing their own advantage as well as the advantage of those in political alliance with them. Mbaya zaidi, wanatumia madaraka kwa faida zao na familia zao ili waiishi maisha yaliyojaa neema baada ya kustaafu.
Enzi za Nyerere, at least he attempted to initiate reforms that aimed to bring life in Tanzania nearer to its perception of how the society wished to develop. Nyerere had clear ideas on how the politics of the country could be managed during this transitional period (political independence to economic independence). In short, tofauti na CCM ya sasa, CCM ya Nyerere had a very clear political strategy in place that aimed to bring about a desired economic and social change kwa umma.
Leo hii, there is an absence of a political strategy. Watawala wa CCM are confident kwamba they know best what the country needs, and they pile this ‘gibberish', tena undemocratically, kwenye ilani ya uchaguzi. For them, that's the political strategy at its best. And they are confident kwamba the donor community ambao basically ndio wanao run our economy, will give them support hence help them further consolidate power.
Watawala hawa walitegemea kwamba they will continue to secure the cooperation and support of Tanzanians indefinitely and unconditionally,
lakini sasa wanaona watanzania wamefunguka macho, na wapo tayari kufanya lolote lile kuwapofua.