Lowassa na Kiingereza chake!

Inaelekea unaishi mwezini. Magraduate wa bongo HAWAJUI KUANDIKA KISWAHILI KI UFASAHA
 
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri


If education was your priority you wouldn't have stolen money from TPTC and hijack its plans and join forces with Vodacom who are day light robbers. Bloody thief.
 
Last edited by a moderator:
THE POWER OF THE OPPRESSOR IS IN THE MIND OF THE OPPRESSED. Steve Biko
 

Mkuu, jaribu kufuatilia mijadara utaliona hilo!! Au Muulize Faiza Fox anayewasahihisha watu kila siku kwa kuandika Kiswahili kibovu!! Tatizo la kuandika Kiswahili fasaha Tanznainia ni kubwa kuliko unavyofikiria!!

By the way, Tanzania Kiswahili kinafundishwa shule ya msingi tu, kuanzia sekondari mpaka Chuo Kikuu watu wengi huwa wana-memorize na kufaulu mitihani!!
 


Hivyo hao wanaoandika Kiswahili kibovu humu (JF) una uhakika gani kama ni magraduates kama ulivyosema? Inawezekana pia wengi wanaoandika kiswahili kibovu hawakubatika kupata Elimu ya Juu!

Kiswahili kufundishwa Shule ya msingi kinatosha kabisa kuwafanya watu waweze kuandika Kiswahili fasaha kwa maana ni miaka saba pamoja na mitihani ambayo ni lazima wafaulu ili waweze kuendelea na masomo, na pia sekondari kuna mtihani wa Kiswahili ambao ni lazima wafaulu tena ni mgumu kwa maana ni Kiswahili cha ndani mambo ya tenzi mashairi n.k sasa kama hawa watu wamefaulu huko kote mpaka wakafika Chuo Kikuu utaniambiaje leo hii hawawezi kuandika Kiswahili?
Kwa hali ya kawaida hilo haliwezekani!

Watu kufanya makosa hapa JF haimaanishi kwamba hawajui Kiswahili, wengine wanaandika tu bila ya kusoma na kusahihisha lkn ukimwambia asahihishe si ajabu akalitoa kosa, sasa hilo halimaanishi kwamba hawajui Kiswahili ni kwamba ni uvivu tu wa kusahihisha makosa au wengine hawana uzoefu na computer hivyo hawajui kama unaweza ukasahihisha makosa ya ulichokiandika!
 
lowassa aandaliwe kushiriki mijadala ya kimataifa kama hii...

 
Last edited by a moderator:
Natamani raisi wangu kwenye mikutano kama hii amwage Kiswahili kwa kwenda mbele sindiyo lugha yetu. Utumwa ulikwisha isha siku nyingi.

Mhe.Lowassa uwe Prezedaa wa kwanza TZ na Afrika kutumia Kiswahili mikutano yoyote ya ndani na nje hadi UN!
Utamaduni unaanza na sisi na siyo hilo tu pale UN na AU wataajiri wakalimani kiswahili na hiyo tayari ni ajiri kwa watu.
 
Tutajua akichukua kiti hapo 25oct asubuhi 8:30
 
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri


Mara kumi ya Lowassa ,

Ushawahi muona Membe akiongea kiingereza?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…