Lowassa na kauli za kilaghai

Lowassa na kauli za kilaghai

Akiwa waziri magufuli alihonga nyumba za serikali. Sasa akiwa rais atahonga nn?
Kumbuka rais wa awamu ya tatu alihonga wizara ya fedha kwa ajili ya dili la mwanamke.
Rais wa awamu ya nne alikuwa anahonga wilaya na mikoa.
Ccm inanuka uchafu haisafishiki. Magufuli ni dodoki chafu
Mkuu kama nakumbuka vizuri Mh.Sumaye aliwahi kufafanua kiundani kuhusu kilicho jili alisema Mh.Magufuli alitekeleza kilicho hamuliwa na Baraza la Mawaziri,sasa kwa nini mnapendelea sana kumzulia Mh.Magufuli?? Hapa mnajifanya hamjui kwamba wakati wa uhuzaji wa nyumba za Serikali Mh.Sumaye ndiye alikuwa Waziri Mkuu, mbona huyo hamumsemi mko kimya kabisa - tatizo lenu kiongozi yeyote akihamia kwemu kutoka CCM hata kama ana issues huko alikotoka nyinyi mnampamba pamba mnafikiri wapiga kura wanao jali mstakabari wa Taifa letu wanaweza kuhadaaliwa kirahisi.
 
Kama n kweli kiongozi maana monduli sijafika basi mawazo yangu kuwa lowassa bado sana

Mkuu sina sababu hata chembe ya kutoa taarifa za uongo kuhusu monduli,nisemayo ni kweli tupu.
Hali ni mbaya sana,tatizo Lowasa anapenda kuabudiwa maana siku akifika monduli watu hasa wazee ujazana nyumbani kwake kuomba msaada.
Yaani anagawa samaki badala ya kuwafundisha watu kuvua samaki,tumaini pekee la wana monduli ni yule mtoto wa Sokoine anayegombea ubunge.
 
Povu lote la nini, subiri. Zimebako siku 22, na 3 za kulinda kura, jumla siku 26. Mtaisoma. Kwa hiyo ukichukia umaskini ndo uishi kimaskini? Mawazo mfu. Alivosimamia shule za kata, unadhani sio kupambana na umaskini? Itakuingia tu.
 
Mkuu kama nakumbuka vizuri Mh.Sumaye aliwahi kufafanua kiundani kuhusu kilicho jili alisema Mh.Magufuli alitekeleza kilicho hamuliwa na Baraza la Mawaziri,sasa kwa nini mnapendelea sana kumzulia Mh.Magufuli?? Hapa mnajifanya hamjui kwamba wakati wa uhuzaji wa nyumba za Serikali Mh.Sumaye ndiye alikuwa Waziri Mkuu, mbona huyo hamumsemi mko kimya kabisa - tatizo lenu kiongozi yeyote akihamia kwemu kutoka CCM hata kama ana issues huko alikotoka nyinyi mnampamba pamba mnafikiri wapiga kura wanao jali mstakabari wa Taifa letu wanaweza kuhadaaliwa kirahisi.

Ubarikiwe
 
Akiwa waziri magufuli alihonga nyumba za serikali. Sasa akiwa rais atahonga nn?
Kumbuka rais wa awamu ya tatu alihonga wizara ya fedha kwa ajili ya dili la mwanamke.
Rais wa awamu ya nne alikuwa anahonga wilaya na mikoa.
Ccm inanuka uchafu haisafishiki. Magufuli ni dodoki chafu

Lowasa fake design kabisaaaa. Anachukia umaskini na jimboni kwake je?
 
Wiki mbili zilizopita nilikuwa Monduli, kiukweli hali ni mbaya sana kupita maelezo yaani wananchi huduma kijamii hawana kabisa. Monduli unafuu unaletwa kidogo na huduma zitolewazo na chuo kikuu cha kijeshi cha TMA. Monduli watu hawana vyoo wanawategemea punda kula vinyesi vyao yaani kwa mmasai bora umuibie ng'ombe kuliko punda.
Tatizo la waTanzania hatuna exposure kwahiyo kudanganywa ni rahisi sana. Lowasa amekuwa mbunge wa monduli toka 1985 mpaka sasa ni miaka 30 afu mtu huyohuyo anasema CCM haijafanya chochote wakati yeye kazeekea humohumo.



Magufuli sasa.
Magufuli amekuwa mbunge wa chato kwa miaka 20 sasa lakini aliyoyafanya ni makubwa mno mpaka watu wanalalamika kuwa anakupendelea chato.
Chato kuna kila kitu barabara nzuri, maji, mpaka traffic light.
Ni ujinga kuwapambanisha lowasa na magufuli labda kwa utajiri wa ufisadi.


Asanteni

Asante pia kwa uzalendo wako
Nmemfowadia mtu hii meseji
Na nmefanikiwa kumshawishi na amerejea ccm

Ccm oyeeeee
 
Hakua na rungu. Leo anataka kua na rungu. Mkwera kwao umekuona?

Waziri mkuu ana power ngapi (rungu), ana executive power (administration )hayo ni mamlaka makubwa mno mno katika wizara zote. Yeye ndie msimamizi mkuu wa serikali katika wizara zote. Hivi wewe unajua sheria mzee. Au tunabisha tu.
 
Lowasa ni mgonjwa na isitoshe hana lolote jipya kwetu sisi.

Ngoja nikazie mdogo wangu
Hapa kwenye suala la ugonjwa maana naona lina umuhimu wake

Kuugua tunaugua wote
Na kila mtu huugua
Na hatumchek lowasa kwa kuugua

Shida yetu kubwa n kwamba
Lowasa ni mgonjwa lakin anang'ang'ania madaraka makubwa yasiyoendana na afya yake

Rais kikwete anamaliza mda wake lakin anaweza hata kukimbia
Jmn huyu Lowasa anaitafuta ikulu kwa gharama yoyote Hawez hata kukimbia jmn

Twende na li magufuli
LinawezA sana kazi
Limetuonyesha mfano wa wizara zote lilipopita
Lenyewe sio limtu la dili kama Lowasa
 
Waziri mkuu ana power ngapi (rungu), ana executive power (administration )hayo ni mamlaka makubwa mno mno katika wizara zote. Yeye ndie msimamizi mkuu wa serikali katika wizara zote. Hivi wewe unajua sheria mzee. Au tunabisha tu.

Alikua waziri mkuu for 2 yrs
 
Kati ya kauli inayonikera ni ati ataanzisha benki ya wenye bodaboda na mama lishe, je wakulima sio marafiki zake ambao ni 80% ya wa Tanzania?

Nyie CCM kwa miaka zaidi ya 50 hamkuliona hilo la wakulima?
 
Ngoja nikazie mdogo wangu
Hapa kwenye suala la ugonjwa maana naona lina umuhimu wake

Kuugua tunaugua wote
Na kila mtu huugua
Na hatumchek lowasa kwa kuugua

Shida yetu kubwa n kwamba
Lowasa ni mgonjwa lakin anang'ang'ania madaraka makubwa yasiyoendana na afya yake

Rais kikwete anamaliza mda wake lakin anaweza hata kukimbia
Jmn huyu Lowasa anaitafuta ikulu kwa gharama yoyote Hawez hata kukimbia jmn

Twende na li magufuli
LinawezA sana kazi
Limetuonyesha mfano wa wizara zote lilipopita
Lenyewe sio limtu la dili kama Lowasa

Wote walio sema ni mgonjwa wako wapi? Chunga mmdomo wako na ww sio mungu?
 
anauchukia umaskini ndo maana alikaa
osyerbay na sio manzese,hivi magufuli anavyo sema serikali ya magufuli itakuwa ya viwanda wakati umeme hata wakuwasha mafriji ya soda ni shida hivyo viwanda vitaendeshwa kwa mishumaaa?

Ili nchi yoyote iendelee inahitaji viwanda kwaajili ya kupunguza kuagiza vitu kutoka nje
Na pia duala la ajira

Ili ujenge uchumi wa viwanda huna budi kuwa na soko la ndani na nje
Pia uwe na malighafi pamoja na wataalam wake
Bila kusahau umeme wa kuaminika

Yote tunayo ila Umeme ndo tulikuwa hatujakamilisha
Lakin sasa umeme umeanza kuwa stable
Kukatika katika kwa umeme saiv n sabsb ya uwashwaji wa mitambo ya gesu ya mtwara na majaribio mbalimbali yanayofanywa
Bt baada ya hapo
Tanzania nzoma tutakuwa tunatumia umeme wa gesi
Na
Mgao w Umeme utakuwa n historia tena Tanzania
 
Kati ya kauli inayonikera ni ati ataanzisha benki ya wenye bodaboda na mama lishe, je wakulima sio marafiki zake ambao ni 80% ya wa Tanzania?

Tz kuna marais wengi sana...ila yy kasema ni rais wa boda#2 na mama ntilie bas...muacheni awe...cc tunae rais wa wtz
 
Kiini macho na ulaghai ni wa ccm na mgombea wake.wanatoa ahadi kwamba watafanya hiki na kile ,sasa wao ndi wapo madarakani kwa miaka yote kwa nini hawakuyafanya hayo wanayoahidi?au wamekuja na ccm nyingine?wenyewe wanasema ccm ni ile ile na wanahubiri nao mabadiliko!mabadiliko ya nini?mbona sera zilezile?CCM iache ulaghai.tumechoka na nasema CCM haifai kabisa.
 
LOWASA NA KAULI ZA KILAGHAI:

Mgombea wa urais, Lowasa amezidi kuwahadaa Watanzania kwa kauli zake za kilaghai.Hususani anaposema,

Anachukia umasikini na huchukii rushwa sasa ataondoaje umasikini huo?

Anasema anachukia umasikini wala haoneshi kuwa na mipango yoyote ya kiuchumi na kimkakati ya kuiondoa Tanzania kwenye umasikini.

Anachukia umasikini wala haoneshi kama anawachukia marafiki zako wengi wakwepa kodi na wengi wapigaji wanajulikana kwa majina, atauondoaje huo umasikini?

Anachukia umasikini nusu ya Umri wa Maisha yake ameishi Ostabay , juzi tu ndo amepanda daladala kuigiza na ndo ameenda Mbagala ambayo sisi haya ndo maisha yetu,

Na akiwa Ostabay nusu ya marafiki zako ni matajiri tu , Siku zote ndani ya magari ya tinted majirani tajiri , marafiki tajiri anachukia umasikini vipi kama sio ulaghai.

Kama kweli anauchukia umasikini alipo kuwa kiongozi alifanya initiative gani kuiondoa Tanzania kwenye umasikini zaidi ya kushiriki, kuharibu na kuchukua hata vile vidogo ambavyo vingewasaidia watanzania.

Kama anachukia umasikini kule nyumbani Monduli pamoja na utajiri alio nao amewasaidiaje vijana? tuanze kumpima hapo kama kweli kwa sababu sharing is caring and charity begun at home, Maisha ya Monduli ni magumu kupindukia na vijana wanakimbilia Dar es Salaam wakati yeye tajiri!!! Hata kiwanda cha kusindika maziwa ameshindwa kujenga kule Monduli,kama sio ulaghai ndo ataweza kuondoa umasikini!

MTU ambaye ni sehem ya umasikini huu tena kwa kiwango cha juu kabisa anapokuja na nyimbo nzuri kama hizo muda kama huu , atazamwe kwa macho makali usoni , sura na anacho kizungumza mdomoni ni vitu viwili tofauti.

Tafakari kwa Sauti!!!!

Huyu lowassa ni mwizi na tapeli mkubwa huyu. Hawezi kusema eti anauchukia umaskini wakati yeye mwenyewe alipopewa dhamana alishiriki kikamilifu kulitumbukiza taifa letu kwenye umaskini wa kupindikia kwa kupiga madili ya kufa mtu. Huyu muigizaji ametajirika sana tena sana kwa fedha za rushwa na wizi wa mali za umma. Hafai hata kidogo kuwa rais wa taifa letu. lowassa hafai, na tutamkataa kwa kura zetu. #HapaKaziTu chagua MAGUFULI.
 
Kiini macho na ulaghai ni wa ccm na mgombea wake.wanatoa ahadi kwamba watafanya hiki na kile ,sasa wao ndi wapo madarakani kwa miaka yote kwa nini hawakuyafanya hayo wanayoahidi?au wamekuja na ccm nyingine?wenyewe wanasema ccm ni ile ile na wanahubiri nao mabadiliko!mabadiliko ya nini?mbona sera zilezile?CCM iache ulaghai.tumechoka na nasema CCM haifai kabisa.

Nani kakuambia matatizo huwa yanaisha hapa duniani? Matatizo yataendelea kuwepo tu siku zote ndio maana hata katika nchi zilizoendelea kuna sera na chaguzi. Sera na ahadi zitakuwepo sikuzote za maisha yetu hapa duniani. Mpaka leo ulaya na marekani bado kuna matatizo na yataendelea kuwepo sembuse hapa kwetu Tanzania?? Mfano mzuri angalia jirani zako hapo Kenya, walisema wanataka mabadiliko, wakayapata, matokeo yake matatizo yao yamezidi tena zaidi, sasa hivi tunavyoongea waalimu wamegoma na serikali imetangaza kuwafukuza kazi wote watakaoshindwa kurudi makazini. Wakati huo huo Uhuru Kenyatta amesema serikali yake haina pesa za kuwalipa, wakati yeye mwenyewe ni tajiri wa kutupa tena hana tofauti na huyo lowassa wenu anayewadanganya.

Jambo la msingi bhana ni kuangalia ukweli tu. Ukiujua ukweli utakuweka huru. CCM sio chama kibaya, lakini kilikuwa kinamalizwa na watu kama akina lowassa ambao ni mafisadi. Magufuli ni mtu safi na tuna uhakika ataibadilisha CCM na kuanzia November mwaka huu utajiaonea wewe mwenyewe uchapakazi wa Dr. Magufuli. Magufuli atashinda urais na sio kama atamaliza matatizo yote lakini nafuu itaonekana. #HapaKaziTu chagua MAGUFULI.
 
Back
Top Bottom