Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,595
- 1,135
Lowasa ni mwizi
Magufuli sio mwizi??? Na zile KEBBYS HOTELS kajenga kwa pesa ya nani???
Lowasa ni mwizi
Hana huo ubavu
umasikini sio fahari...
Ndo maana hawezi kukaa mikoani, kila akienda anakumbuka maisha ya hanasa mjini anaamu kurudi dar, hawezi kutusaidia sisi wa chini hata kwa miaka 20, hawezi. Amezidiwa na akina Mkono,Dewji na Abood, wamesaidia sana kwao tena kwa kutoa pesa zao mifukoni wakati mwingine na wote wakiwa CCM, huyu Lowassa ni mpigaji, yeye anajua kupiga tu.
Amesema lowasa ni muongo. Hafai kuchaguliwa, ni mwivi!
Mkuu kwa taarifa yako tu ni kwamba Magufuli kashaanza kumpongeza Lowassa. Na hilo nampongeza Magufuli kwani ni kuonyesha kuanza kukomaa kisiasa tofauti na alipo anza kampeni. Lifanyie kazi utaupata ukweli.Nani kakuambia matatizo huwa yanaisha hapa duniani? Matatizo yataendelea kuwepo tu siku zote ndio maana hata katika nchi zilizoendelea kuna sera na chaguzi. Sera na ahadi zitakuwepo sikuzote za maisha yetu hapa duniani. Mpaka leo ulaya na marekani bado kuna matatizo na yataendelea kuwepo sembuse hapa kwetu Tanzania?? Mfano mzuri angalia jirani zako hapo Kenya, walisema wanataka mabadiliko, wakayapata, matokeo yake matatizo yao yamezidi tena zaidi, sasa hivi tunavyoongea waalimu wamegoma na serikali imetangaza kuwafukuza kazi wote watakaoshindwa kurudi makazini. Wakati huo huo Uhuru Kenyatta amesema serikali yake haina pesa za kuwalipa, wakati yeye mwenyewe ni tajiri wa kutupa tena hana tofauti na huyo lowassa wenu anayewadanganya.
Jambo la msingi bhana ni kuangalia ukweli tu. Ukiujua ukweli utakuweka huru. CCM sio chama kibaya, lakini kilikuwa kinamalizwa na watu kama akina lowassa ambao ni mafisadi. Magufuli ni mtu safi na tuna uhakika ataibadilisha CCM na kuanzia November mwaka huu utajiaonea wewe mwenyewe uchapakazi wa Dr. Magufuli. Magufuli atashinda urais na sio kama atamaliza matatizo yote lakini nafuu itaonekana. #HapaKaziTu chagua MAGUFULI.
anauchukia umaskini ndo maana alikaa
osyerbay na sio manzese,hivi magufuli anavyo sema serikali ya magufuli itakuwa ya viwanda wakati umeme hata wakuwasha mafriji ya soda ni shida hivyo viwanda vitaendeshwa kwa mishumaaa?
Kati ya kauli inayonikera ni ati ataanzisha benki ya wenye bodaboda na mama lishe, je wakulima sio marafiki zake ambao ni 80% ya wa Tanzania?
LOWASA NA KAULI ZA KILAGHAI:
Mgombea wa urais, Lowasa amezidi kuwahadaa Watanzania kwa kauli zake za kilaghai.Hususani anaposema,
Anachukia umasikini na huchukii rushwa sasa ataondoaje umasikini huo?
Anasema anachukia umasikini wala haoneshi kuwa na mipango yoyote ya kiuchumi na kimkakati ya kuiondoa Tanzania kwenye umasikini.
Anachukia umasikini wala haoneshi kama anawachukia marafiki zako wengi wakwepa kodi na wengi wapigaji wanajulikana kwa majina, atauondoaje huo umasikini?
Anachukia umasikini nusu ya Umri wa Maisha yake ameishi Ostabay , juzi tu ndo amepanda daladala kuigiza na ndo ameenda Mbagala ambayo sisi haya ndo maisha yetu,
Na akiwa Ostabay nusu ya marafiki zako ni matajiri tu , Siku zote ndani ya magari ya tinted majirani tajiri , marafiki tajiri anachukia umasikini vipi kama sio ulaghai.
Kama kweli anauchukia umasikini alipo kuwa kiongozi alifanya initiative gani kuiondoa Tanzania kwenye umasikini zaidi ya kushiriki, kuharibu na kuchukua hata vile vidogo ambavyo vingewasaidia watanzania.
Kama anachukia umasikini kule nyumbani Monduli pamoja na utajiri alio nao amewasaidiaje vijana? tuanze kumpima hapo kama kweli kwa sababu sharing is caring and charity begun at home, Maisha ya Monduli ni magumu kupindukia na vijana wanakimbilia Dar es Salaam wakati yeye tajiri!!! Hata kiwanda cha kusindika maziwa ameshindwa kujenga kule Monduli,kama sio ulaghai ndo ataweza kuondoa umasikini!
MTU ambaye ni sehem ya umasikini huu tena kwa kiwango cha juu kabisa anapokuja na nyimbo nzuri kama hizo muda kama huu , atazamwe kwa macho makali usoni , sura na anacho kizungumza mdomoni ni vitu viwili tofauti.
Tafakari kwa Sauti!!!!
Labda kama wewe ni gamba,maana unavyosema "je wakulima"...unafikiri ataanzisha benki ngapi???,KUMBUKA WAKULIMA AMESHAWAJALI KWA UPANDE WAO NA ALISEMA "ATA WAFUTIA KODI NA USHURU KWENYE MAZAO YAO,ATAWAONDOLEA MFUMO WA STAKABADHI GHALANA,MAZAO YATAKUWA NA RIBA"...SIKUELEWI UJUE ULITAKA AWAGUSIE VIPI WAKULIMA???
achana nae huyo gamba usikute ana maslah na ccm yake atuache cc malofa twende na mabadiliko
Huu ndio tunauita ulaghaiIli nchi yoyote iendelee inahitaji viwanda kwaajili ya kupunguza kuagiza vitu kutoka nje
Na pia duala la ajira
Ili ujenge uchumi wa viwanda huna budi kuwa na soko la ndani na nje
Pia uwe na malighafi pamoja na wataalam wake
Bila kusahau umeme wa kuaminika
Yote tunayo ila Umeme ndo tulikuwa hatujakamilisha
Lakin sasa umeme umeanza kuwa stable
Kukatika katika kwa umeme saiv n sabsb ya uwashwaji wa mitambo ya gesu ya mtwara na majaribio mbalimbali yanayofanywa
Bt baada ya hapo
Tanzania nzoma tutakuwa tunatumia umeme wa gesi
Na
Mgao w Umeme utakuwa n historia tena Tanzania
Lowasa ni mwizi
Huu ndio tunauita ulaghai