Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #81
Niseme nini? Mimi naona hatua ya kwanza tuiondoe CCM madarakani. Nikisema sasa hivi watani-Kolimba
Nani akukoombe mkuu? Lete tu hapa ndiomaana yakuweka ID fake hakuna wakukukolimba, labda mimi ndio niogope!